Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SANCHEZ ATUA ARSENAL, KULAMBA PAUNI 140,000 KWA WIKI

Nyota mpya wa Arsenal, Alexis Sanchez akiwa ndani ya 'uzi' mpya. MSHAMBULIAJI mahiri wa Chile na Barcelona, Alexis Sanchez, amejiunga na Klabu ya Arsenal kwa pauni milioni 30 na mkataba wa miaka miaka minne. Alexis Sanchez atakuwa Arsenal kwa miaka minne. Akiwa klabuni hapo, nyota huyo atalipwa pauni 140,000 kwa wiki sawa na Mesut Ozil aliyekuwa analipwa kiasi hicho kikubwa kuliko wote ndani ya… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Rooney kulipwa pauni 300,000 kwa wiki

Katika mkataba huo wa miaka mitano aliosaini mshambuliaji huyo wa England atakuwa akichukua kiasi cha pauni 300,000 kwa wiki ambako kwa mwaka ataweka kibindoni pauni 15.6 milioni.

 

11 years ago

GPL

FABREGAS ATUA CHELSEA KWA PAUNI MILIONI 30

KIUNGO wa Barcelona na Hispania, Cesc Fabregas amejiunga na Klabu ya Chelsea kwa pauni milioni 30 kwa mkataba wa miaka mitano. Fabregas atavaa jezi namba nne kama aliyokuwa akivaa Arsenal na Barcelona. Kiungo huyo ameishukuru Barcelona ambapo amekaa miaka mitatu kwa furaha. "Ilikuwa timu yangu ya utotoni na nitajivunia kila mara kupata nafasi ya kuchezea timu hiyo kubwa" "Nahisi bado sijamaliza kazi katika Premier League na kwa...

 

11 years ago

Bongo5

Hatimaye Luis Suarez atua Barcelona kwa pauni milioni 75

Klabu ya soka ya Liverpool imekubali kumuuza mshambulizi wake Luis Suarez kwa Barcelona kwa pauni milioni 75. Mchezaji huyo wa Uruguay ,ambaye amepigwa marufuku ya kutocheza mpira miezi miinne baada ya kukutwa na hatia ya kumng’ata begani mchezaji mwenzake wa Italy, Giorgio Chiellini wakati wa mechi yao katika kombe la dunia anatarajia kusafiri kwenda Barcelona […]

 

10 years ago

GPL

PETR CECH ASAJILIWA ARSENAL KWA PAUNI 11

Petr Cech akionyesha jezi ya Arsenal baada  ya uhamisho wa pauni 11 na mshahara wake unatajwa kuwa ni pauni 100,000 kwa wiki. Akiwa katika mapozi.…

 

9 years ago

Mwananchi

Messi ataka Pauni 600 kwa wiki England

Lionel Messi anataka kitita cha Pauni 600,000 kwa wiki kwa timu ambayo itataka kumsajili acheze katika Ligi Kuu England.

 

9 years ago

Mtanzania

Sanchez, Ozil kuongezewa mikataba Arsenal

Alexis Sanchez, Mesut OzilLONDON, ENGLAND

NYOTA wa klabu ya Arsenal, Alexis Sanchez na Mesut Ozil wanatarajiwa kuongezewa mikataba mipya ambayo itawafanya wachezaji hao kukaa kwa muda mrefu katika klabu hiyo.

Klabu hiyo tayari imeanza mazungumzo na Sanchez, ambapo mchezaji huyo ameonekana kukubali kuongeza mkataba wa miaka mitano kwa kitita cha pauni 155,000 kwa wiki.

Katika mkataba wake wa sasa, Sanchez anachukua kitita cha pauni 130,000 kwa wiki, lakini mkataba huo utamfanya aongeze kitita cha pauni 25,000 na...

 

10 years ago

Mwananchi

Sanchez apiga mbili Arsenal ikiichakaza Stoke

Alexis Sanchez amefunga mabao mawili na kuiongoza Arsenal kuwashusha majirani zao Tottenham katika nafasi ya tano baada ya kuichapa Stoke City 3-0 kwenye Uwanja wa Emirates, London.

 

11 years ago

Bongo5

Picha: Hatimaye Alexis Sanchez Amejiunga na Arsenal

Mshambuliaji Alexis Sanchez Nyota kutoka Chile mwenye miaka 25 amekamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 30 kutoka Barcelona kwenda Arsenal wanaamini atawasaidia ili kuweza kupata ubingwa wa Ligi Kuu ya England Nyota huyo wa Chile ambaye amesain mkataba wa miaka minne huku kukiwa na kipengele cha kuongeza miezi 12 na mshahara utakuwa paundi laki moja na […]

 

10 years ago

TheCitizen

140,000 Dar residents’ lives at stake over climate change

>Assistant director for Environment in the Vice-President’s Office (VPO), Mr Richard Muyungi, said in Dar es Salaam that about eight per cent of the land area of Dar es Salaam which is inhabited by 140,000 people and holds property worth more $170 million were potentially in vulnerable to rising sea level.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani