Kevin Hart: Mwanzo ulikuwa mgumu kwangu
Kwa hakika usemi wa mwanzo mgumu unaweza kuwa sehemu ya maisha ambayo wamepitia watu wengi ambao wanaonekana kufanikiwa hivi sasa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo502 Sep
Kevin Hart’s ‘What Now’ tour comes to Africa
American actor, comedian and star of television hit series, “Real Husbands of Hollywood”, Kevin Hart, is set to perform in South Africa. Savanna Premium Cider is bringing one of the world’s hottest names in stand-up, celebrated American actor Kevin Hart, on his first ever tour to South Africa. The South African leg of the tour […]
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox4bTMsxy4ZivdVK*ak8VARkIPkZ9phQtKsb4Oe8VY41RFBYt0ioyeXMCdk2VOXcFeK5lzmbI4UtEPu1FwPYBd92/amanda.jpg?width=650)
AMANDA: MWAKA 2013 ULIKUWA MAJANGA KWANGU
Tamrina Poshi ‘Amanda’. Stori: Gladness Mallya
MWANADADA kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amefunguka kuwa mwaka 2013 ulikuwa majanga kwake kwani ulikuwa mgumu sana na mambo yake hayakumwendea vizuri. Akichonga na gazeti hili, Amanda alisema bora mwaka huu upite, kwani ulikuwa mgumu sana kwa upande wake katika mambo f’lani ambayo hakutaka kuyataja ila anaamini kuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TuH-vYM0DCwmC1YUJpCwzySDZopLF8OJ*7JR5NSd3zsBBq0UAZbSYpidiuXxJYgnVN-AmfcbZkNJ83dKTEZs05Qh8-YzHOaf/Amanda.jpg?width=650)
AMANDA: 2014 ULIKUWA FULL MAJANGA KWANGU
Hamida Hassan
Msanii wa filamu Bongo, Tamrina Posh ‘Amanda’ amesema mwaka uliopita wa 2014 ulikuwa mbaya sana kwake kwani aliandamwa na majanga yaliyotikisa maisha yake. Msanii wa filamu Bongo, Tamrina Posh ‘Amanda’. Akizungumzia namna alivyoupkea mwaka wa 2015 Amanda alisema, kwanza anamshukuru Mungu kwa kuuona akiwa mzima lakini akamuomba amuepushe na mabalaa kwani uliopita haukuwa rafiki kwake....
9 years ago
Mwananchi02 Nov
Malocha: Uchaguzi ulikuwa mgumu
Mbunge mteule wa Jimbo la Kwela (CCM), Ignas Malocha amesema haikuwa kazi rahisi kupata ushindi kutokana na ushindani mkubwa alioupata kutoka kwa mgombea wa Chadema, Daniel Ngogo.
11 years ago
Mwananchi13 Dec
JK: Ulikuwa wakati mgumu kuona mwili wa Mandela
 Rais Jakaya Kikwete amesema amepata wakati mgumu alipouona mwili wa Rais wa Kwanza Mzalendo wa Afrika Kusini, alipokwenda kutoa heshima za mwisho kwa kiongozi huyo.
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Mbwana Sammatta 'Mchezo ulikuwa mgumu upande wetu'
Sammatta amekiri kuwa Manchester City iliishinda nguvu Aston Villa
5 years ago
Michuzi11 Jun
WAJASIRIAMALI MWANZO MGUMU WAKABILIWA NA CHANGAMOTO YA USAFIRI KUSAFIRISHA MAWE
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/IMG-20200610-WA0035.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/IMG-20200610-WA0036.jpg)
***************************
NA MWAMVUA MWINYI
WAJASIRIAMALI wa Kikundi cha Mwanzo Mgumu, kilichopo Kijiji cha Kwedikwazu Kata ya Kabuku wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga, wanahitaji usafiri utaowarahisishia kazi zao za ubebaji wa mawe.
Wakizungumza na Waandishi wa habari katika eneo wanalofanya shughuli zao za kubangua mawe, Wajasiriamali hao walisema kuwa wananufaika na machimbo ya mawe yanayotumika kutengenea Marumaru na Jipsam katika majengo mbalimbali.
Katibu wa kikundi hicho Saumu Kisaka...
11 years ago
BBCSwahili25 Jan
Aguero apiga Hart trick,City ikishinda.
Magoli matatu ya Sergio Aguero na moja la Kolarov, yameisaidia Man City kuvuka raundi ya nne ya michuano ya kombe la FA.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania