Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ubaya kila kona England wiki hii

Ukurasa mpya wa vita ya maneno kati ya kocha wa Chelsea, Jose Mourinho na bosi wa Manchester City, Manuel Pellegrini utaendelea leo wakati Arsenal wakisaka kulipa kisasi dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa Kombe la FA raundi ya tano.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kila kona ubaya England

Arsenal inaongoza Ligi Kuu ya England katika raundi hii ya 12, wakiwa mbele kwa pointi tano kwa wapinzani wake wa karibu Liverpool na Chelsea.

 

10 years ago

Vijimambo

KUNA UBAYA GANI VALENTINE’S DAY KUWA KILA WIKI?

Niwiki nyingine tulivu tunakutana kupitia ukurasa huu nikiamini kwamba umzima na unaendelea nyema na majukumu yako ya kila siku. Mimi mzima wa afya na namshukuru Mungu kwa kila jambo ambalo amekuwa akinitendea katika kila siku ya maisha yangu.

Naomba tu niseme kwamba, kupitia safu hii unaweza kupata ushauri wa mambo mbalimbali ya kimapenzi hivyo kama una lolote ambalo linakukosesha amani, usikae nao! Wasiliana nami kwa namba za simu hapo juu naamini suluhisho litapatikana.

Mpenzi msomaji...

 

10 years ago

GPL

KUNA UBAYA GANI VALENTINE’S DAY KUWA KILA WIKI?

Niwiki nyingine tulivu tunakutana kupitia ukurasa huu nikiamini kwamba umzima na unaendelea nyema na majukumu yako ya kila siku. Mimi mzima wa afya na namshukuru Mungu kwa kila jambo ambalo amekuwa akinitendea katika kila siku ya maisha yangu. Naomba tu niseme kwamba, kupitia safu hii unaweza kupata ushauri wa mambo mbalimbali ya kimapenzi hivyo kama una lolote ambalo linakukosesha amani, usikae nao! Wasiliana nami kwa namba za...

 

10 years ago

Dewji Blog

Lowassa aendelea kujipatia umaarufu kila kona kila kundi, Manyara ajizolea udhamini mnono

Lowassa_Babati2

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM na wakazi wa Mji wa Babati mkoani Manyara, Juni 25, 2015 wakati akitoa shukrani baada ya kupata wana CCM 42,405 walioamdhamini kufuatia kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu wa 2015. 9Picha na K-VIS MEDIA).

Lowassa_Babati1

Lowassa_hotuba Manyara

Lowassa_Daniel Opurukwa

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward...

 

11 years ago

GPL

CHAMPIONI KILA KONA

Mbunge wa Jimbo la Mikumi mkoani Morogoro Abdulsalama Amer (Sas gas) akimsikiliza mmoja wa waasisi wa Chama cha Tanu na aliyewahi kuwa katibu wa Tawi la Tundu Kidodi wa chama hicho, Bi. Faina Ngwira (80) alipokuwa akisoma Gazeti la Championi, mbunge huyo alikuwa kwenye ziara ya kukagua mradi wa maji safi kwenye kata hiyo unaofadhiliwa na Benki ya Dunia, hivi karibuni. (Picha: Fadhil Chitembedja) ...

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa kila kona

Hakuna shaka kwamba jina la Edward Lowassa, ndilo linalozungumzwa zaidi kwenye kampeni za urais zinazoendelea sasa hivi iwe kwa mazuri au mabaya.

 

10 years ago

Mwananchi

Majanga kila kona

Majanga kila kona, ndicho kilichotokea jana, baada ya kuwashuhudia Yanga na Azam wakipokea vipigo ugenini huku Simba wakilazimishwa sare ya sita msimu huu.

 

10 years ago

Habarileo

Mafuriko kila kona

Mkazi wa Jangwani, Dar es Salaam, Oscar Albert akionesha namna mafuriko yalivyoathiri makazi yake kufuatia mvua zilizonyesha jijini jana. (Picha na Fadhili Akida).MVUA kubwa iliyonyesha jijini Dar es Salaam kuanzia juzi, imesababisha mafuriko na kuua watu watatu, kuharibu nyumba kadhaa na miundombinu ya barabara na maji katika sehemu mbalimbali.

 

9 years ago

Mwananchi

Kila kona ni Samatta, Ulimwengu

Wakati washambuliaji Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu wakisaka rekodi ya kuwa Watanzania wa kwanza kutwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika, TP Mazembe wanayoichezea inasaka taji la tano la mashindano hayo leo dhidi ya USM Alger.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani