MSICHANA WA KAZI ALIYETESA MTOTO AKIRI MAKOSA, KUHUKUMIWA JUMATANO DESEMBA 11, 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-bWd1RHoW4Cg/VIhLYxXTmUI/AAAAAAAAN6Y/Mkjhb2eXbKI/s72-c/tumuhwiire.jpg)
Msichana wa kazi aliyetikisa vyombo vya habari duniani kwa kumtesa mtoto wa miezi 18, Arnella Kamanz aliyekuwa kwenye uangalizi wake huko Uganda, amekiri makosa mbele ya mahaka nchini humo.
Jolly Tumuhiirwe, mwenye umri wa miaka 22, alifanya ukatili uliochukiwa na watu wote Duniani, ambapo alinaswa na camera ya siri, akimtandika mtoto wa mdosi wake kwa kumkanyaga mgongoni akiwa ameanguka chini, kumchapa na kitu kisichojulikana na kumpiga mateke na makofi ya nguvu usoni.
Kitendo hicho...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili26 Aug
Msichana wa miaka 16 akiri kuwa gaidi
11 years ago
BBCSwahili06 May
Stuart Hall akiri kumdhalilisha msichana
10 years ago
Habarileo14 Dec
Uzinduzi wa kitabu cha kumlinda msichana Desemba 21
KANISA la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Usharika wa Gide, jijini Dar es Salaam limeandaa kitabu maalumu kuhusu msichana ambacho pamoja na masuala mengine, kinalenga kumwepusha na vishawishi na kumpotezea dira ya maisha.
10 years ago
BBCSwahili01 Aug
Ban ataka waliomchoma mtoto kuhukumiwa
5 years ago
BBCSwahili04 Apr
Coronavirus: Aliyekuwa rais wa Liberia akiri kufanya makosa kama ya China
5 years ago
BBCSwahili17 Jun
Mmishonari akiri makosa ya uhalifu wa kingono katika makao ya mayatima Kenya
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Ud_8jxwBGqA/VIyuMiKeRYI/AAAAAAAC-i0/JG4lBXai-B0/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-12-13%2Bat%2B9.21.50%2BPM.png)
MISS WORLD 2014 LIVE FROM LONDON JUMAPILI DESEMBA 14, 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ud_8jxwBGqA/VIyuMiKeRYI/AAAAAAAC-i0/JG4lBXai-B0/s1600/Screen%2BShot%2B2014-12-13%2Bat%2B9.21.50%2BPM.png)
Watanzania tukiamua yetu tunamua kweli kweli dah hii ni komesha let's keep voting tuwe no 1 jamani we can do it. Let's go my good people.
By @happinesswatimanywa
Hey guys. Siwezi amini kuwa tumefika namba 2. Tuongeze bidii maana nchi nyingine pia wako bize na kura. Lets do this Tanzania!!!! Naamini pamoja tutafika�� #votevotevote #PigaKuraSasa#DownloadTheApp#HuuNiMwakaWetu
TIME, DATE AND TV CHANNEL FOR MISS WORLD 2014 LIVE FROM LONDON THE MISS WORLD 2014 PAGEANT ITAONESHWA LIVE KWENYE TV...
11 years ago
Habarileo01 Feb
Msichana atuhumiwa kuiba mtoto
MKAZI wa Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma, Amina Mwasi (22), anashikiliwa na Polisi akituhumiwa kuiba mtoto wa kiume mwenye umri siku moja. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma, David Misime alisema wizi huo ulifanyika Januari 19, mwaka huu katika Zahanati ya Thawi wilayani Kondoa.