Ban ataka waliomchoma mtoto kuhukumiwa
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa ametaka waliohusika kwenye shambulizi la kumchoma mtoto Mpalestina kufikishwa mbele ya sheria.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMSICHANA WA KAZI ALIYETESA MTOTO AKIRI MAKOSA, KUHUKUMIWA JUMATANO DESEMBA 11, 2014
Jolly Tumuhiirwe, mwenye umri wa miaka 22, alifanya ukatili uliochukiwa na watu wote Duniani, ambapo alinaswa na camera ya siri, akimtandika mtoto wa mdosi wake kwa kumkanyaga mgongoni akiwa ameanguka chini, kumchapa na kitu kisichojulikana na kumpiga mateke na makofi ya nguvu usoni.
Kitendo hicho...
10 years ago
BBCSwahili28 Oct
Ban ataka watu waache unyanyapaa
10 years ago
Vijimambo17 Dec
BAN KI MOON ATAKA USHIRIKIANO ZAIDI BAINA YA UN NA AU
Na Mwandishi Maalum, New YorkKatibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon, amesema, ushirikiano kati ya Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika katika operesheni za ulinzi wa Amani umekuwa wa mafanikio makubwa katika urejeshwaji wa hali ya amani na utulivu katika maeneo yenye migogoro.Hata hivyo amesema pamoja na mafanikio hayo kuna umuhimu wa ushirikiano huo kuboreshwa zaidi na kuwa wenye tija .Alikuwa akizungumza wakati wa majadiliano ya...
10 years ago
MichuziBAADA YA UCHAGUZI WA AMANI, BURUNDI BAN KI MOON ATAKA KUTEJEA KWA MAZUNGUMZO
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, amezitaka pande zinazopingana nchini Burundi kubaki watulivu na kurejea mara moja katika meza ya majadiliano jumuishi ya kisiasa ili kumaliza tofauti zao na kujadili changamoto zinazolikabili taifa lao.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Katibu Mkuu, Julai 23, Ban Ki Moon ametambua hali ya Amani na utulivu iliyotawala wakati wa uchaguzi wa Rais wa nchi hiyo ( Burundi )uliofanyika Julai 21...
11 years ago
Dewji Blog31 May
Ban Ki Moon ampongeza JK katika kupugania Afya ya Mama — Mtoto
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon.(Picha na Maktaba).
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesifu jitihada za Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mchango wake mkubwa katika kupigania Afya ya Mama na Mtoto.
Bw. Ban Ki Moon ametoa pongezi hizo tarehe 30 Mei,2014 wakati alipokuwa akizungumzia juhudi za kumuokoa Mama na Mtoto baada ya Mwaka 2015, mwishoni mwa mkutano wa siku 3 kuhusu Afya ya Mama na Mtoto kama...
10 years ago
Mwananchi28 Feb
Mtoto wa Sokoine ataka Jimbo la Lowassa
9 years ago
GPLKHLOE ATAKA MTOTO NA LAMAR ODOM
10 years ago
BBCSwahili23 Mar
Mtoto wa miaka 12 ataka kumuua mamake kisa ?
10 years ago
MichuziBan ki Moon asifia viongozi walioshirikiana naye katika mkakati wa kimataifa kuhusu vuguvugu la kila mwananamke, kile mtoto
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban ki Moon, amesema kama si utashi wa kisiasa, kujituma, na kujitolea kulikofanywa na viongozi mbalimbali aliowaomba kufanya naye kazi kwa karibu huku wengine wakijitolea wenyewe, uhai wa wanawake na...