‘Mchakato wa Katiba uliyumbishwa’
Agosti 5 mwaka huu ‘kipenga’ kinatarajiwa kupulizwa tena na Spika wa Bunge la Katiba Samwel Sitta. Atawataka tena wajumbe wa Bunge hilo kufika Dodoma ili waendelee na ng’we waliyoacha katika kukamilisha kazi ya kupitia Rasimu ya Pili ya Katiba na kuiboresha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi28 Jul
SHEIKH OMARY AMPONGEZA JK KWA MCHAKATO WA KATIBA AONYA WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA
Sheikh wa msikiti wa Hidaya katika manispaa ya ...
10 years ago
Mwananchi22 Feb
MCHAKATO KATIBA MPYA: Hamad: Kwa nini Wazanzibari wanapaswa kupitisha Katiba
11 years ago
GPLMTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA WAZUNGUMZIA MCHAKATO KATIBA MPYA
10 years ago
Vijimambo18 Oct
MAAZIMIO YA KAMATI KUU YA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO KUHUSU MCHAKATO WA KATIBA NA KURA YA MAONI KUHUSU KATIBA INAYOPENDEKEZWA
UTANGULIZI
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imekutana katika kikao chake cha kawaida na kujadili, pamoja na mambo mengine, mchakato wa Katiba Mpya. Kamati Kuu imepata taarifa ya kina juu ya mchakato ulivyoendeshwa katika hatua mbali mbali wakati wa kutungwa kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba na marekebisho yake na, baadaye, Sheria ya Kura ya Maoni.
Aidha, Kamati Kuu imepata taarifa ya mchakato ulivyokuwa katika hatua ya kuundwa kwa Tume...
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Tathmini:Mchakato wa katiba ya TZ
10 years ago
Mwananchi09 Nov
JK anavyoutazama mchakato wa Katiba
10 years ago
Mwananchi19 Apr
KATIBA MPYA: Wingu linavyogubika hatima Mchakato wa Katiba Mpya
11 years ago
Habarileo26 Jul
Aonya wanaokwamisha mchakato wa katiba
KIONGOZI wa mbio za Mwenge Kitaifa, Rachel Kasanda amewataka wananchi kuwa makini na watu wanaotumia vibaya mchakato mpya wa Katiba ili kuepuka nchi kuingia kwenye vurugu huku akisisitiza Katiba isiwe chanzo cha kuvunjika kwa amani ya nchi.
11 years ago
Mwananchi31 Dec
JK atoa ya moyoni mchakato wa Katiba