Mh. Mahiza Apania kuokoa miradi ya vijana na wanawake lindi
Na Abdulaziz Video,Globu ya Jamii - Lindi
Mkuu wa mkoa wa Lindi,Mwantumu Mahiza ameitaka halmashauri ya wilaya Ruangwa na halmashari nyingine za wilaya,miji,manispaa zilizopo mkoani Lindi ambazo hazijachangia na zisizo kamilisha kuchangikia mifuko ya vijana na wanawake zikamilishe kuchangia michango hiyo haraka.Mahiza alitoa agizo hilo mjini Ruangwa baada ya kupokea taarifa ya kazi za maendeleo katika wilaya hiyo iliyosomwa na kaimu mkuu wa wilaya hiyo,Regina Chonjo.
Mahiza alisema halmashauri...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
Mahiza aagiza wakurugenzi kutofungua sekondari zisizo na vyoo vya walimu na wanafunzi Mkoani lindi

Mkuu wa mkoa wa Lindi,Mwantumu Mahiza amewaagiza wakurugenzi wa halmashauri zilizopo katika mkoa huu wahakikishe shule zote za sekondari ambazo hazina vyoo kwa ajili ya matumizi ya walimu wa shule hizo zijenge kabla hazijafunguliwa.
Mahiza alitoa agizo hilo katika kijiji cha Kilimarondo wilayani Nachingwea katika ziara yake ya siku tatu wilayani Nachingwea.Ambapo alikagua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwa ujenzi wa maabara kwenye shule za...
10 years ago
MichuziWANAWAKE MKOANI LINDI WATAKIWA KUKAMATIA FURSA KWA KUJIUNGA NA CHF-RC LINDI
11 years ago
Mwananchi23 Jul
TAMBIKO: DC atoa kafara kuokoa miradi ya umeme, maji
11 years ago
BBCSwahili01 Sep
Vyoo nafuu kuokoa maisha ya wanawake
11 years ago
Habarileo06 Sep
Mke wa Rais ahimiza kliniki kuokoa maisha ya wanawake
MKE wa Rais Mama Salma Kikwete amewataka wanawake nchini kuendelea kupunguza vifo wakati wa kujifungua kwa kuhudhuria kliniki pindi wanapogundua kuwa ni wajawazito.
11 years ago
Michuzi
KINANA AWASHA MOTO IGUNGA,AWAMWAGIA SIFA LUKUKI VIONGOZI VIJANA WA WILAYA HIYO KWA UBUNIFU WA MIRADI YA VIJANA YA KUJIKWAMUA NA UMASKINI


11 years ago
Michuzi
TFF YAINGILIA KATI KUOKOA MASHINDANO YA VIJANA UKANDA WA MAZIWA MAKUU.

Mashindano hayo ya wazi hufanyika kila mwaka mkoani Arusha mwaka huu yatafanyika jijini dar es salaam na...
10 years ago
Michuzi
ELIMU YA STADI ZA MAISHA KUOKOA KUNDI KUBWA LA VIJANA WALIO NJE YA SHULE

Na: Genofeva Matemu - MaelezoILIGUNDULIKA kuwa ulimwenguni kote na hususan nchini Tanzania, Vijana walio nje ya shule ni miongoni mwa makundi yaliyo katika hatari ya magonjwa yanayoenea kwa njia ya ngono, VVU na UKIMWI kwa kutokuwa na taarifa na...
11 years ago
Michuzi
Wizara ya Habari Vijana,Utamaduni na Michezo yakagua miradi ya vikundi vya Vijana vya Wilaya ya Chemba Mkoani Dodoma

