Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ILIKUWA NA MAENDELEO ENDELEVU AFRIKA INAHITAJI UWEKEZAJI ZAIDI- BAN KI MOON

 Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, akifungua mkutano wa siku moja wa  Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambapo siku nzima ya Alhamisi liLIjadili  ajenda ya uwekezaji kwa Afrika  na  mchango wake kwa Maendeleo endelevu. Katika hotuba yake,  Ban Ki Moon alisema  Afrika isiridhike na ukuaji  wa jumla wa uchumi wake ambao umekuwa ni mzuri bali inahitaji kuwekeza zaidi  ili uwekezaji huo uweze kuchangia katika kuleta maendeleo endelevu,  kuwaondolea  watu wake umaskini, kukuza ajira na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

HUBIRINI AMANI, USALAMA, DEMOKRASIA NA MAENDELEO ENDELEVUWATU -BAN KI MOON

Na Mwandishi Maalum, New York Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, amewaasa Maspika wa Mabunge Duniani kuhakikisha kwamba wanakuwa mstari wa mbele katika utekelezaji wa Malengo na Ajenda Mpya za Maendeleo Endelevu, kwa kushirikiana na Serikali zao na Asasi za Kijamii. “ Mnakutana katika kipindi ambacho dunia inakabiliwa na changamoto nyingi ikiwamo ya wimbi kubwa la wakimbizi wanaokimbia vita na machafuko katika nchi zao, wimbi ambalo halijawahi kutokea tangu vita kuu ya...

 

10 years ago

Vijimambo

BAN KI MOON ATAKA USHIRIKIANO ZAIDI BAINA YA UN NA AU

Katibu Mkuu Umoja wa Mataiifa Ban Ki Moon
Na  Mwandishi Maalum, New York

Katibu Mkuu wa Umoja wa  Mataifa  Ban Ki Moon,  amesema, ushirikiano  kati ya Umoja wa Mataifa na  Umoja wa Afrika katika operesheni za ulinzi wa Amani  umekuwa  wa  mafanikio makubwa katika urejeshwaji wa hali ya amani na utulivu katika maeneo yenye  migogoro.

Hata hivyo  amesema pamoja na mafanikio hayo kuna  umuhimu wa ushirikiano huo kuboreshwa zaidi na kuwa wenye tija .

Alikuwa akizungumza  wakati wa majadiliano ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ban Ki Moon ziarani Pembe ya Afrika

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon yuko nchini Ethiopia kujadili mlipuko wa Ebola.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mkutano wa tano wa Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu barani Afrika waanza leo Victoria Falls-Zimbabwe

 

DSC_4474

Makamu wa Rais wa Zimbabwe, Mh. Emmerson Mnangagwa  akihutubia wakati wa ufunguzi rasmi wa mkutano wa tano wa  Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu barani Afrika  unaoendelea muda huu Victoria Falls-Zimbabwe. Ambapo amezitaka nchi za Afrika kuendelea kushikamana katika kukabiliana na mabadiuliko ya tabianchi pamoja na ukuaji wa uchumi. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog)

DSC_4488

Baadhi ya washiriki wa mkutano mkubwa wa tano wa  Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu barani...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wataalamu na Wadau wa Mazingira waendelea kujadili mada katika mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu Afrika

DSC_4554

Baadhi ya washiriki wa mkutano mkubwa wa tano wa Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu barani Afrika unaoendelea muda huu Victoria Falls-Zimbabwe wakifuatilia mada leo Oktoba 29, siku ya pili ya mkutano huo. Tayari mada mbalimbali za kitaalamu juu ya mabadiliko ya tabianchi na mambo ya kimikakati ya kukabiliana na mazingira, hali ya hewa na mengine yanaendelea kujadiliwa muda huu. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog.

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[VICTORIA FALLS-ZIMBABWE]...

 

9 years ago

Raia Mwema

Z’bar inahitaji umakini zaidi

UAMUZI wa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar, Jecha Salim Jecha, kufuta Uchaguzi Mkuu wa vis

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

BBC

Viewpoint: CAR needs help - Ban Ki-Moon

UN chief says CAR 'must not become another Rwanda'

 

9 years ago

BBCSwahili

Ban Ki Moon ziarani Nigeria

Katibu mkuu wa umoja wa mataifa Ban Ki-moon amewasili jana nchini Nigeria kuanza ziara ya siku mbili.

 

10 years ago

Dewji Blog

Ban Ki Moon awafunda manesi na madaktari

Ethiopia UN Ebola

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon.

Na Mwandishi wetu

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban ki Moon amezitaka nchi duniani kuacha tabia ya unyanyapaa kwa madaktari na manesi waliofanya kazi katika nchi zilizoathiriwa na ugonjwa wa Ebola na kuwalazimisha kwenda karantini pindi warejeapo nyumbani.

Akizungumza katika mji mkuu wa Ethiopia Adiss ababa, Ban amewaelezea wafanyakazi wa namna hiyo kuwa ni wa kipekee mno, marafiki wazuri na si vyema kuwatenga.

Kauli hiyo inakuja baada ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani