Sanchez apiga mbili Arsenal ikiichakaza Stoke
Alexis Sanchez amefunga mabao mawili na kuiongoza Arsenal kuwashusha majirani zao Tottenham katika nafasi ya tano baada ya kuichapa Stoke City 3-0 kwenye Uwanja wa Emirates, London.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania20 Nov
Sanchez, Ozil kuongezewa mikataba Arsenal
LONDON, ENGLAND
NYOTA wa klabu ya Arsenal, Alexis Sanchez na Mesut Ozil wanatarajiwa kuongezewa mikataba mipya ambayo itawafanya wachezaji hao kukaa kwa muda mrefu katika klabu hiyo.
Klabu hiyo tayari imeanza mazungumzo na Sanchez, ambapo mchezaji huyo ameonekana kukubali kuongeza mkataba wa miaka mitano kwa kitita cha pauni 155,000 kwa wiki.
Katika mkataba wake wa sasa, Sanchez anachukua kitita cha pauni 130,000 kwa wiki, lakini mkataba huo utamfanya aongeze kitita cha pauni 25,000 na...
11 years ago
Bongo511 Jul
Picha: Hatimaye Alexis Sanchez Amejiunga na Arsenal
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5vBx3EI3-TEZjofyYGNAibvK97Bav3fswZQ2sd1ysC2Y9yfgibh4sVTMheZvJQyYHTAXFOob53GvJ6WjZXq47e4OQKua0hgb/sanchez2.jpg)
SANCHEZ ATUA ARSENAL, KULAMBA PAUNI 140,000 KWA WIKI
5 years ago
Mirror Online11 Apr
Paul Merson backs Alexis Sanchez to rediscover Barcelona and Arsenal form at Man Utd
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Messi atupia mbili Barca, Negredo apiga tatu City
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tmqA3rmqdgYrpAqN*YDCFjGTuZzRw45Y0pwQJkgKMICqREdyOxRsgtLEuy5SsIsgrFrIYun*CWYlVaEmpvxU3a*D377maPFJ/shamkupe.jpg?width=650)
AIBU! ASKOFU KKKT APIGA MIMBA MBILI NJE YA NDOA
11 years ago
Mwananchi04 Apr
Kamati mbili zakamilisha kujadili #rasimu, zote zapendekeza serikali mbili[VIDEO]
10 years ago
BBCSwahili15 Jul
Alexis Sanchez anahitaji kupumnzika
11 years ago
Habarileo07 Apr
Theluthi mbili kuelekea serikali mbili si tatizo
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba kama wataacha ushabiki wa vyama na kujikita zaidi kwenye hoja, uwezekano wa kupatikana kwa theluthi mbili kuelekea katika mfumo wa serikali mbili upo.