Messi ataka Pauni 600 kwa wiki England
Lionel Messi anataka kitita cha Pauni 600,000 kwa wiki kwa timu ambayo itataka kumsajili acheze katika Ligi Kuu England.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi05 Jan
Wasanii wanunua stika kwa pauni ya England
>Tasnia ya sanaa imeendelea kuandamwa na changamoto nyingi ikiwamo wasanii kununua stika za kazi zao kwa pauni ya Uingereza badala ya shilingi ya Tanzania.
11 years ago
Mwananchi23 Feb
Rooney kulipwa pauni 300,000 kwa wiki
Katika mkataba huo wa miaka mitano aliosaini mshambuliaji huyo wa England atakuwa akichukua kiasi cha pauni 300,000 kwa wiki ambako kwa mwaka ataweka kibindoni pauni 15.6 milioni.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5vBx3EI3-TEZjofyYGNAibvK97Bav3fswZQ2sd1ysC2Y9yfgibh4sVTMheZvJQyYHTAXFOob53GvJ6WjZXq47e4OQKua0hgb/sanchez2.jpg)
SANCHEZ ATUA ARSENAL, KULAMBA PAUNI 140,000 KWA WIKI
Nyota mpya wa Arsenal, Alexis Sanchez akiwa ndani ya 'uzi' mpya. MSHAMBULIAJI mahiri wa Chile na Barcelona, Alexis Sanchez, amejiunga na Klabu ya Arsenal kwa pauni milioni 30 na mkataba wa miaka miaka minne. Alexis Sanchez atakuwa Arsenal kwa miaka minne. Akiwa klabuni hapo, nyota huyo atalipwa pauni 140,000 kwa wiki sawa na Mesut Ozil aliyekuwa analipwa kiasi hicho kikubwa kuliko wote ndani ya… ...
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Ubaya kila kona England wiki hii
Ukurasa mpya wa vita ya maneno kati ya kocha wa Chelsea, Jose Mourinho na bosi wa Manchester City, Manuel Pellegrini utaendelea leo wakati Arsenal wakisaka kulipa kisasi dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa Kombe la FA raundi ya tano.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/agg6MtdmQC2goLWOp4k-BeBZnQKIiAOr3qNlUSkN2FE15XHXASZYx-O5xt7nGsfcI-rvTsaIb2-vKdyUQBLrkRYEEUCr8UHj/fab5.jpg?width=650)
FABREGAS ATUA CHELSEA KWA PAUNI MILIONI 30
KIUNGO wa Barcelona na Hispania, Cesc Fabregas amejiunga na Klabu ya Chelsea kwa pauni milioni 30 kwa mkataba wa miaka mitano. Fabregas atavaa jezi namba nne kama aliyokuwa akivaa Arsenal na Barcelona. Kiungo huyo ameishukuru Barcelona ambapo amekaa miaka mitatu kwa furaha. "Ilikuwa timu yangu ya utotoni na nitajivunia kila mara kupata nafasi ya kuchezea timu hiyo kubwa" "Nahisi bado sijamaliza kazi katika Premier League na kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pBrEDFyKDmPLk7VGkQH3BfrUf7U9*uMd1Av03VxYxePw51k6dXbKlvkoF9sGsX0hEMfv89BHtsRvan*C5V81myYAmHDiKyCZ/2A166FD9000005783140740imagea33_1435590186481.jpg)
PETR CECH ASAJILIWA ARSENAL KWA PAUNI 11
Petr Cech akionyesha jezi ya Arsenal baada ya uhamisho wa pauni 11 na mshahara wake unatajwa kuwa ni pauni 100,000 kwa wiki. Akiwa katika mapozi.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XxljNrmdEYKCe6GU3Lqi6L17LllId7hyqpUFZA4BLbvYe4K4GJPmPnYhp4TSqnE5dEyt9*gEYo-3bjlYPB33fTKX7ox0Yt4u/ToniKroos.jpg)
TONI KROOS KUTUA MAN U KWA PAUNI MIL 20
Toni Kroos. MANCHESTER UNITED imekubali kumsajili kiungo wa Bayern Munich, Toni Kroos kwa pauni milioni 20 sawa na bilioni 55.8 za Tanzania. Arjen Robben. Mchakato wa kumnasa kiungo huyo mwenye miaka 24 ulianzishwa na kocha aliyetimuliwa baada ya kuboronga, David Moyes na sasa umepewa baraka na kocha mpya Louis van Gaal. Timu hiyo kwa sasa inajipanga kumnasa mshambulaji hatari wa Bayern Munich na timu ya Taifa ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rFFi-SX8PjUI5GmC4Uv55DL4pjani6LuHlKva1mErmvTm9zHXQGIwZlFkr7r4o6A9gC0W1h038SBjSt2BvNvgBoObttUfW9S/dimaria.jpg?width=650)
MANCHESTER UNITED WATENGA PAUNI MILIONI 100 KWA DI MARIA
Angel Di Maria. KLABU ya Manchester United imetenga kitita cha pauni milioni 100 kwa ajili ya usajili na mshahara wa winga wa Real Madrid na timu ya Taifa ya Argentina, Angel Di Maria. Daley Blind. Pauni milioni 50 zinatarajiwa kutumika kumsajili staa huyo wa Real Madrid huku mshahara wake kwa wiki ukitarajiwa kuwa pauni 200,000. Kocha wa United, Louis van Gaal amemtaka Mtendaji Mkuu wa timu hiyo, Ed Woodward… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania