SANCHEZ ATUA ARSENAL, KULAMBA PAUNI 140,000 KWA WIKI
![](http://api.ning.com:80/files/5vBx3EI3-TEZjofyYGNAibvK97Bav3fswZQ2sd1ysC2Y9yfgibh4sVTMheZvJQyYHTAXFOob53GvJ6WjZXq47e4OQKua0hgb/sanchez2.jpg)
Nyota mpya wa Arsenal, Alexis Sanchez akiwa ndani ya 'uzi' mpya. MSHAMBULIAJI mahiri wa Chile na Barcelona, Alexis Sanchez, amejiunga na Klabu ya Arsenal kwa pauni milioni 30 na mkataba wa miaka miaka minne. Alexis Sanchez atakuwa Arsenal kwa miaka minne. Akiwa klabuni hapo, nyota huyo atalipwa pauni 140,000 kwa wiki sawa na Mesut Ozil aliyekuwa analipwa kiasi hicho kikubwa kuliko wote ndani ya… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 Feb
Rooney kulipwa pauni 300,000 kwa wiki
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/agg6MtdmQC2goLWOp4k-BeBZnQKIiAOr3qNlUSkN2FE15XHXASZYx-O5xt7nGsfcI-rvTsaIb2-vKdyUQBLrkRYEEUCr8UHj/fab5.jpg?width=650)
FABREGAS ATUA CHELSEA KWA PAUNI MILIONI 30
11 years ago
Bongo511 Jul
Hatimaye Luis Suarez atua Barcelona kwa pauni milioni 75
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pBrEDFyKDmPLk7VGkQH3BfrUf7U9*uMd1Av03VxYxePw51k6dXbKlvkoF9sGsX0hEMfv89BHtsRvan*C5V81myYAmHDiKyCZ/2A166FD9000005783140740imagea33_1435590186481.jpg)
PETR CECH ASAJILIWA ARSENAL KWA PAUNI 11
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Messi ataka Pauni 600 kwa wiki England
9 years ago
Mtanzania20 Nov
Sanchez, Ozil kuongezewa mikataba Arsenal
LONDON, ENGLAND
NYOTA wa klabu ya Arsenal, Alexis Sanchez na Mesut Ozil wanatarajiwa kuongezewa mikataba mipya ambayo itawafanya wachezaji hao kukaa kwa muda mrefu katika klabu hiyo.
Klabu hiyo tayari imeanza mazungumzo na Sanchez, ambapo mchezaji huyo ameonekana kukubali kuongeza mkataba wa miaka mitano kwa kitita cha pauni 155,000 kwa wiki.
Katika mkataba wake wa sasa, Sanchez anachukua kitita cha pauni 130,000 kwa wiki, lakini mkataba huo utamfanya aongeze kitita cha pauni 25,000 na...
10 years ago
Mwananchi12 Jan
Sanchez apiga mbili Arsenal ikiichakaza Stoke
11 years ago
Bongo511 Jul
Picha: Hatimaye Alexis Sanchez Amejiunga na Arsenal
10 years ago
TheCitizen12 Nov
140,000 Dar residents’ lives at stake over climate change