Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIJAKAZI YUNUS MKOMBOZI WA WANAWAKE LINDI

YUPO TAYARI KUWATETEA NA KUWAUNGANISHA AKINA MAMA WA LINDI KIMAENDELEO.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WANAWAKE MKOANI LINDI WATAKIWA KUKAMATIA FURSA KWA KUJIUNGA NA CHF-RC LINDI

MKUU WA MKOA WA LINDI MWANTUMU MAHIZA AKIWASISITIZA WASHIRIKI WA KONGAMANO LA WANAWAKE LILILOWAKUTANISHA TAKRIBANI WASHIRIKI WANAWAKE 360 KUTOKA WILAYA 6 ZA ,KUTUMIA MAFUNZO HAYO KUJIKWAMUA KIUCHUMI KWANI MIONGONI MWA WALIYOFUNDISHWA,UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI,KILIMO CHA MWANI NA MENGINEYO AMBAPO PIA KWA KUONYESHA DHAMIRA YA DHATI YA KUMKOMBOA MWANAMKE KIFIKRA NA KIUCHUMI ALIWATAKA KUHAKIKISHA WANAJIUNGA CHF ILI WAWEZE KUPATA HUDUMA ZA MATIBABU KWA GHARAMA NAFUU,KAULI MBIU YA MAFUNZO HAYO...

 

11 years ago

Habarileo

Maelfu ya watoto, wanawake kusaidiwa Lindi

SHIRIKA lisilo la kiserikali la Save the Children, limesema linatarajia kuwasaidia watoto 14,000 na wanawake 32,000 katika vijiji 100.

 

10 years ago

Michuzi

Mh. Mahiza Apania kuokoa miradi ya vijana na wanawake lindi

Na Abdulaziz Video,Globu ya Jamii - Lindi
Mkuu wa mkoa wa Lindi,Mwantumu Mahiza ameitaka halmashauri ya wilaya Ruangwa na halmashari nyingine za wilaya,miji,manispaa zilizopo mkoani Lindi ambazo hazijachangia na zisizo kamilisha kuchangikia mifuko ya vijana na wanawake zikamilishe kuchangia michango hiyo haraka.Mahiza alitoa agizo hilo mjini Ruangwa baada ya kupokea taarifa ya kazi za maendeleo katika wilaya hiyo iliyosomwa na kaimu mkuu wa wilaya hiyo,Regina Chonjo.
Mahiza alisema halmashauri...

 

10 years ago

BBCSwahili

kijakazi akiri kumnyanyasa mtoto Kenya

Inadaiwa kuwa msichana huyo alikuwa akimlazimisha mvulana huyo kumramba sehemu zake za siri wakati mama yake anapoondoka.

 

11 years ago

Michuzi

Sikiliza Mahojiano na Mtaalamu wa Uchumaji Asumini Bi Kijakazi Hassan

Blog ya Swahilivilla Siku ya Jumamosi July 19 2014 ilifanikiwa kufanya Mahojiano na mtaalamu wa uchumaji wa mauwa ya asumini Alwatan Kijakazi Hassan Mustafa, a.k.a (Kijakazi) ambae alielezeaa mengi kuhusu umuhimu wa Asumini pamoja na utunzani wake.Mtaalamu wa uchumaji asumin Alwatan Kijakazi Hassan Mustafa akiwa katika harakati za uchumaji wa mauwa ya yenye harufu nzuri asumin.
Katika Mahojiano haya na mtaalamu wa utunzaji wa Miasumini Kijakazi Hassan Mustafa ambae ni mkaazi wa Mwembetanga...

 

11 years ago

BBCSwahili

Zuhura Yunus akukaribisha Forodhani

Wakati wa sherehe za miaka 50 ya mapinduzi Zanizbar kuna eneo maarufu ambalo wengi hawathibutu kukosa kufika. Ikiwa hujafika huko,basi unakosa mengi Zuhura Yunus anakukaribisha Forodhani

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Michuzi

Mdau Saida Yunus Chui alamba nondozzz

Mdau Saida Yunus Chui akiwa ni mwenye furaha sana muda mfupi baada ya kula Nondozz yake ya Master School of Improvement and Education Leadership katika Chuo Kikuu cha Birmingham University, kule kwa Bibi (Uk).Mdau Saida Yunus Chui akiwa akiwa ndani ya ukumbi wa Chuo Kikuu cha Birmingham University, tayari kwa kula Nondozz yake ya Master School of Improvement and Education Leadership.Mdau Saida Yunus Chui akiwa na hazbendi wake,Ahmed Mashaka (kulia) pamoja na Dada yake mada baada ya kula...

 

11 years ago

Dewji Blog

MO akutana na mshindi wa tuzo ya nobeli Muhammad Yunus

BqUkXt-IYAALH2w

Mjasiriamali mchapakazi na Mbunge Kijana nchini Tanzania, Mohammed Dewji (MO) akutana uso kwa uso na mshindi wa tuzo za Nobel Muhammad Yunus akiwa safarini nchini Marekani, baada ya ku-tweet kupitia akaunti yake ya Twitter kama inavyosemeka hapo chini.

 Unaweza kum-follow @moodewji

mo nobel prize winner

 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani