Yaya akiri kumtesa mtoto UG
Jolly Tumuhirwe alikiri mbele ya mahakama nchini Uganda kwamba alimtesa mtoto mdogo lakini akamuomba jaji kumsamehe
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uFCQvH3jdgCvcISMRwKBYRWtbmeQKy-9orMnPSK1Fg84zaOB16BcUE3fE0-*hz7iZf3sK0WOnP7Ty6MBIyNzF6V4qQ9jACGX/baba.jpg)
BABA APIGWA PINGU KWA KUMTESA MTOTO
Stori: Chande Abdallah na Deogratius Mongela
Hekaheka! Baba mkubwa aliyetajwa kwa jina la Mohamed Said a.k.a Muddy, mkazi wa Tegeta-Msufini jijini Dar amepigwa pingu akituhumiwa kumfanyia ukatili wa kutisha wa kumsulubu mtoto wa kiume wa mdogo wake, mwenye umri wa miaka sita (jina linahifadhiwa). Baba mkubwa aliyetajwa kwa jina la Mohamed Said a.k.a Muddy akiwa amepigwa pingu kwa madai ya kumtesa mtoto wa mdogo wake. Tukio...
10 years ago
BBCSwahili08 Dec
Yaya aliyemtesa mtoto UG aomba msamaha
Mfanyakazi wa nyumbani aliyenaswa kwenye kanda ya video akimchapa na kumkanyaga mtoto nchini Uganda, ameomba msamaha kwa kosa hilo
10 years ago
BBCSwahili24 Jan
kijakazi akiri kumnyanyasa mtoto Kenya
Inadaiwa kuwa msichana huyo alikuwa akimlazimisha mvulana huyo kumramba sehemu zake za siri wakati mama yake anapoondoka.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gikBPgJguSUK7UH8zh2oRKAw3zFXefW1cqSTJI9Hw9kOWyRGad6DbBmIltp04DmN9iwAQzyLtj1gxgAcpEyRcQfp8vPmorJk/BET.jpg?width=650)
DAVIDO AKIRI KUWA NA MTOTO WA KIKE
Mwanamuziki maarufu wa Nigeria, David Adedeji Adeleke 'Davido'. Lagos, Nigeria LICHA ya hapo nyuma kukana kwamba alikuwa anategemea kupata mtoto kutoka kwa mpenzi wake, hatimaye mwanamuziki maarufu wa Nigeria, Davido amekiri kwamba ana mtoto wa kike ambaye amempata nje ya ndoa. Davido akimbusu binti yake. Katika sherehe ya kutegemea kuzaliwa mtoto huyo kutoka kwa Sophie Momodu, mwimbaji huyo alionyesha ushirikiano wote akitaka...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-bWd1RHoW4Cg/VIhLYxXTmUI/AAAAAAAAN6Y/Mkjhb2eXbKI/s72-c/tumuhwiire.jpg)
MSICHANA WA KAZI ALIYETESA MTOTO AKIRI MAKOSA, KUHUKUMIWA JUMATANO DESEMBA 11, 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-bWd1RHoW4Cg/VIhLYxXTmUI/AAAAAAAAN6Y/Mkjhb2eXbKI/s640/tumuhwiire.jpg)
Jolly Tumuhiirwe, mwenye umri wa miaka 22, alifanya ukatili uliochukiwa na watu wote Duniani, ambapo alinaswa na camera ya siri, akimtandika mtoto wa mdosi wake kwa kumkanyaga mgongoni akiwa ameanguka chini, kumchapa na kitu kisichojulikana na kumpiga mateke na makofi ya nguvu usoni.
Kitendo hicho...
9 years ago
Bongo529 Oct
Faiza akiri kuwa bado anampenda baba wa mtoto wake Joseph ‘Sugu’ Mbilinyi
Mama wa mtoto wa Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph “Sugu” Mbilinyi , Faiza Ally amekiri kuwa bado anampenda baba wa mwanaye licha ya kuwa hawana uhusiano tena. Kupitia akaunti yake ya Instagram, Faiza amepost picha ya Sugu akiwa amebeba mtoto na kushare hisia zake juu ya mzazi mwenzake, post ambayo aliifuta muda mfupi baadaye. Hiki […]
9 years ago
Bongo527 Oct
Adele akiri kuwa mtoto wake si shabiki wa muziki wake
Licha ya muziki wake kupendwa na idadi kubwa ya mashabiki mbalimbali duniani, mwanamuziki wa Uingereza, Adele amekiri kuwa mtoto wake wa kiume si shabiki wa muziki wake. Akiwa kwenye mahojiano na BBC Radio 2, Adele aliulizwa kama huwa anamwimbia mtoto wake wa miaka mitatu aitwaye Angelo, alijibu kuwa hua anamwiambia lakini hapendi nyimbo zake. Mshindi […]
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q1LCss*aQZjpjdwtE74wpoWIk-Ctsc26OAo99cJkwyuanN90JVOxcKg0PSn0HAHyJfW7LwlmM02eqks4YuLPHRp/rayc2.jpg)
UNGA WAZIDI KUMTESA RAY C
Rehema Chalamila ‘Ray C’ katika pozi. NA MAKONGORO OGING' MSANII mkongwe wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Rehema Chalamila ‘Ray C’ ambaye aliwahi kuathirika na utumiaji wa ‘unga’, hivi karibuni alitinga ofisi ya kitengo cha kupambana na kudhibiti madawa ya kulevya na kuomba kupatiwa majina, idadi na sehemu walipo watumiaji wa mihadarati hiyo ili aweze kuwasaidia kwa kuwapa somo, kitu...
10 years ago
Mwananchi30 Jun
Escrow yaendelea kumtesa Tibaijuka
Mbunge wa Muleba Kusini (CCM), Profesa Anna Tibaijuka amemshambulia Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee pamoja na baadhi ya vyombo vya habari kwamba vinatumiwa na wabaya wake kumkashifu katika utendaji wake.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania