Ukawa waanza mchakato wa ‘kugawana’ majimbo
Moshi. Baada ya kumalizika kwa Bunge la Katiba, hasira za Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) dhidi ya CCM zimehamia kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2015, safari hii ukiunda kamati maalumu kutafuta namna ya kumsimamisha mgombea mmoja wa urais na kuachiana majimbo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Ukawa waanza kugawana nchi
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-nIDD_-suk_I/VQywBNMlaII/AAAAAAAASAY/aHsFBoGhe7M/s72-c/8-chadema.jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UKAWA KUGAWANA MAJIMBO
![](http://3.bp.blogspot.com/-nIDD_-suk_I/VQywBNMlaII/AAAAAAAASAY/aHsFBoGhe7M/s1600/8-chadema.jpg)
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO
(CHADEMA)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UKAWA KUGAWANA MAJIMBO
Tangu jana kumekuwa na taarifa kupitia njia mbalimbali za upashanaji habari kuhusu msimamo wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kusimamisha mgombea mmoja katika nafasi ya ubunge kwenye majimbo ya uchaguzi nchini.
Habari hizo ambazo zingine zimeripotiwa kwenye vyombo vya habari hususan magazeti ya jana (Alhamis) na leo (Ijumaa), zimesema kuwa UKAWA ‘wameshagawana’ majimbo kadha wa kadha na kwamba bado...
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Mchakato mahakama ya mafisadi waanza
11 years ago
Mwananchi30 Dec
Mchakato wa Wajumbe wa Bunge la Katiba waanza
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Mchakato kumngo’a Spika Eala waanza
10 years ago
Raia Mwema08 Jul
Mchakato waanza kumfikisha Shein ICC
KUNA nyakati ambapo watawala wetu lazima waambiwe ukweli. Huu ni wakati mmojawao.
Ahmed Rajab
11 years ago
Mwananchi11 Jul
Mchakato wa kampuni 100 bora waanza
10 years ago
Habarileo25 Mar
Mchakato wa njia 6 Dar—Chalinze waanza
WAKALA wa Barabara Tanzania (Tanroads) amekutana na wadau mbalimbali, kujadiliana jinsi ya kuanza kazi ya kutengeneza andiko la kusimamia utekelezaji wa ujenzi wa barabara ya njia sita ya Dar es Salaam- Chalinze.
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Mchakato wa ujenzi ‘flyover’ Tazara waanza