Serikali kuboresha Afya ya mama na mtoto
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage akijibu moja ya maswali yaliyoelekezwa kwenye wizara yake katika kipindi cha maswali na majibu leo Bungeni mjini Dodoma.
Na Lorietha Laurence- Maelezo Dodoma
Serikali imeandaa mikakati mbalimbali ya kuboresha afya ya wanawake wajawazito ili kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi.
Akijibu swali kwa Niaba ya Waziri wa Afya na Ustawi, katika kipindi cha maswali na majibu Bungeni mjini Dodoma, Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
TPHI kuboresha afya ya mama, mtoto
NOVEMBA 23, mwaka huu, viongozi mbalimbali walipewa tuzo za kutambua mchango wao katika kuboresha afya ya mama na mtoto. Tuzo hizo ziliandaliwa na Taasisi ya Madaktari Waliosoma Vyuo Vikuu nchini...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CkyPFx_doiA/Vef6c2Hb1KI/AAAAAAAH2Ac/CY2yR8zY9cQ/s72-c/Health%2BPix%2B2.jpg)
SERIKALI YAHAIDI KUZIDI KUPIGA JEKI WAFANYAKAZI WA AFYA YA JAMII KUBORESHA AFYA YA JAMII VIJIJINI
Akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina ya wadau wa mradi wa mafunzo ya wafanyakazi wa afya ya jamii (Community Health Worker Learning Agenda Project - CHW-LAW) jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji (idara ya uzazi na afya ya mtoto)...
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
‘Jitokezeni kuchangia afya ya mama na mtoto’
MAKAMU wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal, amewataka wananchi kujitokeza kuchangia fedha kwa ajili ya Kampeni ya ‘Simama kwa ajili ya akina mama wa Afrika’. Dk. Bilal, alitoa kauli hiyo...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-YOwyCH_MW8o/VPz4hg458VI/AAAAAAADbrE/w1AKmoZmgOU/s72-c/IMG_6972%2B-%2BCopy.jpg)
AFYA YA MAMA NA MTOTO NI AJENDA ENDELEVU-WADAU
![](http://4.bp.blogspot.com/-YOwyCH_MW8o/VPz4hg458VI/AAAAAAADbrE/w1AKmoZmgOU/s1600/IMG_6972%2B-%2BCopy.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cwDLp5-daKw/VP1NKNqbXkI/AAAAAAAHI1E/MrL8sZd4fiE/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
AFYA YA MAMA NA MTOTO NI AJENDA ENDELEVU - WADAU
![](http://3.bp.blogspot.com/-cwDLp5-daKw/VP1NKNqbXkI/AAAAAAAHI1E/MrL8sZd4fiE/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_FS3o7ihHzQ/VP1NJ8baPxI/AAAAAAAHI1A/UvtJIQIOgS0/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tVo-vwVUOZs/Xk6ZTkK7psI/AAAAAAALejo/hxuuxcqygKI0i7VuECBESP-SgUJ-qJg5wCLcBGAsYHQ/s72-c/dd%2B%25281%2529.jpg)
RAIS MAGUFULI: SERIKALI ITAENDELEA KUIMARISHA NA KUBORESHA MIFUMO NA MIUNDOMBINU YA UTOAJI HUDUMA YA AFYA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-tVo-vwVUOZs/Xk6ZTkK7psI/AAAAAAALejo/hxuuxcqygKI0i7VuECBESP-SgUJ-qJg5wCLcBGAsYHQ/s640/dd%2B%25281%2529.jpg)
RAIS Dkt. John Magufuli amesema katika kipindi cha miaka minne ya utawala wake, Serikali imeweza kuajiri watumishi wapya 13479 wa sekta ya afya sambamba na kuimarisha na kuboresha miundombinu ya huduma za afya za ikiwemo ujenzi na ukarabati wa zahanati, vituo vya afya na hospitali za wilaya katika maeneo mbalimbali nchini.
Akizungumza leo Alhamisi (Februari 20, 2020) Jijini Dar es Salaam katika maadhimisho ya siku ya Madaktari Tanzania, Rais Magufuli alisema Serikali ya Awamu ya Tano...
10 years ago
Dewji Blog23 Feb
Mtoto wa Rais wa awamu ya tano Zanzibar kuboresha ofisi ya serikali ya mtaa kata ya Tabata
Mtoto wa Rais Mstaafu wa awamu ya tano Zanzibar, Amin Salmin, akimkabidhi Cheti, Mwenyekiti wa UWT ambaye pia ni Kaimu Katibu wa CCM wa Tabata Relini, Shahani Mtwawa, wakati wa Sherehe maalum iliyoandaliwa kwa ajili ya kuwashukuru Wapiga Kura wa CCM, waliofanikisha kuchaguliwa kwa Viongozi wa Serikali ya Mtaa huo wa Kata ya Tabata. Sherehe hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki katika Ofisi za Serikali ya Mtaa Kata ya Tabata, jijini Dar es Salaam. Katika hotuba yake mgeni rasmi huyo, aliahidi...
11 years ago
Dewji Blog31 May
Ban Ki Moon ampongeza JK katika kupugania Afya ya Mama — Mtoto
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon.(Picha na Maktaba).
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesifu jitihada za Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mchango wake mkubwa katika kupigania Afya ya Mama na Mtoto.
Bw. Ban Ki Moon ametoa pongezi hizo tarehe 30 Mei,2014 wakati alipokuwa akizungumzia juhudi za kumuokoa Mama na Mtoto baada ya Mwaka 2015, mwishoni mwa mkutano wa siku 3 kuhusu Afya ya Mama na Mtoto kama...