Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukawa waanza kugawana nchi

Katika kile kinachoonekana kuendelea kujiimarisha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vimegawana maeneo mbalimbali nchini vikifanya mikutano ya hadhara na mafunzo kwa viongozi wake ikiwa ni utekelezaji wa mkakati wa ushindi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ukawa waanza mchakato wa ‘kugawana’ majimbo

Moshi. Baada ya kumalizika kwa Bunge la Katiba, hasira za Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) dhidi ya CCM zimehamia kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2015, safari hii ukiunda kamati maalumu kutafuta namna ya kumsimamisha mgombea mmoja wa urais na kuachiana majimbo.

 

10 years ago

Vijimambo

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UKAWA KUGAWANA MAJIMBO



CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO 
(CHADEMA)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UKAWA KUGAWANA MAJIMBO
Tangu jana kumekuwa na taarifa kupitia njia mbalimbali za upashanaji habari kuhusu msimamo wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kusimamisha mgombea mmoja katika nafasi ya ubunge kwenye majimbo ya uchaguzi nchini.

Habari hizo ambazo zingine zimeripotiwa kwenye vyombo vya habari hususan magazeti ya jana (Alhamis) na leo (Ijumaa), zimesema kuwa UKAWA ‘wameshagawana’ majimbo kadha wa kadha na kwamba bado...

 

11 years ago

Habarileo

UKAWA waanza mivutano

WAKATI viongozi wa kile kinachoitwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) wanaonesha kushikamana hadharani, habari za ndani ya Umoja huo zinasema kuwa mivutano imeanza kuzuka huku baadhi ya viongozi wake wakitaka kurejea Bunge Maalum la Katiba.

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa waanza mikutano Kigoma

Hatimaye mikutano ya hadhara ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) iliyokuwa imepigwa marufuku mkoani Kigoma na Mkuu wa Mkoa, Luteni Kanali Mstaafu Issa Machibya imeanza tena chini ya ulinzi mkali wa Jeshi la Polisi.

 

9 years ago

Mwananchi

Ukawa waanza kazi Jangwani leo

Mgombea urais wa Chadema na Ukawa, Edward Lowassa, ambaye leo atazindua kampeni zake kwenye viwanja vya Jangwani, jana aliamua kufunguka dhidi ya vitendo vya Jeshi la Polisi kupiga wananchi, akisema havikubaliki kwa kuwa vifaa vinavyotumika vinanunuliwa na kodi wanazokatwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Urais 2015: Ukawa waanza safari

Wakati CCM ikisubiri Februari kufanya tathmini kuona kama baadhi ya wagombea wake wa urais wametekeleza masharti ya adhabu zao, washindani wao wa Ukawa, Jumanne ijayo watakutana kujadili mambo mbalimbali.

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa waanza ziara ya siku 10 Bara

Wakati Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), ukitarajiwa kuanza ziara ya siku 10 katika mikoa ya Tanzania Bara kesho, viongozi wa umoja huo wamemvaa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kwa kauli yake kuwa Katiba haina umuhimu.

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa waanza mapambano nje ya Bunge

 Ni dhahiri kwamba mjadala wa msomi wa Sheria, Profesa Issa Shivji umewavuruga wanasiasa waumini wa serikali mbili ambao baadhi yao jana walimshukia wakidai kuwa “mzee huyu ni ndumila kuwili na kigeugeu.”

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema waanza safari ya kupinga Katiba nchi nzima

Kamati Kuu ya Chadema imeazimia kuendesha kampeni ya kupinga Katiba Inayopendekezwa kwa viongozi wake wakuu pamoja na wale wa mabaraza yake kufanya ziara katika mikoa mbalimbali nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani