Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UKAWA WAFANYA MIKUTANO YA KAMPENI KATAVI VIJIJINI

Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Mkanyageni, Zanzibar (CUF), Habib Mnyaa akihutubia mkutano wa kampeni za urais, ubunge na madiwani katika kijiji cha Katumba Wilaya ya Nsimbo, Mpanda mkoani Katavi.(Picha na Francis Dande)
Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Zanzibar, Said Issa Mahamed akihutubia mkutano wa kampeni za urais, ubunge na madiwani katika kijiji cha Katumba Wilaya ya Nsimbo, Mpanda mkoani Katavi.
Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Zanzibar, Said Issa Mohamed (kulia) akimtambulisha mgombea ubunge...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MAGUFULI AKIENDELEA NA MIKUTANO YAKE YA KAMPENI MCHANA HUU SENGEREMA NA GEITA VIJIJINI


  Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasikiliza wananchi wa jimbo la Buchosa mapema walipokuwa wakishamgilia mara baada ya kupanda jukwaani na kuwasalimia,mkutano huo wa kampeni umefanyika mapema leo asubuhi katika kijiji cha Nyehunge wilayani Sengerema mkoani Mwanza.Pamoja na mvua kunyesha hapa hapa na pale katika maeneo hayo,Dkt Magufuli anatarajia kuhutubia mkutano mkubwa wa kampeni katika jimbo la Geita Vijjini katika...

 

10 years ago

Michuzi

Magufuli afanya mikutano ya kampeni katika jimbo la Kibamba,Kawe,Chalinze,Kibaha vijijini na Kibaha mjini jijini Dar leo.

Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akimnadi Mgombea Ubunge wa jimbo la Chalinze,Ndugu Ridhiwani Kikwete.Dkt Magufuli amefanya mikutano ya kampeni katika jimbo la Kawe,Chalinze,Kibaha vijijini,Kibamba na Kibaha mjini.Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akimkabidhi kitabu cha Ilani ya ccm kwa Mgombea Ubunge wa jimbo la Kibaha vijini .Nduggu Hamoud Abuu Jumaa.Mmoja wa wafuasi wa CHADEMA alipojichanganya kwenye mkutano wa CCM,maara baada ya kuvutiwa na sera za Mgombea Urais...

 

10 years ago

Vijimambo

MGOMBEA MWENZA WA UKAWA JUMA HAJI DUNI AFANYA MIKUTANO YA KAMPENI URAMBO, TABORA

Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akihutubia mamia ya wakazi wa jimbo la Urambo Mashariki mkoani Tabora wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Mwananchi Square. (Picha na Francis Dande)Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni (kushoto) akimkabidhi kadi ya Chadema aliyekuwa Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya CCM Kata ya Ugala Urambo, Tabora, Hamidu Mussa baada ya kukiahama chama hicho na kujiunga na Chadema wakati wa mkutano wa kampeni...

 

10 years ago

Vijimambo

MGOMBEA MWENZA WA UKAWA JUMA DUNI HAJI AHUTUBIA MKUTANO WA KAMPENI IRINGA VIJIJINI

 Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji na akihutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Isimani Iringa vijijini.Isimani Iringa vijijini, (Picha na Francis Dande)
Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji na akihutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Isimani Iringa vijijini.Isimani Iringa vijijini.
Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji akiwa na mgombea ubunge jimbo la Isimani Iringa vijijini, Patrick Ole Sosopi.Wasanii wa kikundi cha ngom za...

 

10 years ago

Dewji Blog

UWT Singida vijijini wafanya uchaguzi wa diwani wa viti maalum

DSC00559

Wajumbe wa mkutano mkuu wa uchaguzi wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wilaya ya Singida vijijini, waliohudhuria mkutano mkuu wa uchaguzi wa viti maalum madiwani. Mkutano huo umefanyika jana (22/7/2015) kwenye ukumbi wa shule ya sekondari ya Mwenge mjini hapa.(Picha na Nathaniel Limu).

DSC00576
DSC00563

Mjumbe wa jumuiya ya umoja wa wanawake Tanzania (UWT) wilaya ya Singida vijijini,a kipiga kura kuchagua diwani wa viti maalum jana (22/7/2015) kwenye ukumbi wa shule ya sekondari ya Mwenge mjini hapa.

DSC00571

Mjumbe...

 

10 years ago

GPL

MIKUTANO YA KUFUNGA KAMPENI WA CCM

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa na Mjumbe wa Kamati ya Kampeni, January Makamba.   CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo. Kampeni za CCM zitafungwa kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi wa CCM kitaifa waliopo madarakani na wastaafu. Mikoa hiyo na viongozi wakaoongoza mikutano hiyo ni kama ifuatavyo: 1. Mwanza – Ndugu Jakaya Mrisho...

 

10 years ago

Habarileo

Magufuli kuanza kampeni Rukwa akitokea Katavi

MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Pombe Magufuli na mgombea mwenza wake, Samia Suluhu Hassan wanatarajia kuanza kampeni zao mkoani Rukwa wakitokea mkoani Katavi.

 

10 years ago

Mwananchi

Pongezi polisi kufanikisha mikutano ya kampeni

Tutakuwa wachoyo wa fadhila tusipotoa pongezi za dhati kwa askari wa Jeshi la Polisi nchini kwa kazi nzuri ambayo wameifanya tangu mikutano ya kampeni za Uchaguzi Mkuu ilipozinduliwa rasmi yapata miezi miwili iliyopita.

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa waanza mikutano Kigoma

Hatimaye mikutano ya hadhara ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) iliyokuwa imepigwa marufuku mkoani Kigoma na Mkuu wa Mkoa, Luteni Kanali Mstaafu Issa Machibya imeanza tena chini ya ulinzi mkali wa Jeshi la Polisi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani