Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aguero apiga Hart trick,City ikishinda.

Magoli matatu ya Sergio Aguero na moja la Kolarov, yameisaidia Man City kuvuka raundi ya nne ya michuano ya kombe la FA.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

URENO CHALI, YAPIGWA 4-0 NA UJERUMANI, MULLER APIGA HAT-TRICK

Furaha ya ushindi: Wachezaji wa Ujerumani wakifurahia ushindi dhidi ya Ureno. Ndoo: Pepe akimpiga kichwa Thomas Muller aliyekuwa chini.…

 

10 years ago

Vijimambo

MSUVA APIGA HAT TRICK YANGA IKIIADHIBU TAIFA 4-0 KOMBE LA MAPINDUZI

Simon Msuva amefunga mabao matatu na kupika moja, Yanga SC ikiifumua mabao 4-0 Taifa ya Jang’ombe katika mchezo wa Kundi A, Kombe la Mapinduzi, uliofanyika Uwanja wa Amaan usiku huu. Kazi nzuri iliyofanywa na Winga machachari wa Yanga Simon Msuva, imeiwezesha timu hiyo kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya timu ya Taifa Jang'ombe katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi uliomalizika hivi punde kwenye uwanja wa Aman Mjini Zanzibar. Mabao matatu kati ya manne yalifungwa na Simon Msuva katika...

 

10 years ago

GPL

EPL: SADIO MANE APIGA HAT-TRICK KWA DAKIKA TATU, AWEKA REKODI

Mshambuliaji wa Southampton na raia wa Senegal, Sadio Mane (kushoto) akifunga bao lake la kwanza dakika ya 12 kipindi cha kwanza dhidi ya Aston Villa leo katika Uwanja wa St. Mary's Stadium.
...Mane akifunga bao lake la pili dakika ya 13 kipindi cha kwanza.…

 

9 years ago

Bongo5

Manchester City itawakosa Sergio Aguero na Silva wapata majeraha

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Argentina na klabu ya Manchester City, Sergio Aguero anatarajiwa kuwa nje kwa mwezi mmoja baada ya kupata jeraha nyuma ya goti lake wakati alipokuwa akiichezea Argentina. Aguero alicheza kwa dakika 22 pekee wakati timu Argentina iliposhindwa na Ecuador. “Nadhani nitakuwa nje kwa kipindi cha mwezi mmoja,” Aguero aliiambia TYC […]

 

9 years ago

MillardAyo

Kauli ya Sergio Aguero kama unafikiria kuwa Lionel Messi atajiunga na Man City …

Staa wa kimataifa wa Argentina anayekipiga katika klabu ya Manchester City, Sergio Kun Aguero amekiri kuwa angependa kumuona mshambuliaji wa FC Barcelona na timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi akijiunga na Manchester City japokuwa anaamini sio rahisi kufanya uamuzi huo. Ni zaidi ya mara mbili Lionel Messi anahusishwa kuhitajika na Man City, hata siku za […]

The post Kauli ya Sergio Aguero kama unafikiria kuwa Lionel Messi atajiunga na Man City … appeared first on...

 

11 years ago

Mwananchi

Messi atupia mbili Barca, Negredo apiga tatu City

>Lionel Messi amefunga mabao mawili akiwa amerejea baada ya kukaa nje kwa miezi miwili akisumbuliwa na tatizo la misuli na kuisaidia Barcelona kuichapa Getafe 4-0 katika mchezo wa kwanza wa raundi ya tano ya Kombe la Mfalme.

 

10 years ago

BBCSwahili

ManCity yaponea huku United ikishinda

Mabingwa wa ligi ya Uingereza Manchester City wamewachwa kwa alama nane na viongozi wa Ligi hiyo kufikia sasa Chelsea

 

10 years ago

Mwananchi

‘Ukawa ikishinda mchakato wa Katiba utarudiwa’

Siku moja baada ya viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kutangaza mpango wa kusaini makubaliano ya kusimamisha mgombea mmoja katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, imeelezwa kuwa endapo utachukua dola, utarejea upya mchakato wa kuandika Katiba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani