Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Naj: Ilihitaji moyo mgumu kuwa mpenzi wa Mr Blue (Audio)

12357741_121588221546710_530112732_n

Naj alihitaji kuwa na moyo wa chuma kuweza kuishi kama mpenzi wake wa zamani, Mr Blue.

12357741_121588221546710_530112732_n

Mrembo huyo anadai wakati walipokuwa na uhusiano, Mr Blue alikuwa akisumbuliwa na wasichana usiku na mchana.

“Kama hujiamini unaweza ukaumia sana,” alisema.

“Kwangu mimi zile nilikuwa nazichukulia tu kama kawaida. I was just thinking kwasababu anazipokea [simu] pale mbele yangu, maybe alikuwa anazichagua za kupokea. I was very young,” alikumbushia.

Sikiliza kipindi chote hapo chini.

Jiunge na...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Chill na Sky: Naj azungumzia alivyoanza muziki, kufanya audition ya Harry Porter, uhusiano wake na Mr Blue nk (Audio)

12070616_1731677777055440_798838554_n

Wiki hii kwenye Chill na Sky, Fredrick ‘Skywalker’ amepiga story na Naj aliyeachia video yake ya ‘No Going Home’ mwishoni mwa wiki iliyopita. Kwenye kipindi hiki Naj amezungumzia historia yake, alivyoanza muziki, alivyoshiriki kwenye audition za filamu ya Harry Porter, uhusiano wake na Mr Blue na mambo mengi.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali...

 

9 years ago

MillardAyo

Alichokisema Mr. Blue kuhusu Diamond kutumia jina la Simba…(+Audio)

Hivi karibuni Msanii Diamond Platnumz amekuwa akilitumia jina la Simba kama moja ya a.k.a katika maeneo mbalimbali hasa akiwa kwenye stage, Lakini hapa nakukutanisha na Msanii Mr. Blue akielezea watu wanaotumia jina hilo. Unaweza kubonyeza Play hapa chini na ukapata full stori Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na […]

The post Alichokisema Mr. Blue kuhusu Diamond kutumia jina la Simba…(+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

GPL

MPENZI WA MBALI UKISEMA KATULIA, HAKUSALITI, UNAJIPA MOYO TU!

Mchezo wa wapenzi kusalitiana umeshamiri sana kwenye jamii yetu. Ni kitu kinachouma sana lakini cha kushangaza imefika mahali watu wanaona ni cha kawaida kwa kuwa ni vigumu kumzuia mtu asikusaliti akiwa ameamua kufanya hivyo. Kamchezo haka kapo kwa jinsi zote lakini leo niwazungumzie wasichana ambao baadhi wamezidisha na kuwaogopesha wanaume wengi kujiingiza kwenye mapenzi. Tabia ya msichana kuwa na wapenzi zaidi ya mmoja hasa...

 

9 years ago

StarTV

Dokta kikwete akiri uchaguzi kuwa mgumu

Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi CCM Taifa dokta Jakaya Kikwete ameonya kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu ni mgumu kwa vyama vyote vya siasa na kuhimiza viongozi wa vyama hivyo kuhakikisha wanafanya kampeni za kutosha ili kuwapa nafasi zaidi wananchi kufanya maamuzi sahihi.

Dk.Kikwete ametoa rai hiyo kabla ya kumkabidhi ilani ya uchaguzi ya chama cha mapinduzi CCM mgombea urais anayetetea kiti chake katika uchaguzi mkuu wa Zanzibar Dokta.Ali Mohammed Shein.

Dokta Kikwete ni miongoni mwa...

 

9 years ago

MillardAyo

Mr. Blue bado analalamikia jina la ‘Simba’? Vipi ana tatizo na Diamond Platnumz? Hii hapa.. #UHeard (+Audio)

Ishu ilianza kwenye mtandao wa Instagram ambapo Mr. Blue alipost kwamba amesikia kuna watu wanajiita simba akati yeye alijiita jina hilo kwa sababu ya style yake ya kuchana. Blue amesema hana kinyongo kwa kuigwa lakini aliona aweke wazi ili watu wajue kwamba anaigwa na wengi na anajivunia kwa kuwa mfano wa kuigwa… Kuhusu ishu ya […]

The post Mr. Blue bado analalamikia jina la ‘Simba’? Vipi ana tatizo na Diamond Platnumz? Hii hapa.. #UHeard (+Audio) appeared first on...

 

11 years ago

Bongo5

Madee adai muziki umekuwa mgumu kutokana na nyimbo kuwa nyingi

Mkali wa ‘Pombe Yangu’, Madee amesema muziki wa sasa ni mgumu kutokana na wasanii kuwa wengi nyimbo nyingi kutoka kwa wakati mmoja. Madee amesema kurundikana kwa nyimbo kunasababisha kuvipa wakati mgumu vituo vya redio na TV kuzipiga kwa wakati stahiki. “Sasa muziki unakuwa mgumu kwa sababu nyimbo zipo nyingi sana,” Madee ameiambia Bongo5. “Yaani kwa […]

 

9 years ago

MillardAyo

Umeipata ya baba kuoa mpenzi wa mtoto wake? Imedakwa na ‘Hekaheka’ ya leo.. (+Audio)

Team nzima ya Leo Tena huwa inasogeza matukio mbalimbali ambayo yanatokea kwenye maisha ya mtaani ya kila siku kupitia ‘Hekaheka‘.. kona ya Hekaheka imekuja na stori ya kijana mmoja kutoka Moshi ambapo kijana huyo amekuta baba yake ameoa mchumba wake !! Jamaa huyo anasimulia kwamba alimtambulisha mpenzi wake kwa ndugu zake pamoja na baba yake, […]

The post Umeipata ya baba kuoa mpenzi wa mtoto wake? Imedakwa na ‘Hekaheka’ ya leo.. (+Audio) appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Wanaomtaka Joh Makini kimataifa? Diamond na Nahreel kuhusu ‘Nana’? Simba ya Mr. Blue na Diamond? (+Audio)

Kama ulipitwa na stori kubwa tatu kwenye 255 iliyosikika kwenye show ya XXL Clouds FM, ninazo hapa za Joh Makini, Diamond na Afande Sele. Joh Makini kwenye level za kimataifa sasahivi… rapper huyo amesema kuna majina makubwa ya wanaotaka collabo ila hawezi kuyataja japo kwenye majina hayo yupo Davido pia kutoka Nigeria. Nahreel aliwahi kuzungumzia […]

The post Wanaomtaka Joh Makini kimataifa? Diamond na Nahreel kuhusu ‘Nana’? Simba ya Mr. Blue na Diamond? (+Audio) appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Licha ya kuwa na wakati mgumu, Chelsea wameanza kusherehekea Christmas kwa style hii (+Pichaz)

Licha ya kuwa katika wakati mgumu katika michezo ya Ligi Kuu Uingereza, klabu ya Chelsea imeanza kusherehekea sikukuu ya Christmas kwa style hii, mastaa wa klabu ya Chelsea waliamua kuanza kusherehekea Christmas, kwa kutembelea wodi ya watoto ya hospitali ya West London. Mastaa hao wa Chelsea ambao timu yao ipo nafasi ya 16 katika msimamo wa Ligi Kuu […]

The post Licha ya kuwa na wakati mgumu, Chelsea wameanza kusherehekea Christmas kwa style hii (+Pichaz) appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani