Binti wa Sokoine atwaa mikoba ya Lowassa
Binti wa Waziri mkuu wa zamani, Edward Sokoine, Namelock Sokoine ameshinda kura za maoni kugombea ubunge Jimbo la Monduli kupitia CCM huku mkwe wa Lowassa, Siyoi Sumari akishindwa Jimbo la Arumeru Mashariki.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania03 Oct
Lowassa amtosa binti wa Sokoine
*Amtaka amfuate Ukawa au amsamehe
*Atangaza atakuwa dikteta wa maendeleo
Na Fredy Azzah, Monduli
MGOMBEA Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, ambaye anaungwa mkono na vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), jana alitangaza kuitua mbeleko aliyokuwa akimbebea Mgombea Ubunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Monduli, Namelok Sokoine.
Vyama vinavyounda Ukawa ni pamoja na Chadema yenyewe, Chama cha Wananchi (CUF), NCCR-Mageuzi na...
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Mtoto wa Sokoine amgomea Lowassa
10 years ago
Mwananchi28 Feb
Mtoto wa Sokoine ataka Jimbo la Lowassa
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Lowassa: Hakuna kama Edward Sokoine
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-3Kn7VKkxHTk/VhLIxNTPFZI/AAAAAAAADjI/haf8RW5lWeE/s72-c/OTH_0406.jpg)
LOWASSA AMALIZA KAZI JIMBO LA MONDULI, AMNADI JULIUS KALANGA KUWA NDIEANAFAA KUSHIKA MIKOBA YAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-3Kn7VKkxHTk/VhLIxNTPFZI/AAAAAAAADjI/haf8RW5lWeE/s640/OTH_0406.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4a_Tuj-Y1fk/VhLJK7ZJ8iI/AAAAAAAADjU/btzIRJ4VfoE/s640/OTH_0463.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DxpvkujwUEY/VhLJLNFOghI/AAAAAAAADjc/Nf_uoHUF-ow/s640/OTH_0521.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Qc7a7hvvz7s/VhLJRexpR7I/AAAAAAAADjo/8ihJ_BC86bI/s640/OTH_0524.jpg)
9 years ago
TheCitizen03 Oct
Sokoine daughter loses Lowassa’s support in bid
11 years ago
MichuziMh. Lowassa akagua maandalizi ya Sokoine day Monduli Juu
9 years ago
VijimamboNAMELOK SOKOINE AZINDUA KAMPENI ZA UBUNGE MONDULI AHIDI KUENDELEZA ALIPOISHIA LOWASSA
9 years ago
Dewji Blog30 Sep
NAMELOK SOKOINE: Azindua kampeni za Ubunge Monduli na kuahidi kuendeleza alipoishia LOWASSA!
Mapinduzi (CCM), Namelok Sokoine, akihutubia mkutano wa hadhara wakati wa
uzinduzi wa kampeni zake zilizofanyika katika viwanja vya Nanja Mnadani Monduli
mkoani Arusha Septemba 28,2015 ambapo pamoja na mambo mengine ameahidi
kuendeleza yote aliyoasisi, kusimamia na kutekeleza aliyekuwa mbunge wa jimbo
hilo, Edward Lowassa.