Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkutano wa tano wa Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu barani Afrika waanza leo Victoria Falls-Zimbabwe

 

DSC_4474

Makamu wa Rais wa Zimbabwe, Mh. Emmerson Mnangagwa  akihutubia wakati wa ufunguzi rasmi wa mkutano wa tano wa  Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu barani Afrika  unaoendelea muda huu Victoria Falls-Zimbabwe. Ambapo amezitaka nchi za Afrika kuendelea kushikamana katika kukabiliana na mabadiuliko ya tabianchi pamoja na ukuaji wa uchumi. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog)

DSC_4488

Baadhi ya washiriki wa mkutano mkubwa wa tano wa  Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu barani...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Wataalamu na Wadau wa Mazingira waendelea kujadili mada katika mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu Afrika

DSC_4554

Baadhi ya washiriki wa mkutano mkubwa wa tano wa Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu barani Afrika unaoendelea muda huu Victoria Falls-Zimbabwe wakifuatilia mada leo Oktoba 29, siku ya pili ya mkutano huo. Tayari mada mbalimbali za kitaalamu juu ya mabadiliko ya tabianchi na mambo ya kimikakati ya kukabiliana na mazingira, hali ya hewa na mengine yanaendelea kujadiliwa muda huu. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog.

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[VICTORIA FALLS-ZIMBABWE]...

 

11 years ago

Michuzi

MKUTANO WA SIKU MBILI JUU YA MABADILIKO YA TABIANCHI, UHAKIKA WA CHAKULA NA HAKI ZA ARDHI WAANZA LEO JIJINI DAR

 Jenerali Ulimwengu ambaye ndiye mwezeshaji  akiendelea kutoa Mwongozo katika mkutano wa siku mbili juu ya mabadiliko ya Tabianchi, uhakika wa Chakula na haki za Ardhi mkutano ulioandaliwa na Oxfam pamoja na Forum CC

Robert Muthami Program Support Officer kutoka Pan African Climate Justice Alliance (PACJA) akitoa ufafanuzi juu ya baadhi ya mambo yanayohusu mabadiliko ya Tabianchi.
 Meza  ya Majaji wakiwa wanasikiliza kwa makini malalamiko ya walalamikaji kutoka Loliondo juu ya kuchukuliwa...

 

10 years ago

Michuzi

VIJANA WAUNGANA KUPAMBANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI KATIKA MALENGO 17 YA MAENDELEO ENDELEVU (SDGs)

Na Chalila Kibuda ,Globu ya JamiiVIJANA Watanzania  wameungana katika harakati za kupambana na Mabadilikio ya Tabianchi kutokana na kuwa idadi kubwa ya watu kuweza kufanya mabadiliko hayo.
Akizungumza na wadau wa Mabadiliko ya Tabianchi,Mratibu wa Mtandao wa Mabadiliko ya Tabianchi,Sixberty Mwanga amesema kuwa katika malengo 17 ya Maendeleo Endelevu Tanzania inatakiwa kushiriki na kukubali juu ya kuweza kupata fedha za kuweza kutekeleza malengo hayo.
Mkutano wa Umoja wa Mataifa (UN) wa Malengo...

 

11 years ago

Vijimambo

MKUTANO WA SIKU MBILI JUU YA MABADILIKO YA TABIANCHI, UHAKIKA WA CHAKULA NA HAKI ZA ARDHI ULIOANDALIWA NA OXFAM PAMOJA NA FORUM CC WAANZA LEO KATIKA UKUMBI WA KARIMJEE DAR.


Jenerali Ulimwenguambaye ndiye mwezeshaji akiendelea kutoa Mwongozo katika mkutano wa siku mbili juu ya mabadiliko ya Tabianchi, uhakika wa Chakula na haki za Ardhi mkutano ulioandaliwa na Oxfam pamoja na Forum CC Robert Muthami Program Support Officer kutoka Pan African Climate Justice Alliance (PACJA) akitoa ufafanuzi juu ya baadhi ya mambo yanayohusu mabadiliko ya Tabianchi.Meza ya Majaji wakiwa wanasikiliza kwa makini malalamiko ya walalamikaji kutoka Loliondo juu ya kuchukuliwa ardhi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Climate compatible crop husbandry in Ethiopia #CCVDA5-Victoria Falls,Zimbabwe

DSC_4574

Prof. Fasile Kebede Yimamu (Ethiopia) present the paper  about Climate compatible crop husbandry : A case from Ethiopia. during in Fifth Conference on Climate and Development in Africa (CCDA-V) Climate Change and Sustainable Development: what is at stake at Paris and beyond?. (All photo by Andrew Chale, Modewjiblog, Victoria Falls-Zimbabwe).

DSC_4579

DSC_4582

DSC_4583

DSC_4585

DSC_4587

DSC_4590

DSC_4591

DSC_4592

DSC_4593

DSC_4596

 

11 years ago

Vijimambo

MAKINDA ATTENDS THE OFFICIAL OPENING OF THE 36 SADC PF ASSEMBLY IN VICTORIA FALLS ZIMBABWE

. The Speaker of the National Assembly of Tanzania Hon. Anne Makinda adoring the speech from the Guest of honor during the official opening of the 36 Plenary Assembly of the SADC Parliamentary Forum in Victoria Falls Zimbabwe today October 31, 2014. With her is the Tanzania Higher Commissioner to Zimbabwe Hon. Adad Rajab and the SADC PF treasure Hon. Seleman Said JaffoMembers of the Tanzania Delegation to the 36 Plenary Assembly of the SADC Parliamentary Forum listening attentively the...

 

11 years ago

Michuzi

Speaker Makinda attends the 36 Plenary Assembly of the SADC Parliamentary Forum in Victoria Falls Zimbabwe

The Speaker of the National Assembly of Tanzania Hon. Anne Makinda applauds the speech from the Guest of honor during the official opening of the 36 Plenary Assembly of the SADC Parliamentary Forum in Victoria Falls Zimbabwe today. With her is the Tanzania Higher Commissioner to Zimbabwe Hon. Adad Rajab and the SADC PF treasure Hon.  Seleman  Said Jaffo. For more CLICK HERE

 

10 years ago

Vijimambo

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA TANO WA JUMUIYA YA MADOLA NA WAKUU WA TAASISI ZA KUPAMBANA NA RUSHWA BARANI AFRIKA, JIJINI DAR.


Makamau wa Rais waJamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akifungua Mkutano Mkuu wa tano wa Jumuiya ya Madola na Wakuu wa Taasisi za Kupambana na Rushwa Barani Afrika, uliofanyika leo Mei 25 kwenye Hoteli ya Bahari Beach, jijini Dar es Salaam.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal (katikati), akifurahia jambo na baadhi ya Viongozi wakati wa ufunguzi wa mkutano huo,uliofanyika leo kwenye Hoteli ya Bahari Beach jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA TANO WA JUMUIYA YA MADOLA NA WAKUU WA TAASISI ZA KUPAMBANA NA RUSHWA BARANI AFRIKA, JIJINI DAR

Makamau wa Rais waJamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akifungua Mkutano Mkuu wa tano wa Jumuiya ya Madola na Wakuu wa Taasisi za Kupambana na Rushwa Barani Afrika, uliofanyika leo Mei 25 kwenye Hoteli ya Bahari Beach, jijini Dar es Salaam.Baadhi ya washiriki waliohudhuria mkutano huo, wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal, wakati akihutubia, kufungua rasmi mkutano wa tano wa Jumuiya ya Madola na Wakuu wa Taasisi za Kupambana na Rushwa Barani Afrika,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani