Ukawa waanza mikutano Kigoma
Hatimaye mikutano ya hadhara ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) iliyokuwa imepigwa marufuku mkoani Kigoma na Mkuu wa Mkoa, Luteni Kanali Mstaafu Issa Machibya imeanza tena chini ya ulinzi mkali wa Jeshi la Polisi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi13 Nov
Chadema yaendelea na Mikutano yake Mkoani Kigoma
9 years ago
Mwananchi06 Sep
ACT-Wazalendo waanza kushambulia Kigoma
10 years ago
Habarileo04 Dec
Usajili wahamiaji haramu Kigoma, Kagera, waanza
IDARA ya Uhamiaji kwa kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Uhamaji (IOM) wameanza usajili wa wahamiaji haramu wanaoishi katika mikoa ya Kigoma, Kagera na Geita.
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Ukawa ruksa kufanya mikutano nchi nzima
9 years ago
VijimamboUKAWA WAFANYA MIKUTANO YA KAMPENI KATAVI VIJIJINI
Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Zanzibar, Said Issa Mahamed akihutubia mkutano wa kampeni za urais, ubunge na madiwani katika kijiji cha Katumba Wilaya ya Nsimbo, Mpanda mkoani Katavi.
Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Zanzibar, Said Issa Mohamed (kulia) akimtambulisha mgombea ubunge...
10 years ago
GPLUKAWA YAITAKA POLISI KUZUIA MIKUTANO YA KINANA NCHINI
11 years ago
Habarileo03 May
UKAWA waanza mivutano
WAKATI viongozi wa kile kinachoitwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) wanaonesha kushikamana hadharani, habari za ndani ya Umoja huo zinasema kuwa mivutano imeanza kuzuka huku baadhi ya viongozi wake wakitaka kurejea Bunge Maalum la Katiba.
9 years ago
VijimamboMGOMBEA MWENZA WA UKAWA KUPITIA CHADEMA AFANYA MIKUTANO KILWA KUSINI
Mgombea mwenza wa urais Chadema, Juma...
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Ukawa waanza kugawana nchi