Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSICHANA WA KAZI ALIYETESA MTOTO AKIRI MAKOSA, KUHUKUMIWA JUMATANO DESEMBA 11, 2014

Msichana wa kazi aliyetikisa vyombo vya habari duniani kwa kumtesa mtoto wa miezi 18, Arnella Kamanz aliyekuwa kwenye uangalizi wake huko Uganda, amekiri makosa mbele ya mahaka nchini humo.
Jolly Tumuhiirwe, mwenye umri wa miaka 22, alifanya ukatili uliochukiwa na watu wote Duniani, ambapo alinaswa na camera ya siri, akimtandika mtoto wa mdosi wake kwa kumkanyaga mgongoni akiwa ameanguka chini, kumchapa na kitu kisichojulikana na kumpiga mateke na makofi ya nguvu usoni.
Kitendo hicho...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Msichana wa miaka 16 akiri kuwa gaidi

Msichana mmoja wa miaka 16 amekiri kutekeleza ugaidi katika mahakama moja ya Manchester nchini Uingereza

 

11 years ago

BBCSwahili

Stuart Hall akiri kumdhalilisha msichana

Mtangazaji wa zamani wa BBC, Stuart Hall amekiri kumdhalilisha kimapenzi mtoto wa kike chini ya umri wa miaka 16

 

10 years ago

Habarileo

Uzinduzi wa kitabu cha kumlinda msichana Desemba 21

KANISA la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Usharika wa Gide, jijini Dar es Salaam limeandaa kitabu maalumu kuhusu msichana ambacho pamoja na masuala mengine, kinalenga kumwepusha na vishawishi na kumpotezea dira ya maisha.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ban ataka waliomchoma mtoto kuhukumiwa

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa ametaka waliohusika kwenye shambulizi la kumchoma mtoto Mpalestina kufikishwa mbele ya sheria.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Aliyekuwa rais wa Liberia akiri kufanya makosa kama ya China

Bi. Ellen aliiongoza Liberia kwa miaka 12 ikiwemo miaka ambayo mlipuko wa Ebola uliibuka mwaka 2014 mpaka 2016 na kuua watu takribani 5000 nchini mwake.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mmishonari akiri makosa ya uhalifu wa kingono katika makao ya mayatima Kenya

Mmishonari Gregory Dow, 61, amekiri kunyanyasa wasichana wadogo wanne katika makao ya mayatima alioanzisha mwenyewe.

 

10 years ago

Vijimambo

MISS WORLD 2014 LIVE FROM LONDON JUMAPILI DESEMBA 14, 2014


Watanzania tukiamua yetu tunamua kweli kweli dah hii ni komesha let's keep voting tuwe no 1 jamani we can do it. Let's go my good people. 
By @happinesswatimanywa 
Hey guys. Siwezi amini kuwa tumefika namba 2. Tuongeze bidii maana nchi nyingine pia wako bize na kura. Lets do this Tanzania!!!! Naamini pamoja tutafika�� #votevotevote #PigaKuraSasa#DownloadTheApp#HuuNiMwakaWetu
TIME, DATE AND TV CHANNEL FOR MISS WORLD 2014 LIVE FROM LONDON THE MISS WORLD 2014 PAGEANT ITAONESHWA LIVE KWENYE TV...

 

11 years ago

Habarileo

Msichana atuhumiwa kuiba mtoto

MKAZI wa Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma, Amina Mwasi (22), anashikiliwa na Polisi akituhumiwa kuiba mtoto wa kiume mwenye umri siku moja. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma, David Misime alisema wizi huo ulifanyika Januari 19, mwaka huu katika Zahanati ya Thawi wilayani Kondoa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani