NAMELOK SOKOINE AZINDUA KAMPENI ZA UBUNGE MONDULI AHIDI KUENDELEZA ALIPOISHIA LOWASSA
MGOMBEA jimbo la Monduli kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Namelok Sokoine, akihutubia mkutano wa hadhara wakati wa uzinduzi wa kampeni zake zilizofanyika katika viwanja vya Nanja Mnadani Monduli mkoani Arusha Septemba 28,2015 ambapo pamoja na mambo mengine ameahidi kuendeleza yote aliyoasisi, kusimamia na kutekeleza aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Edward Lowassa.
Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Asha-Rose Migiro akihutubia mkutano wa uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Ubunge wa Jimbo la Monduli...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog30 Sep
NAMELOK SOKOINE: Azindua kampeni za Ubunge Monduli na kuahidi kuendeleza alipoishia LOWASSA!
Mapinduzi (CCM), Namelok Sokoine, akihutubia mkutano wa hadhara wakati wa
uzinduzi wa kampeni zake zilizofanyika katika viwanja vya Nanja Mnadani Monduli
mkoani Arusha Septemba 28,2015 ambapo pamoja na mambo mengine ameahidi
kuendeleza yote aliyoasisi, kusimamia na kutekeleza aliyekuwa mbunge wa jimbo
hilo, Edward Lowassa.
10 years ago
Michuzi
KINANA AMNADI NAMELOK SOKOINE MONDULI


10 years ago
Vijimambo
KINANA AMNADI NAMELOK SOKOINE KATA KWA KATA MONDULI


11 years ago
MichuziMh. Lowassa akagua maandalizi ya Sokoine day Monduli Juu
11 years ago
MichuziMh. Lowassa azindua bwawa kubwa la maji Monduli
10 years ago
CCM Blog
KINANA AMNADI NAMELOK MONDULI


Katibu Mkuu ameendelea pia kumuombea kura mgombea urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli na kumueleza ni kiongozi mchapakazi...
11 years ago
MichuziMH: NAMELOK SOKOINE ATIMIZA AHADI YAKE KWA KIKUNDI CHA VIKOBA- ARUSHA

10 years ago
Michuzi
MANGUNGU AZINDUA RASMI KAMPENI ZA UBUNGE MBAGALA



KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
5 years ago
MichuziBalozi wa Denmark ahidi kuendeleza ushirikiano na THBUB
Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Mette N. Dissing-Spandet akizungumza na Mwenyekiti wa THBUB, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu katika mazungumzo yaliyofanyika kwenye ofisi za THBUB jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma.
Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Mette N. Dissing-Spandet (kulia) akijadiliana jambo na Mwenyekiti wa THBUB, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu katika Maktaba ya THBUB alipokuwa akioneshwa mazingira ya ofisi hizo ambazo zilijengwa kwa msaada wa Denmark.
Afisa wa THBUB, Omary Limu...