Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rooney kulipwa pauni 300,000 kwa wiki

Katika mkataba huo wa miaka mitano aliosaini mshambuliaji huyo wa England atakuwa akichukua kiasi cha pauni 300,000 kwa wiki ambako kwa mwaka ataweka kibindoni pauni 15.6 milioni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

SANCHEZ ATUA ARSENAL, KULAMBA PAUNI 140,000 KWA WIKI

Nyota mpya wa Arsenal, Alexis Sanchez akiwa ndani ya 'uzi' mpya. MSHAMBULIAJI mahiri wa Chile na Barcelona, Alexis Sanchez, amejiunga na Klabu ya Arsenal kwa pauni milioni 30 na mkataba wa miaka miaka minne. Alexis Sanchez atakuwa Arsenal kwa miaka minne. Akiwa klabuni hapo, nyota huyo atalipwa pauni 140,000 kwa wiki sawa na Mesut Ozil aliyekuwa analipwa kiasi hicho kikubwa kuliko wote ndani ya… ...

 

9 years ago

Mwananchi

Messi ataka Pauni 600 kwa wiki England

Lionel Messi anataka kitita cha Pauni 600,000 kwa wiki kwa timu ambayo itataka kumsajili acheze katika Ligi Kuu England.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ronaldo ana thamani ya pauni milioni 300

Imeelezwa kuwa Ronaldo ana thamani ya Pauni 300 iwapo ataamua kuihama Real Madrid

 

10 years ago

Mwananchi

Ikulu yakanusha Rais kulipwa Dola 16,000 kwa mwezi

>Siku moja baada ya tovuti ya Mwananchi kunukuu habari zilizoripotiwa na Mtandao wa African Review, kuhusu mishahara ya marais wa Afrika na kwingineko duniani, Ikulu imekanusha habari hizo ikisema si za kweli.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge la Katiba 300,000/- kwa siku

HATIMAYE serikali imeweka hadharani kwamba kila mjumbe katika Bunge la Katiba ataweka kibindoni posho ya sh 300,000 kwa siku. Kwa maana hiyo, kila mjumbe katika Bunge hilo atakuwa amelipwa sh...

 

10 years ago

Habarileo

Majambazi 7 wamuua mfanyabiashara kwa 300,000/-

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Jafari IbrahimuMAJAMBAZI 7 wakiwa na silaha mbalimbali wamemuua kwa kumpiga risasi mfanyabiashara Felix Laungeni (58) ambaye ni mwanajeshi mstaafu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ).

 

11 years ago

Habarileo

Posho Bunge la Katiba Sh 300,000 kwa siku

BUNGE Maalumu la Katiba litafunguliwa rasmi Jumatano ijayo ya Februari 26, mwaka huu likiwa na wajumbe 629 na imethibitishwa kuwa kila mjumbe atalipwa Sh 300,000 kwa siku. Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Thomas Kashillilah, aliwaambia waandishi wa habari hayo jana ndani ya ukumbi mpya wa Bunge, walipoingia kwa mara ya kwanza ndani ya ukumbi huo kuangalia mfumo wa kisasa wa sauti na mambo mengine.

 

10 years ago

Dewji Blog

KINUKAMORI waomba dola 30,000 kutengeneza ajira kwa watu 300

DSC_0218

Mkurugenzi Mtendaji wa EWP na Mkurugenzi wa Kinukamori Enterprises, Bw. Alpha Phares Moshi (wa pili kushoto) akimkaribisha Mratibu Mkazi  wa Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la maendeleo UNDP, Alvaro Rodriguez alipowasili kwenye Taasisi isiyo ya kiserikali inayo shughulika na uhifadhi wa mazingira eneo la Kinukamori, Marangu mkoani Kilimanjaro wakati wa ziara yake ya kukagua miradi mbalimbali inayofadhiliwa na UNDP huku akiwa amembatana na Mratibu wa Kitaifa miradi ya COMPACT...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani