Ban Ki Moon ampongeza JK katika kupugania Afya ya Mama — Mtoto
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon.(Picha na Maktaba).
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesifu jitihada za Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mchango wake mkubwa katika kupigania Afya ya Mama na Mtoto.
Bw. Ban Ki Moon ametoa pongezi hizo tarehe 30 Mei,2014 wakati alipokuwa akizungumzia juhudi za kumuokoa Mama na Mtoto baada ya Mwaka 2015, mwishoni mwa mkutano wa siku 3 kuhusu Afya ya Mama na Mtoto kama...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JqcExJ16frM/VQCTJhhpnnI/AAAAAAAHJq0/mMP3IGilYD0/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
Ban ki Moon asifia viongozi walioshirikiana naye katika mkakati wa kimataifa kuhusu vuguvugu la kila mwananamke, kile mtoto
![](http://2.bp.blogspot.com/-JqcExJ16frM/VQCTJhhpnnI/AAAAAAAHJq0/mMP3IGilYD0/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban ki Moon, amesema kama si utashi wa kisiasa, kujituma, na kujitolea kulikofanywa na viongozi mbalimbali aliowaomba kufanya naye kazi kwa karibu huku wengine wakijitolea wenyewe, uhai wa wanawake na...
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
TPHI kuboresha afya ya mama, mtoto
NOVEMBA 23, mwaka huu, viongozi mbalimbali walipewa tuzo za kutambua mchango wao katika kuboresha afya ya mama na mtoto. Tuzo hizo ziliandaliwa na Taasisi ya Madaktari Waliosoma Vyuo Vikuu nchini...
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
‘Jitokezeni kuchangia afya ya mama na mtoto’
MAKAMU wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal, amewataka wananchi kujitokeza kuchangia fedha kwa ajili ya Kampeni ya ‘Simama kwa ajili ya akina mama wa Afrika’. Dk. Bilal, alitoa kauli hiyo...
10 years ago
Dewji Blog30 Jan
Serikali kuboresha Afya ya mama na mtoto
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage akijibu moja ya maswali yaliyoelekezwa kwenye wizara yake katika kipindi cha maswali na majibu leo Bungeni mjini Dodoma.
Na Lorietha Laurence- Maelezo Dodoma
Serikali imeandaa mikakati mbalimbali ya kuboresha afya ya wanawake wajawazito ili kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi.
Akijibu swali kwa Niaba ya Waziri wa Afya na Ustawi, katika kipindi cha maswali na majibu Bungeni mjini Dodoma, Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-YOwyCH_MW8o/VPz4hg458VI/AAAAAAADbrE/w1AKmoZmgOU/s72-c/IMG_6972%2B-%2BCopy.jpg)
AFYA YA MAMA NA MTOTO NI AJENDA ENDELEVU-WADAU
![](http://4.bp.blogspot.com/-YOwyCH_MW8o/VPz4hg458VI/AAAAAAADbrE/w1AKmoZmgOU/s1600/IMG_6972%2B-%2BCopy.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cwDLp5-daKw/VP1NKNqbXkI/AAAAAAAHI1E/MrL8sZd4fiE/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
AFYA YA MAMA NA MTOTO NI AJENDA ENDELEVU - WADAU
![](http://3.bp.blogspot.com/-cwDLp5-daKw/VP1NKNqbXkI/AAAAAAAHI1E/MrL8sZd4fiE/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_FS3o7ihHzQ/VP1NJ8baPxI/AAAAAAAHI1A/UvtJIQIOgS0/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
10 years ago
Vijimambo14 Jan
TANZANIA NA CANADA KUUNDA KUNDI LA NCHI MARAFIKI KUHUSU AFYA YA MAMA NA MTOTO
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-cKI-BWiBPos%2FVLaewcuoGVI%2FAAAAAAADVfY%2FlXX1eUuPFOs%2Fs1600%2Fafya%252B2.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-H4FbbEINGRE/VLYRFW9LkhI/AAAAAAAG9Po/XMakAK3OcbY/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
TANZANIA NA CANADA KUUNDA KUNDI LA NCHI MARAFIKI KUHUSU AFYA YA MAMA NA MTOTO
![](http://1.bp.blogspot.com/-H4FbbEINGRE/VLYRFW9LkhI/AAAAAAAG9Po/XMakAK3OcbY/s1600/unnamed%2B(13).jpg)