Picha: Hatimaye Alexis Sanchez Amejiunga na Arsenal
Mshambuliaji Alexis Sanchez Nyota kutoka Chile mwenye miaka 25 amekamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 30 kutoka Barcelona kwenda Arsenal wanaamini atawasaidia ili kuweza kupata ubingwa wa Ligi Kuu ya England Nyota huyo wa Chile ambaye amesain mkataba wa miaka minne huku kukiwa na kipengele cha kuongeza miezi 12 na mshahara utakuwa paundi laki moja na […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
5 years ago
Mirror Online11 Apr
Paul Merson backs Alexis Sanchez to rediscover Barcelona and Arsenal form at Man Utd
10 years ago
BBCSwahili15 Jul
Alexis Sanchez anahitaji kupumnzika
5 years ago
Mirror Online31 Mar
Inter Milan 'to send transfer flop Alexis Sanchez back to Man Utd'
9 years ago
Bongo528 Sep
Alexis Sanchez aweka rekodi ya kufunga Hat-trick katika ligi tatu tofauti
5 years ago
Mirror Online01 Apr
Alexis Sanchez 'set for £1.1million loyalty windfall' from Man Utd upon loan return
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 06.04.2020: Harry Kane, Jadon Sancho, Alfredo Morelos, Alexis Sanchez
5 years ago
West Ham United FC09 Apr
‘Great business’ Paul Ince backs Manchester United ‘loner’ Alexis Sanchez for shock West Ham move in next window - Hammers News
9 years ago
Mtanzania20 Nov
Sanchez, Ozil kuongezewa mikataba Arsenal
LONDON, ENGLAND
NYOTA wa klabu ya Arsenal, Alexis Sanchez na Mesut Ozil wanatarajiwa kuongezewa mikataba mipya ambayo itawafanya wachezaji hao kukaa kwa muda mrefu katika klabu hiyo.
Klabu hiyo tayari imeanza mazungumzo na Sanchez, ambapo mchezaji huyo ameonekana kukubali kuongeza mkataba wa miaka mitano kwa kitita cha pauni 155,000 kwa wiki.
Katika mkataba wake wa sasa, Sanchez anachukua kitita cha pauni 130,000 kwa wiki, lakini mkataba huo utamfanya aongeze kitita cha pauni 25,000 na...
10 years ago
Mwananchi12 Jan
Sanchez apiga mbili Arsenal ikiichakaza Stoke