Ban ki Moon asifia viongozi walioshirikiana naye katika mkakati wa kimataifa kuhusu vuguvugu la kila mwananamke, kile mtoto
.jpg)
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban ki Moon, akihutubia wakati wa uzinduzi wa ripoti mpya kuhusu mkakati wa kimataifa kuhusu vuguvugu la kila mwananamke, kile mtoto, ( every woman, every child) mkakati ambao aliuratibu mwaka 2010 .Na Mwandishi Maalum.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban ki Moon, amesema kama si utashi wa kisiasa, kujituma, na kujitolea kulikofanywa na viongozi mbalimbali aliowaomba kufanya naye kazi kwa karibu huku wengine wakijitolea wenyewe, uhai wa wanawake na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog31 May
Ban Ki Moon ampongeza JK katika kupugania Afya ya Mama — Mtoto
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon.(Picha na Maktaba).
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesifu jitihada za Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mchango wake mkubwa katika kupigania Afya ya Mama na Mtoto.
Bw. Ban Ki Moon ametoa pongezi hizo tarehe 30 Mei,2014 wakati alipokuwa akizungumzia juhudi za kumuokoa Mama na Mtoto baada ya Mwaka 2015, mwishoni mwa mkutano wa siku 3 kuhusu Afya ya Mama na Mtoto kama...
10 years ago
Michuzi.jpg)
BAN KI MOON AWAGEUKIA VIONGOZI WA MADHEHEBU YA DINI DUNIANI
.jpg)
10 years ago
Michuzi
Katibu wa Mbunge awashukuru walioshirikiana naye msiba wa mama yake

"Nashukuru Watanzania wote walioshiriki kwa namna moja ama nyingine kufanikisha msiba na mazishi ya mama yetu kwa kutufanyia mambo mengi yenye kuleta ushirikiano kwa jamii kwa rambimbari zilizoonyesha kuguswa na msiba huu. Familia haina cha kuwalipa, isipokuwa kwa...
10 years ago
BBCSwahili24 Aug
Ban Ki Moon ziarani Nigeria
11 years ago
BBC
9 years ago
Habarileo12 Nov
Ban Ki-moon amkubali Rais Magufuli
KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Kimoon ameeleza imani yake kwa Rais John Magufuli akisema chini ya uongozi wake, Serikali ya Tanzania itashughulika na juhudi za kuondoa umaskini, kuimarisha utawala na kupigania amani na utulivu katika Afrika Mashariki na nje ya ukanda.
11 years ago
Dewji Blog29 Oct
Ban Ki Moon awafunda manesi na madaktari
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon.
Na Mwandishi wetu
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban ki Moon amezitaka nchi duniani kuacha tabia ya unyanyapaa kwa madaktari na manesi waliofanya kazi katika nchi zilizoathiriwa na ugonjwa wa Ebola na kuwalazimisha kwenda karantini pindi warejeapo nyumbani.
Akizungumza katika mji mkuu wa Ethiopia Adiss ababa, Ban amewaelezea wafanyakazi wa namna hiyo kuwa ni wa kipekee mno, marafiki wazuri na si vyema kuwatenga.
Kauli hiyo inakuja baada ya...
10 years ago
Michuzi.jpg)
BAN KI MOON SALUTES PRESIDENT KIKWETE
.jpg)
“You’re Excellency,
I am Pleased to offer you and the Government and people of the United Republic of Tanzania my warmest congratulations on the occasion of the Union This year marks the 70th anniversary of the United Nations,...
10 years ago
BBCSwahili01 May
Ban Moon asikitishwa na mapigano Yemen