Ukawa waanza kugawana nchi
Katika kile kinachoonekana kuendelea kujiimarisha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vimegawana maeneo mbalimbali nchini vikifanya mikutano ya hadhara na mafunzo kwa viongozi wake ikiwa ni utekelezaji wa mkakati wa ushindi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Ukawa waanza mchakato wa ‘kugawana’ majimbo
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-nIDD_-suk_I/VQywBNMlaII/AAAAAAAASAY/aHsFBoGhe7M/s72-c/8-chadema.jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UKAWA KUGAWANA MAJIMBO
![](http://3.bp.blogspot.com/-nIDD_-suk_I/VQywBNMlaII/AAAAAAAASAY/aHsFBoGhe7M/s1600/8-chadema.jpg)
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO
(CHADEMA)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UKAWA KUGAWANA MAJIMBO
Tangu jana kumekuwa na taarifa kupitia njia mbalimbali za upashanaji habari kuhusu msimamo wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kusimamisha mgombea mmoja katika nafasi ya ubunge kwenye majimbo ya uchaguzi nchini.
Habari hizo ambazo zingine zimeripotiwa kwenye vyombo vya habari hususan magazeti ya jana (Alhamis) na leo (Ijumaa), zimesema kuwa UKAWA ‘wameshagawana’ majimbo kadha wa kadha na kwamba bado...
11 years ago
Habarileo03 May
UKAWA waanza mivutano
WAKATI viongozi wa kile kinachoitwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) wanaonesha kushikamana hadharani, habari za ndani ya Umoja huo zinasema kuwa mivutano imeanza kuzuka huku baadhi ya viongozi wake wakitaka kurejea Bunge Maalum la Katiba.
11 years ago
Mwananchi30 May
Ukawa waanza mikutano Kigoma
9 years ago
Mwananchi29 Aug
Ukawa waanza kazi Jangwani leo
10 years ago
Mwananchi16 Jan
Urais 2015: Ukawa waanza safari
11 years ago
Mwananchi13 May
Ukawa waanza ziara ya siku 10 Bara
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Ukawa waanza mapambano nje ya Bunge
10 years ago
Mwananchi17 Oct
Chadema waanza safari ya kupinga Katiba nchi nzima