Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sanchez apiga mbili Arsenal ikiichakaza Stoke

Alexis Sanchez amefunga mabao mawili na kuiongoza Arsenal kuwashusha majirani zao Tottenham katika nafasi ya tano baada ya kuichapa Stoke City 3-0 kwenye Uwanja wa Emirates, London.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Sanchez, Ozil kuongezewa mikataba Arsenal

Alexis Sanchez, Mesut OzilLONDON, ENGLAND

NYOTA wa klabu ya Arsenal, Alexis Sanchez na Mesut Ozil wanatarajiwa kuongezewa mikataba mipya ambayo itawafanya wachezaji hao kukaa kwa muda mrefu katika klabu hiyo.

Klabu hiyo tayari imeanza mazungumzo na Sanchez, ambapo mchezaji huyo ameonekana kukubali kuongeza mkataba wa miaka mitano kwa kitita cha pauni 155,000 kwa wiki.

Katika mkataba wake wa sasa, Sanchez anachukua kitita cha pauni 130,000 kwa wiki, lakini mkataba huo utamfanya aongeze kitita cha pauni 25,000 na...

 

11 years ago

Bongo5

Picha: Hatimaye Alexis Sanchez Amejiunga na Arsenal

Mshambuliaji Alexis Sanchez Nyota kutoka Chile mwenye miaka 25 amekamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 30 kutoka Barcelona kwenda Arsenal wanaamini atawasaidia ili kuweza kupata ubingwa wa Ligi Kuu ya England Nyota huyo wa Chile ambaye amesain mkataba wa miaka minne huku kukiwa na kipengele cha kuongeza miezi 12 na mshahara utakuwa paundi laki moja na […]

 

11 years ago

GPL

SANCHEZ ATUA ARSENAL, KULAMBA PAUNI 140,000 KWA WIKI

Nyota mpya wa Arsenal, Alexis Sanchez akiwa ndani ya 'uzi' mpya. MSHAMBULIAJI mahiri wa Chile na Barcelona, Alexis Sanchez, amejiunga na Klabu ya Arsenal kwa pauni milioni 30 na mkataba wa miaka miaka minne. Alexis Sanchez atakuwa Arsenal kwa miaka minne. Akiwa klabuni hapo, nyota huyo atalipwa pauni 140,000 kwa wiki sawa na Mesut Ozil aliyekuwa analipwa kiasi hicho kikubwa kuliko wote ndani ya… ...

 

5 years ago

Mirror Online

Paul Merson backs Alexis Sanchez to rediscover Barcelona and Arsenal form at Man Utd

Paul Merson backs Alexis Sanchez to rediscover Barcelona and Arsenal form at Man Utd  Mirror Online‘Man Utd won’t spend £70m on Alexis Sanchez replacement’ – Chilean can rediscover Arsenal form, says Merson  Goal.comPaul Merson Says: Alexis Sanchez return to Man Utd makes sense  Sky SportsThis $880k-per-week Man Utd flop could get a second chance – and coronavirus is partly to thank  Fox SportsPaul Merson delivers verdict on Manchester United ace Alexis Sanchez potentially joining West...

 

11 years ago

Mwananchi

Messi atupia mbili Barca, Negredo apiga tatu City

>Lionel Messi amefunga mabao mawili akiwa amerejea baada ya kukaa nje kwa miezi miwili akisumbuliwa na tatizo la misuli na kuisaidia Barcelona kuichapa Getafe 4-0 katika mchezo wa kwanza wa raundi ya tano ya Kombe la Mfalme.

 

10 years ago

GPL

AIBU! ASKOFU KKKT APIGA MIMBA MBILI NJE YA NDOA

Joseph Ngilisho, Arusha
Aibu! Peace Sylvester (36), mkazi wa Kijenge Juu jijini hapa amefungua madai mazito kwenye Kituo Kikuu cha Polisi, Arusha  kwa majadala mawili,  AR/RB/4404/2015 KUTISHIA KUUA KWA MANENO na AR/RB/5290/2015 KUTELEKEZA FAMILIA dhidi ya Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Kagera, Benson Bagonza. Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT)...

 

11 years ago

Mwananchi

Kamati mbili zakamilisha kujadili #rasimu, zote zapendekeza serikali mbili[VIDEO]

 KAMATI mbili kati ya 12 za Bunge Maalum la Katiba zimehitimisha kazi yake katika kujadili sura mbili za rasimu huku zote zikipendekeza muundo wa serikali mbili za Muungano katika Sura ya Kwanza na ile ya Sita badala ya Shirikisho.

 

10 years ago

BBCSwahili

Alexis Sanchez anahitaji kupumnzika

Alexis Sanchez anaweza kukosa mechi ya kwanza ya msimu katika kikosi cha Arsenal.

 

11 years ago

Habarileo

Theluthi mbili kuelekea serikali mbili si tatizo

Makamu Mwenyekiti wa Kamati Namba 9 ya Bunge Maalumu la Katiba, William NgelejaWAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba kama wataacha ushabiki wa vyama na kujikita zaidi kwenye hoja, uwezekano wa kupatikana kwa theluthi mbili kuelekea katika mfumo wa serikali mbili upo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani