Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwaka 2013 ulikuwa wa majonzi kwa wasanii

Mwaka 2013 ukiwa unaelekea ukingoni, umekuwa wa huzuni kwenye tasnia ya filamu kutokana na wasanii wengi kupoteza maisha.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

AMANDA: MWAKA 2013 ULIKUWA MAJANGA KWANGU

Tamrina Poshi ‘Amanda’. Stori: Gladness Mallya
MWANADADA kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amefunguka kuwa mwaka 2013 ulikuwa majanga kwake kwani ulikuwa mgumu sana na mambo yake hayakumwendea vizuri. Akichonga na gazeti hili, Amanda alisema bora mwaka huu upite, kwani ulikuwa mgumu sana kwa upande wake  katika mambo f’lani ambayo hakutaka kuyataja ila anaamini kuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rais wangu Kikwete, Mwaka 2013 ulikuwa ni majanga!

RAIS wangu tunapoufungua mwaka 2014 na kuufunga mwaka 2013 tunapata fursa nyingine ya kujitafakari na kuyapima yote tuliyoyafanya kwa mwaka mzima uliopita. Tujiulize, ni kwa jema lipi tutakumbukwa au ni...

 

11 years ago

Mwananchi

2013 : Ulikuwa mwaka wa mapinduzi katika Tehama, kilimo

Sayansi na teknolojia, ni sekta inayokua kwa kasi zaidi duniani. Kila kukicha wanasayansi wanavumbua vitu vipya vinavyoifanya dunia kuwa kijiji kimoja kiutendaji, hasa upande wa mawasiliano.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwaka 2013 kwa picha

Mwaka wa 2013 utakumbukwa na wengi kwa picha hizi

 

11 years ago

Mwananchi

Mwaka 2013; uliacha ‘vilio’ kwa tembo

>Kama Tembo wa Tanzania wangeulizwa kuna jambo gani kubwa hawatalisahau kwa mwaka 2013, bila shaka jibu lingekuwa: “Tuliwindwa, tukauawa sisi na watoto wetu na bado tuna hofu.”

 

10 years ago

Mwananchi

2014 ulikuwa mwaka wa ‘rangirangi’

Mwaka 2014 unaelekea kwisha. Hiki ni kipindi kizuri cha kuangalia ni yapi yaliyofanyika. Na je yalifanyika kama yalivyopangwa au la? Wakati ukitafakati yaliyotokea, ni vyema pia ukachukua kalamu na karatasi kujipanga kwa ajili ya mwaka ujao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani