Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


kijakazi akiri kumnyanyasa mtoto Kenya

Inadaiwa kuwa msichana huyo alikuwa akimlazimisha mvulana huyo kumramba sehemu zake za siri wakati mama yake anapoondoka.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Yaya akiri kumtesa mtoto UG

Jolly Tumuhirwe alikiri mbele ya mahakama nchini Uganda kwamba alimtesa mtoto mdogo lakini akamuomba jaji kumsamehe

 

10 years ago

GPL

DAVIDO AKIRI KUWA NA MTOTO WA KIKE

Mwanamuziki maarufu wa Nigeria, David Adedeji Adeleke 'Davido'. Lagos, Nigeria LICHA ya hapo nyuma kukana kwamba alikuwa anategemea kupata mtoto kutoka kwa mpenzi wake, hatimaye mwanamuziki maarufu wa Nigeria, Davido amekiri kwamba ana mtoto wa kike ambaye amempata nje ya ndoa. Davido akimbusu binti yake. Katika sherehe ya kutegemea kuzaliwa mtoto huyo kutoka kwa Sophie Momodu, mwimbaji huyo alionyesha ushirikiano wote akitaka...

 

10 years ago

Vijimambo

MSICHANA WA KAZI ALIYETESA MTOTO AKIRI MAKOSA, KUHUKUMIWA JUMATANO DESEMBA 11, 2014

Msichana wa kazi aliyetikisa vyombo vya habari duniani kwa kumtesa mtoto wa miezi 18, Arnella Kamanz aliyekuwa kwenye uangalizi wake huko Uganda, amekiri makosa mbele ya mahaka nchini humo.
Jolly Tumuhiirwe, mwenye umri wa miaka 22, alifanya ukatili uliochukiwa na watu wote Duniani, ambapo alinaswa na camera ya siri, akimtandika mtoto wa mdosi wake kwa kumkanyaga mgongoni akiwa ameanguka chini, kumchapa na kitu kisichojulikana na kumpiga mateke na makofi ya nguvu usoni.
Kitendo hicho...

 

9 years ago

Bongo5

Faiza akiri kuwa bado anampenda baba wa mtoto wake Joseph ‘Sugu’ Mbilinyi

Mama wa mtoto wa Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph “Sugu” Mbilinyi , Faiza Ally amekiri kuwa bado anampenda baba wa mwanaye licha ya kuwa hawana uhusiano tena. Kupitia akaunti yake ya Instagram, Faiza amepost picha ya Sugu akiwa amebeba mtoto na kushare hisia zake juu ya mzazi mwenzake, post ambayo aliifuta muda mfupi baadaye. Hiki […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Mmishonari akiri makosa ya uhalifu wa kingono katika makao ya mayatima Kenya

Mmishonari Gregory Dow, 61, amekiri kunyanyasa wasichana wadogo wanne katika makao ya mayatima alioanzisha mwenyewe.

 

9 years ago

Bongo5

Adele akiri kuwa mtoto wake si shabiki wa muziki wake

Licha ya muziki wake kupendwa na idadi kubwa ya mashabiki mbalimbali duniani, mwanamuziki wa Uingereza, Adele amekiri kuwa mtoto wake wa kiume si shabiki wa muziki wake. Akiwa kwenye mahojiano na BBC Radio 2, Adele aliulizwa kama huwa anamwimbia mtoto wake wa miaka mitatu aitwaye Angelo, alijibu kuwa hua anamwiambia lakini hapendi nyimbo zake. Mshindi […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Tara Reade: Anayemshutumu Biden kwa kumnyanyasa ataka sigombee urais

Tara Reade asema atakubali kula kiapo kwa masharti tu ikiwa Bwana Biden pia atafanya hivyo.

 

10 years ago

Vijimambo

KIJAKAZI YUNUS MKOMBOZI WA WANAWAKE LINDI

YUPO TAYARI KUWATETEA NA KUWAUNGANISHA AKINA MAMA WA LINDI KIMAENDELEO.

 

5 years ago

BBCSwahili

William Ruto: Naibu rais wa Kenya akiri 'walaghai' walikutana ofisini mwake jumba la Harambee House jijini Nairobi

Naibu rais wa Kenya William Ruto amekiri kwamba watu waliopanga kashfa ya mamilioni ya dola walitembelea ofisi yake katika jumba la Harambee House Annex.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani