BAN KI MOON ATAKA USHIRIKIANO ZAIDI BAINA YA UN NA AU
Katibu Mkuu Umoja wa Mataiifa Ban Ki Moon
Na Mwandishi Maalum, New York
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pNBdVlin5Lw/VbHEumWFvGI/AAAAAAAHrYs/5dS9hlmWL6c/s72-c/unnamed.jpg)
BAADA YA UCHAGUZI WA AMANI, BURUNDI BAN KI MOON ATAKA KUTEJEA KWA MAZUNGUMZO
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, amezitaka pande zinazopingana nchini Burundi kubaki watulivu na kurejea mara moja katika meza ya majadiliano jumuishi ya kisiasa ili kumaliza tofauti zao na kujadili changamoto zinazolikabili taifa lao.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Katibu Mkuu, Julai 23, Ban Ki Moon ametambua hali ya Amani na utulivu iliyotawala wakati wa uchaguzi wa Rais wa nchi hiyo ( Burundi )uliofanyika Julai 21...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XowB0waWHC4/U8jHAO4stvI/AAAAAAAF3OM/9uP6VGGpasg/s72-c/unnamed+(30).jpg)
ILIKUWA NA MAENDELEO ENDELEVU AFRIKA INAHITAJI UWEKEZAJI ZAIDI- BAN KI MOON
![](http://4.bp.blogspot.com/-XowB0waWHC4/U8jHAO4stvI/AAAAAAAF3OM/9uP6VGGpasg/s1600/unnamed+(30).jpg)
9 years ago
Michuzi14 Dec
Wasanii waaswa kuendeleza ushirikiano baina yao na Serikali
![cb3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/cb3.jpg)
![cb2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/cb2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-V2X2xiauStc/XuuGs6cqP5I/AAAAAAALuf8/5Dz8inb1pGwoPB51aYizMm8G2xIyRo2CgCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-01.jpg)
Msajili Wa Hazina Akutana Na Kamishna wa Maadili Kujadili Namna ya Kuimarisha Ushirikiano Baina ya Ofisi Hizo
![](https://1.bp.blogspot.com/-V2X2xiauStc/XuuGs6cqP5I/AAAAAAALuf8/5Dz8inb1pGwoPB51aYizMm8G2xIyRo2CgCLcBGAsYHQ/s640/PIX-01.jpg)
Msajili wa Hazina, Athumani Mbuttuka akifafanua jambo wakati wa kikao cha pamoja na Kamishna wa Maadili katika Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Mstaafu Harold Nsekela , kujadili namna bora ya kuimarisha ushirikiano kati ya ofisi hizo. Kikao hicho kilifanyika jana Juni 18, 2020 katika Ofisi za Msajili wa Hazina, Jijini Dar es...
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74170000/jpg/_74170569_021804091.jpg)
9 years ago
BBCSwahili24 Aug
Ban Ki Moon ziarani Nigeria
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Ban Ki-Moon alaani yanayojiri S.kusini
10 years ago
BBCSwahili13 Aug
Ban Ki moon afanya maamuzi magumu
10 years ago
Dewji Blog29 Oct
Ban Ki Moon awafunda manesi na madaktari
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon.
Na Mwandishi wetu
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban ki Moon amezitaka nchi duniani kuacha tabia ya unyanyapaa kwa madaktari na manesi waliofanya kazi katika nchi zilizoathiriwa na ugonjwa wa Ebola na kuwalazimisha kwenda karantini pindi warejeapo nyumbani.
Akizungumza katika mji mkuu wa Ethiopia Adiss ababa, Ban amewaelezea wafanyakazi wa namna hiyo kuwa ni wa kipekee mno, marafiki wazuri na si vyema kuwatenga.
Kauli hiyo inakuja baada ya...