2014 ulikuwa mwaka wa ‘rangirangi’
Mwaka 2014 unaelekea kwisha. Hiki ni kipindi kizuri cha kuangalia ni yapi yaliyofanyika. Na je yalifanyika kama yalivyopangwa au la? Wakati ukitafakati yaliyotokea, ni vyema pia ukachukua kalamu na karatasi kujipanga kwa ajili ya mwaka ujao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
2014 ULIKUWA MWAKA WA DIAMOND, SOKA ILIBAKIA KATIKA SIASA

MCLBy EDO KUMWEMB (email the author)
Na amefunga kazi kwa habari iliyotokea majuzi kuwa yeye ni miongoni mwa watu wanaomlipa mshahara Haruna Moshi Boban pale Friends Rangers.

11 years ago
GPL
AMANDA: MWAKA 2013 ULIKUWA MAJANGA KWANGU
Tamrina Poshi ‘Amanda’. Stori: Gladness Mallya
MWANADADA kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amefunguka kuwa mwaka 2013 ulikuwa majanga kwake kwani ulikuwa mgumu sana na mambo yake hayakumwendea vizuri. Akichonga na gazeti hili, Amanda alisema bora mwaka huu upite, kwani ulikuwa mgumu sana kwa upande wake katika mambo f’lani ambayo hakutaka kuyataja ila anaamini kuwa...
11 years ago
Mwananchi28 Dec
Mwaka 2013 ulikuwa wa majonzi kwa wasanii
Mwaka 2013 ukiwa unaelekea ukingoni, umekuwa wa huzuni kwenye tasnia ya filamu kutokana na wasanii wengi kupoteza maisha.
10 years ago
Michuzi
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AHUTUBIA BARAZA LA KUFUNGA MWAKA 2014 NA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA 2014

.jpg)
11 years ago
Mwananchi07 Jan
2013 : Ulikuwa mwaka wa mapinduzi katika Tehama, kilimo
Sayansi na teknolojia, ni sekta inayokua kwa kasi zaidi duniani. Kila kukicha wanasayansi wanavumbua vitu vipya vinavyoifanya dunia kuwa kijiji kimoja kiutendaji, hasa upande wa mawasiliano.
11 years ago
Tanzania Daima01 Jan
Rais wangu Kikwete, Mwaka 2013 ulikuwa ni majanga!
RAIS wangu tunapoufungua mwaka 2014 na kuufunga mwaka 2013 tunapata fursa nyingine ya kujitafakari na kuyapima yote tuliyoyafanya kwa mwaka mzima uliopita. Tujiulize, ni kwa jema lipi tutakumbukwa au ni...
10 years ago
GPL
AMANDA: 2014 ULIKUWA FULL MAJANGA KWANGU
Hamida Hassan
Msanii wa filamu Bongo, Tamrina Posh ‘Amanda’ amesema mwaka uliopita wa 2014 ulikuwa mbaya sana kwake kwani aliandamwa na majanga yaliyotikisa maisha yake. Msanii wa filamu Bongo, Tamrina Posh ‘Amanda’. Akizungumzia namna alivyoupkea mwaka wa 2015 Amanda alisema, kwanza anamshukuru Mungu kwa kuuona akiwa mzima lakini akamuomba amuepushe na mabalaa kwani uliopita haukuwa rafiki kwake....
10 years ago
VijimamboKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA JOHN MINJA AHUTUBIA BARAZA LA KUFUNGA MWAKA 2014 NA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA 2014, MAKAO MAKUU YA MAGEREZA, D'SALAAM
10 years ago
GPL
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AHUTUBIA BARAZA LA KUFUNGA MWAKA 2014 NA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA 2015
Kamishna Jenerali wa Magereza, John Casmir Minja akitoa hotuba yake fupi katika Baraza la kufunga Mwaka 2014 na kuukaribisha Mwaka Mpya 2015 katika Ofisi za Makao Makuu ya Magereza(kulia) ni Kamishna wa Sheria na Uendeshaji wa Magereza, Dkt. Juma Malewa(kushoto) ni Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Magereza, Kamishna Mwandamizi Msaidizi wa Magereza, Mmeta Manyala. Baadhi ya… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania