Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AMANDA: MWAKA 2013 ULIKUWA MAJANGA KWANGU

Tamrina Poshi ‘Amanda’. Stori: Gladness Mallya
MWANADADA kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amefunguka kuwa mwaka 2013 ulikuwa majanga kwake kwani ulikuwa mgumu sana na mambo yake hayakumwendea vizuri. Akichonga na gazeti hili, Amanda alisema bora mwaka huu upite, kwani ulikuwa mgumu sana kwa upande wake  katika mambo f’lani ambayo hakutaka kuyataja ila anaamini kuwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

AMANDA: 2014 ULIKUWA FULL MAJANGA KWANGU

Hamida Hassan
Msanii wa filamu Bongo, Tamrina Posh ‘Amanda’ amesema mwaka uliopita wa 2014 ulikuwa mbaya sana kwake kwani aliandamwa na majanga yaliyotikisa maisha yake. Msanii wa filamu Bongo, Tamrina Posh ‘Amanda’. Akizungumzia namna alivyoupkea mwaka wa 2015 Amanda alisema, kwanza anamshukuru Mungu kwa kuuona akiwa mzima lakini akamuomba amuepushe na mabalaa kwani uliopita haukuwa rafiki kwake....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rais wangu Kikwete, Mwaka 2013 ulikuwa ni majanga!

RAIS wangu tunapoufungua mwaka 2014 na kuufunga mwaka 2013 tunapata fursa nyingine ya kujitafakari na kuyapima yote tuliyoyafanya kwa mwaka mzima uliopita. Tujiulize, ni kwa jema lipi tutakumbukwa au ni...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwaka 2013 ulikuwa wa majonzi kwa wasanii

Mwaka 2013 ukiwa unaelekea ukingoni, umekuwa wa huzuni kwenye tasnia ya filamu kutokana na wasanii wengi kupoteza maisha.

 

11 years ago

Mwananchi

2013 : Ulikuwa mwaka wa mapinduzi katika Tehama, kilimo

Sayansi na teknolojia, ni sekta inayokua kwa kasi zaidi duniani. Kila kukicha wanasayansi wanavumbua vitu vipya vinavyoifanya dunia kuwa kijiji kimoja kiutendaji, hasa upande wa mawasiliano.

 

11 years ago

Mwananchi

Kevin Hart: Mwanzo ulikuwa mgumu kwangu

Kwa hakika usemi wa mwanzo mgumu unaweza kuwa sehemu ya maisha ambayo wamepitia watu wengi ambao wanaonekana kufanikiwa hivi sasa.

 

11 years ago

GPL

SNURA: 2014 MAJANGA KWANGU

Stori: Hamida Hassan
STAA wa majanga, Snura Mushi ameuanza mwaka 2014 vibaya kutokana na maradhi ya presha yanayomsumbua mara kwa mara. Snura Mushi. Akipiga stori na Ijumaa Wikienda, Snura alisema kuwa hajui ni kitu gani kinamsumbua lakini kila akienda kupima anaambiwa ni presha imepanda na vidonda vya tumbo. “Nimekuwa nikiumwa mara kwa mara na nikishikwa ni lazima niwekewe drip kwani naishiwa nguvu nakosa raha pia,...

 

10 years ago

Mwananchi

2014 ulikuwa mwaka wa ‘rangirangi’

Mwaka 2014 unaelekea kwisha. Hiki ni kipindi kizuri cha kuangalia ni yapi yaliyofanyika. Na je yalifanyika kama yalivyopangwa au la? Wakati ukitafakati yaliyotokea, ni vyema pia ukachukua kalamu na karatasi kujipanga kwa ajili ya mwaka ujao.

 

10 years ago

GPL

DUDE: MWAKA 2014 NI GUNDU KWANGU

Stori: Gladness Mallya
TUKIWA tunaelekea ukingoni mwa mwaka, msanii wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amefunguka kuwa mwaka 2014 ulikuwa hauna bahati (gundu) hivyo anamuomba Mungu huo ujao uwe wa baraka kwake. Msanii wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’. Akipiga stori na gazeti hili, Dude alisema ndani ya mwaka huu hakuweza kufanikisha lengo lolote kati ya yale aliyojiwekea ikiwa ni pamoja na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani