Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mmishonari akiri makosa ya uhalifu wa kingono katika makao ya mayatima Kenya

Mmishonari Gregory Dow, 61, amekiri kunyanyasa wasichana wadogo wanne katika makao ya mayatima alioanzisha mwenyewe.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

TZ-CERT kutambua makosa ya uhalifu wa mtandaoni

Dar es Salaam. Siku chache baada ya kupitishwa kwa sheria ya makosa ya uhalifu wa mtandao, mtambo wa kutambua makosa hayo wa TZ-CERT umezinduliwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Aliyekuwa rais wa Liberia akiri kufanya makosa kama ya China

Bi. Ellen aliiongoza Liberia kwa miaka 12 ikiwemo miaka ambayo mlipuko wa Ebola uliibuka mwaka 2014 mpaka 2016 na kuua watu takribani 5000 nchini mwake.

 

10 years ago

Vijimambo

MSICHANA WA KAZI ALIYETESA MTOTO AKIRI MAKOSA, KUHUKUMIWA JUMATANO DESEMBA 11, 2014

Msichana wa kazi aliyetikisa vyombo vya habari duniani kwa kumtesa mtoto wa miezi 18, Arnella Kamanz aliyekuwa kwenye uangalizi wake huko Uganda, amekiri makosa mbele ya mahaka nchini humo.
Jolly Tumuhiirwe, mwenye umri wa miaka 22, alifanya ukatili uliochukiwa na watu wote Duniani, ambapo alinaswa na camera ya siri, akimtandika mtoto wa mdosi wake kwa kumkanyaga mgongoni akiwa ameanguka chini, kumchapa na kitu kisichojulikana na kumpiga mateke na makofi ya nguvu usoni.
Kitendo hicho...

 

11 years ago

Michuzi

NANE (8) MBARONI KWA MAKOSA MBALIMBALI YA UHALIFU MKOANI DODOMA

Na Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu nane kwa makosa mbalimbali ya uhalifu kufuatia msako uliofanyika tarehe 01/04/2014 maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Dodoma.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME - SACP amesema tukio la kwanza alikamatwa SIMON S/O MTUNDU, miaka 51, Kabila Mhehe, mkulima na mkazi wa kijiji cha Kisisi Kata ya Kimagiyi Tarafa na Wilaya ya Mpwapwa, akimiliki silaha aina...

 

11 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LAWASHIKILIA WATU AROBAINI NA TANO KWA MAKOSA MBALIMBALI YA UHALIFU

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi David A. Misime - SACP
Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma linashikilia arobaini na tano kwa makosa mbalimbali ya uhalifu katika msako wa wahalifu uliofanyika tarehe kati ya tarehe 27/02/2014 hadi 01/03/2014.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi David A. Misime - SACP amesema tarehe 27/02/2014 walikamatwa jumla a watuhumiwa 42 kwa makosa...

 

5 years ago

Michuzi

MATUKIO YA UHALIFU NCHINI YAPUNGUA KWA ASILIMIA 3.2 MAKOSA YA BARABARANI NAYO YAPUNGUA

Charles James, Globu ya Jamii

IDADI ya matukio ya uhalifu nchini imepungua katika kipindi cha mwezi Januari na Februari mwaka huu ukilinganisha na kipindi kama hicho kwa mwaka 2019 .

Takwimu zinaonesha ndani ya kipindi cha mwaka huu matukio ya uhalifu 9,263 yaliripotiwa ukilinganisha na matukio 9,572 yaliyoripotiwa katika kipindi kama hicho cha mwaka jana hivyo kuwa na upungufu wa matukio 309 sawa na asilimia 3.2.

Akitoa taarifa hiyo mbele ya wandishi wa habari jijini Dodoma leo, Mkurugenzi wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

kijakazi akiri kumnyanyasa mtoto Kenya

Inadaiwa kuwa msichana huyo alikuwa akimlazimisha mvulana huyo kumramba sehemu zake za siri wakati mama yake anapoondoka.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mauji ya Tulsa: Kile kilichotokea katika mauaji ya 'Black Wall Street', mojawapo ya uhalifu mbaya zaidi katika historia ya ubaguzi Marekani

Mauaji hayo yametajwa kuwa mabaya zaidi dhidi ya jamii ya watu weusi nchini Marekani lakini tukio hilo lilifichwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani