Mtoto wa Sokoine ataka Jimbo la Lowassa
Viongozi wa Mila ya kimasai, maarufu kama Laigwanani wa Wilaya ya Monduli, mkoani Arusha wamesema wanamruhusu kuwania ubunge wa Jimbo la Monduli, mtoto wa kike wa Waziri Mkuu wa zamani, hayati Edward Moringe Sokoine, Namelock Sokoine.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Mtoto wa Sokoine amgomea Lowassa
9 years ago
Mtanzania03 Oct
Lowassa amtosa binti wa Sokoine
*Amtaka amfuate Ukawa au amsamehe
*Atangaza atakuwa dikteta wa maendeleo
Na Fredy Azzah, Monduli
MGOMBEA Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, ambaye anaungwa mkono na vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), jana alitangaza kuitua mbeleko aliyokuwa akimbebea Mgombea Ubunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Monduli, Namelok Sokoine.
Vyama vinavyounda Ukawa ni pamoja na Chadema yenyewe, Chama cha Wananchi (CUF), NCCR-Mageuzi na...
10 years ago
Mwananchi03 Aug
Binti wa Sokoine atwaa mikoba ya Lowassa
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Lowassa: Hakuna kama Edward Sokoine
9 years ago
TheCitizen03 Oct
Sokoine daughter loses Lowassa’s support in bid
11 years ago
MichuziMh. Lowassa akagua maandalizi ya Sokoine day Monduli Juu
9 years ago
Dewji Blog30 Sep
NAMELOK SOKOINE: Azindua kampeni za Ubunge Monduli na kuahidi kuendeleza alipoishia LOWASSA!
Mapinduzi (CCM), Namelok Sokoine, akihutubia mkutano wa hadhara wakati wa
uzinduzi wa kampeni zake zilizofanyika katika viwanja vya Nanja Mnadani Monduli
mkoani Arusha Septemba 28,2015 ambapo pamoja na mambo mengine ameahidi
kuendeleza yote aliyoasisi, kusimamia na kutekeleza aliyekuwa mbunge wa jimbo
hilo, Edward Lowassa.
9 years ago
VijimamboNAMELOK SOKOINE AZINDUA KAMPENI ZA UBUNGE MONDULI AHIDI KUENDELEZA ALIPOISHIA LOWASSA
10 years ago
Mtanzania29 May
Sugu ataka jimbo lake lisigawanywe
Na Debora Sanja, Dodoma
MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (Chadema), ameitaka Serikali kumhakikishia kwamba hawataligawa jimbo lake kwa kuwa kufanya hivyo ni sawa na kugawa moyo wake.
Akiuliza swali la nyongeza bungeni jana, Mbilinyi maarufu kama Sugu
alisema haoni sababu ya kugawa jimbo lake kwa kuwa hata wakati
anagombea alijua kwamba jimbo hilo ni kubwa.
Akijibu swali hilo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera,
Uratibu na Bunge, Jenister Mhagama alisema matakwa ya kuligawa...