Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coronavirus: Aliyekuwa rais wa Liberia akiri kufanya makosa kama ya China

Bi. Ellen aliiongoza Liberia kwa miaka 12 ikiwemo miaka ambayo mlipuko wa Ebola uliibuka mwaka 2014 mpaka 2016 na kuua watu takribani 5000 nchini mwake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Mmishonari akiri makosa ya uhalifu wa kingono katika makao ya mayatima Kenya

Mmishonari Gregory Dow, 61, amekiri kunyanyasa wasichana wadogo wanne katika makao ya mayatima alioanzisha mwenyewe.

 

10 years ago

Vijimambo

MSICHANA WA KAZI ALIYETESA MTOTO AKIRI MAKOSA, KUHUKUMIWA JUMATANO DESEMBA 11, 2014

Msichana wa kazi aliyetikisa vyombo vya habari duniani kwa kumtesa mtoto wa miezi 18, Arnella Kamanz aliyekuwa kwenye uangalizi wake huko Uganda, amekiri makosa mbele ya mahaka nchini humo.
Jolly Tumuhiirwe, mwenye umri wa miaka 22, alifanya ukatili uliochukiwa na watu wote Duniani, ambapo alinaswa na camera ya siri, akimtandika mtoto wa mdosi wake kwa kumkanyaga mgongoni akiwa ameanguka chini, kumchapa na kitu kisichojulikana na kumpiga mateke na makofi ya nguvu usoni.
Kitendo hicho...

 

9 years ago

Michuzi

Airtel waunga mkono tamko la Rais Dkt.Magufuli la kufanya usafi kama siku ya maadhimisho ya miaka 54 ya uhuru wa Tanzania




Baadhi ya Wafanyakazi wa Airtel mkoani Songea wakifanya usafi leo katika hospitali ya wilaya ya Nzega Ikiwa ni kuitikia wito wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli wa kutangaza siku ya 9 Desemba itumike kufanya usafi maeneo mbalimbali hapa nchini.

 

10 years ago

Vijimambo

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU TATU, NCHINI CHINA, AKUTANA NA MWENYEJI WAKE MAKAKU WA RAIS WA CHINA.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Makamu wa Rais wa China, Li Yuanchao, wakati alipowasili kwenye Ukumbi Maalum kwa watu wa China. 'Peoples Great Hall', jijini Beijing China kwa ajili ya mazungumzo rasmi, alipoalikwa kwenye chakula cha jioni na Makamu wa Rais wa China baada ya kumaliza ziara yake ya siku tatu nchini humo. jana Mei 20, 2015.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Wafanyakazi wa kipato cha chini Kenya kama kama Esther wahofia

Yaya kutoka Kenya Esther anayesema kuwa kazi hazipatikani kwani Wakenya wanaogopa coronavirus.

 

9 years ago

BBCSwahili

Phuc Dat Bich akiri kufanya mzaha kuhusu jina lake

Raia mmoja wa Australia anayejiita Phuc Dat Bich,aliyegonga vichwa vya habari duniani baada ya kusema kwamba alikuwa akitaka kutumia jina lake sahihi katika mtandao wa facebook amekiri kwamba ilikuwa mzaha.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: China yakerwa Trump kuita corona 'virusi vya China'

Rais wa Marekani Donald Trump ametumia neno hilo ingawa kumekuwa na wito wa kuepuka kunyanyapaa eneo au kundi fulani wakati huu wa maambukizi ya virusi vya corona.

 

5 years ago

Free Press Journal

Coronavirus Update from China: Collectivism plays indispensable role in China's COVID-19 fight

Coronavirus Update from China: Collectivism plays indispensable role in China's COVID-19 fight  Free Press Journal

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani