Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MANCHESTER UNITED WATENGA PAUNI MILIONI 100 KWA DI MARIA

Angel Di Maria. KLABU ya Manchester United imetenga kitita cha pauni milioni 100 kwa ajili ya usajili na mshahara wa winga wa Real Madrid na timu ya Taifa ya Argentina, Angel Di Maria. Daley Blind. Pauni milioni 50 zinatarajiwa kutumika kumsajili staa huyo wa Real Madrid huku mshahara wake kwa wiki ukitarajiwa kuwa pauni 200,000. Kocha wa United, Louis van Gaal amemtaka Mtendaji Mkuu wa timu hiyo, Ed Woodward… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mancity kutumia pauni milioni 100 msimu huu

Manchester City wanatarajiwa kutumia pauni milioni 100 ili kuwasajli wachezaji wapya msimu huu baada ya vikwazo walivyowekewa kuhusu ununuzi wa wachezaji kuondolewa na UEFA.

 

10 years ago

BBCSwahili

Manchester United kumuuza Di Maria

Di Maria hajaonyesha umahiri wake tangu aliposajiliwa katika kilabu ya Manchester united kutoka Real Madrid

 

10 years ago

Africanjam.Com

ANGEL DI MARIA APOLOGIZES TO MANCHESTER UNITED SUPPORTERS

      Angel Di Maria has issued a public apology to Manchester United fans after leaving Old Trafford after one season to join Paris Saint-Germain. Argentina star Di Maria endured a miserable 12 months at United when he signed a four-year contract with French champions PSG on Thursday.
Di Maria's departure was not the main subject of debate about his limited days in a United shirt. Rather the cost of the transfer.Having moved to United from Real Madrid for £59million, he was sold to PSG for...

 

10 years ago

Africanjam.Com

MSIMAMO WA DI MARIA, KUBAKI AU KUONDOKA MANCHESTER UNITED..

Baada ya tetesi za muda mrefu zikimhusisha na kuihama klabu ya Manchester Unitedbaada ya msimu mmoja ambao umeonekana si wa mafanikio sana, kiungo raia wa Argentina Angel Di Maria amethibitisha kuwa ataendelea kuwa sehemu ya kikosi chaManchester United msimu ujao.
Di Maria amekuwa kwenye wakati mgumu katika msimu wake wa kwanza baada ya kuonekana amecheza chini ya kiwango katika msimu ambao United imemaliza kwenye nafasi ya nne na kufanikiwa kufuzu michuano ya ligi ya mabingwa ambayo...

 

10 years ago

Africanjam.Com

MANCHESTER UNITED MANAGER LOUIS VAN GAAL ADMITS 'I DON'T KNOW WHERE ANGEL DI MARIA IS..'

Louis Van Gaal claimed he “does not know” where Angel Di Maria is after Paris St Germain claimed they were close to securing a deal for the Manchester United winger.
Di Maria failed to join up with the United squad in San Jose for the last leg of their US tour, having been given an extended break following his involvement in the Copa America with Argentina.PSG boss Laurent Blanc, whose side beat United 2-0 in Chicago, claimed the French champions were “close to the end” of their negotiations...

 

10 years ago

Africanjam.Com

TRANSFER NEWS: MANCHESTER UNITED AND PSG INCHING CLOSER TO ANGEL DI MARIA DEAL..

Angel Di Maria's proposed move from Manchester United to Paris St-Germain is "close" to being decided, says the French team's coach Laurent Blanc.The Argentina midfielder has not joined United on their pre-season tour of America, and manager Louis van Gaal has said he "does not know why".
"There is a good possibility he could sign but there is nothing official," said Blanc after a defeat by Chelsea."We have to have patience a little longer. The outcome is very close."French paper L'Equipe has...

 

10 years ago

Africanjam.Com

TRANSFER NEWS: MANCHESTER UNITED WINGER ANGEL DI MARIA SET FOR PARIS ST- GERMAN MEDICAL

Manchester United's Angel Di Maria is set to have a medical in the next 24 hours before a proposed move to Paris St-Germain.
The winger, a British record £59.7m signing last summer, is expected in Doha on Sunday to meet PSG officials.The fee for the 27-year-old Argentina international is believed to be about £44.5m.Di Maria did not join United's pre-season tour of the United States after appearing at the Copa America in Chile.The former Real Madrid player moved to Old Trafford last August...

 

11 years ago

GPL

FABREGAS ATUA CHELSEA KWA PAUNI MILIONI 30

KIUNGO wa Barcelona na Hispania, Cesc Fabregas amejiunga na Klabu ya Chelsea kwa pauni milioni 30 kwa mkataba wa miaka mitano. Fabregas atavaa jezi namba nne kama aliyokuwa akivaa Arsenal na Barcelona. Kiungo huyo ameishukuru Barcelona ambapo amekaa miaka mitatu kwa furaha. "Ilikuwa timu yangu ya utotoni na nitajivunia kila mara kupata nafasi ya kuchezea timu hiyo kubwa" "Nahisi bado sijamaliza kazi katika Premier League na kwa...

 

11 years ago

Bongo5

Hatimaye Luis Suarez atua Barcelona kwa pauni milioni 75

Klabu ya soka ya Liverpool imekubali kumuuza mshambulizi wake Luis Suarez kwa Barcelona kwa pauni milioni 75. Mchezaji huyo wa Uruguay ,ambaye amepigwa marufuku ya kutocheza mpira miezi miinne baada ya kukutwa na hatia ya kumng’ata begani mchezaji mwenzake wa Italy, Giorgio Chiellini wakati wa mechi yao katika kombe la dunia anatarajia kusafiri kwenda Barcelona […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani