‘Ukawa ikishinda mchakato wa Katiba utarudiwa’
Siku moja baada ya viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kutangaza mpango wa kusaini makubaliano ya kusimamisha mgombea mmoja katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, imeelezwa kuwa endapo utachukua dola, utarejea upya mchakato wa kuandika Katiba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WtHrD099Nyk/U90QGFmpbpI/AAAAAAAF8fE/iDi1kGv1SBI/s72-c/unnamed+(6).jpg)
UKAWA warudi bungeni, mchakato wa katiba uendelee - Mdau Magesa
![](http://4.bp.blogspot.com/-WtHrD099Nyk/U90QGFmpbpI/AAAAAAAF8fE/iDi1kGv1SBI/s1600/unnamed+(6).jpg)
Nchi yetu ina bahati kupata viongozi wasikuvu na wenye nia njema na Taifa letu na ndio maana Mhe. Rais Kikwete alikubali hoja ya kuandika upya katiba licha ya kwamba haikuwa kwenye ilani wala vipaumbele vya Chama Cha Mapinduzi.
Na CCM kwa kuwa nia yake ni njema kwa Watanzania na ndio maana ikaridhia na mchakato ukaanza kwa utaratibu uliokubalika...
10 years ago
Mwananchi22 Feb
MCHAKATO KATIBA MPYA: Hamad: Kwa nini Wazanzibari wanapaswa kupitisha Katiba
>Wakati Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba ukifikia hatua ya Kura ya maoni inayotarajiwa kupigwa Aprili 30 mwaka huu, watu wameendelea kutoa maoni yao.
11 years ago
Michuzi28 Jul
SHEIKH OMARY AMPONGEZA JK KWA MCHAKATO WA KATIBA AONYA WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA
Sheikh wa msikiti wa Hidaya katika manispaa ya ...
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_0362.jpg?width=650)
MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA WAZUNGUMZIA MCHAKATO KATIBA MPYA
Mwakilishi kutoka Asasi ya Wanawake ya Ulingo, Dk. Avemaria Semakafu (katikati) akizungumza na vyombo vya habari mara baada ya mkutano na wahariri wa vyombo vya habari. Mkurugenzi Mtendaji wa TAMWA, Valerie Msoka taasisi moja wapo inayounda Mtandao wa Wanawake na Katiba akiwasilisha mada katika mkutano huo. Baadhi ya wahariri wa vyombo vya habari wakiwa kwenye mkutano na baadhi ya wajumbe wa Mtandao wa Wanawake na Katiba. Mmoja...
10 years ago
Vijimambo18 Oct
MAAZIMIO YA KAMATI KUU YA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO KUHUSU MCHAKATO WA KATIBA NA KURA YA MAONI KUHUSU KATIBA INAYOPENDEKEZWA
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/7/78/Chadema_bendera.jpg)
UTANGULIZI
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imekutana katika kikao chake cha kawaida na kujadili, pamoja na mambo mengine, mchakato wa Katiba Mpya. Kamati Kuu imepata taarifa ya kina juu ya mchakato ulivyoendeshwa katika hatua mbali mbali wakati wa kutungwa kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba na marekebisho yake na, baadaye, Sheria ya Kura ya Maoni.
Aidha, Kamati Kuu imepata taarifa ya mchakato ulivyokuwa katika hatua ya kuundwa kwa Tume...
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Ukawa waanza mchakato wa ‘kugawana’ majimbo
Moshi. Baada ya kumalizika kwa Bunge la Katiba, hasira za Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) dhidi ya CCM zimehamia kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2015, safari hii ukiunda kamati maalumu kutafuta namna ya kumsimamisha mgombea mmoja wa urais na kuachiana majimbo.
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Tathmini:Mchakato wa katiba ya TZ
Mchakato umevuka hatua kuu mbili, kinachofuata baada ya Rais Kikwete kukabidhiwa itakuwa ni kupigiwa kura ya maoni na wananchi
11 years ago
Mwananchi08 Jun
‘Mchakato wa Katiba uliyumbishwa’
Agosti 5 mwaka huu ‘kipenga’ kinatarajiwa kupulizwa tena na Spika wa Bunge la Katiba Samwel Sitta. Atawataka tena wajumbe wa Bunge hilo kufika Dodoma ili waendelee na ng’we waliyoacha katika kukamilisha kazi ya kupitia Rasimu ya Pili ya Katiba na kuiboresha.
10 years ago
Mwananchi09 Nov
JK anavyoutazama mchakato wa Katiba
Zilikuwa ni dakika 25 mbele ya umati mkubwa ndani ya ukumbi wa Land Mark katika Manispaa ya Dodoma ambako Rais Jakaya Kikwete alilihutubia taifa kupitia wazee wa mkoa huo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania