Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Alexis Sanchez aweka rekodi ya kufunga Hat-trick katika ligi tatu tofauti

Mshambuliaji Alexis Sanchez wa Arsenal ameweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kupiga hat-trick katika ligi kuu tatu tofauti duniani, Serie A, La Liga na EPL. Hat-trick yake ya kwanza ilikuwa wakati anaichezea Udenise ya Italia ambapo waliifunga Palermo mabao 7-0 katika mchezo wa ligi kuu soka nchini Italia mwaka 2011. Hat-trick ya pili ameipata […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

EPL: SADIO MANE APIGA HAT-TRICK KWA DAKIKA TATU, AWEKA REKODI

Mshambuliaji wa Southampton na raia wa Senegal, Sadio Mane (kushoto) akifunga bao lake la kwanza dakika ya 12 kipindi cha kwanza dhidi ya Aston Villa leo katika Uwanja wa St. Mary's Stadium.
...Mane akifunga bao lake la pili dakika ya 13 kipindi cha kwanza.…

 

9 years ago

Bongo5

Petr Cech aweka rekodi yake mpya katika ligi ya England

Cech

Mlinda mlango wa klabu ya Arsenal Petr Cech ameweka rasmi rekodi mpya ya kuwa kipa aliyecheza mechi nyingi bila ya kufungwa ‘clean sheets’ katika historia ya Ligi Kuu England.

Cech

Cech,mwenye miaka 33, amevunja rekodi ya kipa wa zamani David James baada ya kufikisha idadi ya ‘clean sheets’ 170 katika mchezo dhidi ya Bournemouth ambapo Arsenal walishinda kwa magoli 2-0.

Amefikisha idadi hiyo ndani ya michezo 352 dhidi ya 572 ya Davidi James ambaye aliwahi kuzichezea klabu za Liverpool, Aston...

 

9 years ago

MillardAyo

Stand United wakutana na kipigo cha hat-trick ya Tambwe, cheki matokeo ya Ligi Kuu December 19 (+Pichaz)

Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea tena leo December 19 kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja mbalimbali Tanzania. Uwanja wa Taifa Dar Es Salaam Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu soka Tanzania Bara Dar Es Salaam Young African waliwakaribisha Stand United chama la wana kucheza mchezo wao wa 12 wa Ligi. Mchezo ulianza kwa Yanga kumiliki […]

The post Stand United wakutana na kipigo cha hat-trick ya Tambwe, cheki matokeo ya Ligi Kuu December 19 (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Alexis Sanchez anahitaji kupumnzika

Alexis Sanchez anaweza kukosa mechi ya kwanza ya msimu katika kikosi cha Arsenal.

 

11 years ago

Bongo5

Picha: Hatimaye Alexis Sanchez Amejiunga na Arsenal

Mshambuliaji Alexis Sanchez Nyota kutoka Chile mwenye miaka 25 amekamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 30 kutoka Barcelona kwenda Arsenal wanaamini atawasaidia ili kuweza kupata ubingwa wa Ligi Kuu ya England Nyota huyo wa Chile ambaye amesain mkataba wa miaka minne huku kukiwa na kipengele cha kuongeza miezi 12 na mshahara utakuwa paundi laki moja na […]

 

10 years ago

BBC

Record hat-trick is 'best moment'

Southampton's Senegalese winger Sadio Mane describes the fastest hat-trick in Premier League history as his "best moment in football".

 

5 years ago

Mirror Online

Inter Milan 'to send transfer flop Alexis Sanchez back to Man Utd'

Inter Milan 'to send transfer flop Alexis Sanchez back to Man Utd'  Mirror OnlineView Full coverage on Google News

 

5 years ago

Mirror Online

Alexis Sanchez 'set for £1.1million loyalty windfall' from Man Utd upon loan return

Alexis Sanchez 'set for £1.1million loyalty windfall' from Man Utd upon loan return  Mirror OnlineManchester United 'must play Alexis Sanchez a huge £1.1m loyalty payment when he returns from Inter'  Daily MailAlexis Sanchez Set For Loyalty Bonus Payment On Return To Manchester United After Inter Loan Concludes  SempreInterInter Milan 'to send transfer flop Alexis Sanchez back to Man Utd'  Mirror OnlineMan Utd to be forced into paying flop Alexis Sanchez £1.1m annual loyalty payment when he...

 

5 years ago

Mirror Online

Paul Merson backs Alexis Sanchez to rediscover Barcelona and Arsenal form at Man Utd

Paul Merson backs Alexis Sanchez to rediscover Barcelona and Arsenal form at Man Utd  Mirror Online‘Man Utd won’t spend £70m on Alexis Sanchez replacement’ – Chilean can rediscover Arsenal form, says Merson  Goal.comPaul Merson Says: Alexis Sanchez return to Man Utd makes sense  Sky SportsThis $880k-per-week Man Utd flop could get a second chance – and coronavirus is partly to thank  Fox SportsPaul Merson delivers verdict on Manchester United ace Alexis Sanchez potentially joining West...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani