Messi atupia mbili Barca, Negredo apiga tatu City
>Lionel Messi amefunga mabao mawili akiwa amerejea baada ya kukaa nje kwa miezi miwili akisumbuliwa na tatizo la misuli na kuisaidia Barcelona kuichapa Getafe 4-0 katika mchezo wa kwanza wa raundi ya tano ya Kombe la Mfalme.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen20 Feb
Messi, Alves give Barca edge over City
Goals by Lionel Messi and Dani Alves saw Barcelona take control of their Champions League last 16 tie against Manchester City with a 2-0 win in Tuesday’s first leg.
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-_KvrceNXOmY/VZN77jPoK4I/AAAAAAAACW8/WV5SaLJD8eg/s72-c/3000.jpg)
DI MARIA ATUPIA MBILI ARGENTINA IKISHINDA 6 -1 DHIDI YA PARAGUAY
![](http://4.bp.blogspot.com/-_KvrceNXOmY/VZN77jPoK4I/AAAAAAAACW8/WV5SaLJD8eg/s400/3000.jpg)
Timu ya Taifa ya Argentina imetinga kwa kishindo hatua ya fainali ya Copa America baada ya kuitandika Paraguay kipigo cha mbwa mwizi cha magoi 6-1 katika mechi ya nusu fainali iliyopigwa usiku wa kuamkia leo.Mabao ya Argentina yamefungwa na Marcos Rojo (15), Javier Pastore (27), Angel Di Maria (47, 53), Sergio Aguero (80) na Gonzalo Higuain (83), huku goli la kufutia machozi kwa Paraguay likifungwa na Lucas Barrios (43).Kama kocha wa Manchester United, Louis van Gaal anataka kupata kiwango...
10 years ago
GPLALIVYOFANYIWA MESSI, BARCA IKILAZIMISHWA SULUU
Beki wa Malaga, Weligton akimkwida mashavuni nyota wa Barcelona, Lionel Messi kabla ya kumsukuma chini, hadi akapewa kadi ya njano na refa Alejandro Hernandez, timu hizo zikitoka sare ya bila kufungana katika mchezo wa La Liga usiku wa kuamkia leo. Lionel Messi…
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-dYRe_xQsTRo/VXSa-MKrXgI/AAAAAAAAB9Y/IIABCiDLf_w/s72-c/Di%2BMaria.jpg)
DI MARIA ATUPIA MBILI ARGENTINTA IKISHINDA TANO DHIDI YA BOLIVIA..
![](http://3.bp.blogspot.com/-dYRe_xQsTRo/VXSa-MKrXgI/AAAAAAAAB9Y/IIABCiDLf_w/s400/Di%2BMaria.jpg)
Kiwango alichokionyesha katika timu yake ya taifa ya Argentina ikiwemo kuziona nyavu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OSDnqVdqkHsfvSQAGruC1AtLyqTkgqeP1jc3aTotgkxvBnoI6ZEQvJydB6zc5uB2JL2Ue5Gnw55TFUKzoPUVzbH*UmK84ENU/loga.jpg?width=650)
Loga apiga marufuku chenga za Messi
Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Hans Mloli na Ibrahim Mussa
KOCHA Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, amemnyooshea kidole kiungo wake machachari, Ramadhani Singano ‘Messi’ akimtaka kuachana na ‘show game’ na badala yake aangalie anacheza vipi na wenzake kulifikia goli la wapinzani na kufunga mabao.…
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Man City: Barca ilibebwa
Kocha wa Manchester City, Manuel Pellegrini amesema mwamuzi Jonas Ericksson wa Sweden aliipendelea Barcelona na ndiyo maana iliweza kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 kwenye uwanja wa Etihad juzi.
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Barca yashinda, Man City yafa
Hispania. Barcelona imeanza vizuri msimu mpya wa Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Apoel Nicosia, katika mchezo uliochezwa juzi usiku kwenye Uwanja wa Nou Camp.
10 years ago
Mwananchi12 Jan
Sanchez apiga mbili Arsenal ikiichakaza Stoke
Alexis Sanchez amefunga mabao mawili na kuiongoza Arsenal kuwashusha majirani zao Tottenham katika nafasi ya tano baada ya kuichapa Stoke City 3-0 kwenye Uwanja wa Emirates, London.
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/71752000/jpg/_71752741_managers624.jpg)
Man City draw Barca in Champions League
Ivory Coast international Didier Drogba is handed a reunion with Chelsea in the Champions League round of 16.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania