Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Messi atupia mbili Barca, Negredo apiga tatu City

>Lionel Messi amefunga mabao mawili akiwa amerejea baada ya kukaa nje kwa miezi miwili akisumbuliwa na tatizo la misuli na kuisaidia Barcelona kuichapa Getafe 4-0 katika mchezo wa kwanza wa raundi ya tano ya Kombe la Mfalme.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Messi, Alves give Barca edge over City

Goals by Lionel Messi and Dani Alves saw Barcelona take control of their Champions League last 16 tie against Manchester City with a 2-0 win in Tuesday’s first leg.

 

10 years ago

Africanjam.Com

DI MARIA ATUPIA MBILI ARGENTINA IKISHINDA 6 -1 DHIDI YA PARAGUAY


Timu ya Taifa ya Argentina imetinga kwa kishindo hatua ya fainali ya Copa America baada ya kuitandika Paraguay kipigo cha mbwa mwizi cha magoi 6-1 katika mechi ya nusu fainali iliyopigwa usiku wa kuamkia leo.Mabao ya Argentina yamefungwa na Marcos Rojo (15), Javier Pastore (27), Angel Di Maria (47, 53), Sergio Aguero (80) na Gonzalo Higuain (83), huku goli la kufutia machozi kwa Paraguay likifungwa na Lucas Barrios (43).Kama kocha wa Manchester United, Louis van Gaal anataka kupata kiwango...

 

10 years ago

GPL

ALIVYOFANYIWA MESSI, BARCA IKILAZIMISHWA SULUU

Beki wa Malaga, Weligton akimkwida mashavuni nyota wa Barcelona, Lionel Messi kabla ya kumsukuma chini, hadi akapewa kadi ya njano na refa Alejandro Hernandez, timu hizo zikitoka sare ya bila kufungana katika mchezo wa La Liga usiku wa kuamkia leo. Lionel Messi…

 

10 years ago

Africanjam.Com

DI MARIA ATUPIA MBILI ARGENTINTA IKISHINDA TANO DHIDI YA BOLIVIA..

 Sergio Aguero na Angel di Maria wameonyesha wana hawana uchovu wa Ligi Kuu England, baada ya kila mmoja kupiga zaidi ya bao moja wakati Argentina ikiitwanga Bolivia 5-0.Di Maria hakua na msimu mzuri sana katika club yake ya Manchester United kitu kilichowapa watu wengi wasiwasi kuhusu kiwango chake. Hata hivyo Di Maria amesema ataendelea kuichezea club yake hiyo na aahidi kurudi katika kiwango bora zaidi.
Kiwango alichokionyesha katika timu yake ya taifa ya Argentina ikiwemo kuziona nyavu...

 

11 years ago

GPL

Loga apiga marufuku chenga za Messi

Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Hans Mloli na Ibrahim Mussa
KOCHA Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, amemnyooshea kidole kiungo wake machachari, Ramadhani Singano ‘Messi’ akimtaka kuachana na ‘show game’ na badala yake aangalie anacheza vipi na wenzake kulifikia goli la wapinzani na kufunga mabao.…

 

11 years ago

Mwananchi

Man City: Barca ilibebwa

Kocha wa Manchester City, Manuel Pellegrini amesema mwamuzi Jonas Ericksson wa Sweden aliipendelea Barcelona na ndiyo maana iliweza kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 kwenye uwanja wa Etihad juzi.

 

10 years ago

Mwananchi

Barca yashinda, Man City yafa

Hispania. Barcelona imeanza vizuri msimu mpya wa Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Apoel Nicosia, katika mchezo uliochezwa juzi usiku kwenye Uwanja wa Nou Camp.

 

10 years ago

Mwananchi

Sanchez apiga mbili Arsenal ikiichakaza Stoke

Alexis Sanchez amefunga mabao mawili na kuiongoza Arsenal kuwashusha majirani zao Tottenham katika nafasi ya tano baada ya kuichapa Stoke City 3-0 kwenye Uwanja wa Emirates, London.

 

11 years ago

BBC

Man City draw Barca in Champions League

Ivory Coast international Didier Drogba is handed a reunion with Chelsea in the Champions League round of 16.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani