DI MARIA ATUPIA MBILI ARGENTINTA IKISHINDA TANO DHIDI YA BOLIVIA..
![](http://3.bp.blogspot.com/-dYRe_xQsTRo/VXSa-MKrXgI/AAAAAAAAB9Y/IIABCiDLf_w/s72-c/Di%2BMaria.jpg)
Sergio Aguero na Angel di Maria wameonyesha wana hawana uchovu wa Ligi Kuu England, baada ya kila mmoja kupiga zaidi ya bao moja wakati Argentina ikiitwanga Bolivia 5-0.Di Maria hakua na msimu mzuri sana katika club yake ya Manchester United kitu kilichowapa watu wengi wasiwasi kuhusu kiwango chake. Hata hivyo Di Maria amesema ataendelea kuichezea club yake hiyo na aahidi kurudi katika kiwango bora zaidi.
Kiwango alichokionyesha katika timu yake ya taifa ya Argentina ikiwemo kuziona nyavu...
africanjam.com
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-_KvrceNXOmY/VZN77jPoK4I/AAAAAAAACW8/WV5SaLJD8eg/s72-c/3000.jpg)
DI MARIA ATUPIA MBILI ARGENTINA IKISHINDA 6 -1 DHIDI YA PARAGUAY
![](http://4.bp.blogspot.com/-_KvrceNXOmY/VZN77jPoK4I/AAAAAAAACW8/WV5SaLJD8eg/s400/3000.jpg)
Timu ya Taifa ya Argentina imetinga kwa kishindo hatua ya fainali ya Copa America baada ya kuitandika Paraguay kipigo cha mbwa mwizi cha magoi 6-1 katika mechi ya nusu fainali iliyopigwa usiku wa kuamkia leo.Mabao ya Argentina yamefungwa na Marcos Rojo (15), Javier Pastore (27), Angel Di Maria (47, 53), Sergio Aguero (80) na Gonzalo Higuain (83), huku goli la kufutia machozi kwa Paraguay likifungwa na Lucas Barrios (43).Kama kocha wa Manchester United, Louis van Gaal anataka kupata kiwango...
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Messi atupia mbili Barca, Negredo apiga tatu City
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-aHyCl85qoEI/XpNDuZiijtI/AAAAAAACJz0/qNWdxDmXDQciQK3wLpKcbYlQx6n_z-ANACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200412-WA0083.jpg)
DC TANO MWERA ATUMA UJUMBE WA PASAKA, ATOA TAHADHARI DHIDI YA CORONA BUSEGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-aHyCl85qoEI/XpNDuZiijtI/AAAAAAACJz0/qNWdxDmXDQciQK3wLpKcbYlQx6n_z-ANACLcBGAsYHQ/s320/IMG-20200412-WA0083.jpg)
MKUU wa Wilaya ya Busega iliyopo Mkoani Simiyu ametoa ujumbe wa Pasaka kwa Wananchi wote na kuhimiza wananchi kuzingatia tahadhari zinazotolewa na Wataalamu wa Afya.
"Nachukua nafasi hii kuwatakia Kheri ya Pasaka wana Busega na Watanzania wote kwa ujumla.
Tusherehekee sikukuu zetu kwa uangalifu mkubwa huku tukifata maelekezo ya Wataalam wetu wa Afya, epuka mikusanyiko isiyokuwa ya lazima, tuzingatie kunawa mikono kila wakati, au kutumia vitakasa mikono ( sanitizer).
"Kaa nyumbani...
10 years ago
GPLKONGAMANO LA SIKU MBILI LA UKATILI WA JINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WALEMAVU
10 years ago
VijimamboKONGAMANO LA SIKU MBILI VITA DHIDI YA UKATILI KWA WANAWAKE NA WALEMAVU
10 years ago
GPLWASHINDI WA TUZO ZA KTMA 2015, ALI KIBA AIBUKA NA TUZO TANO, DIAMOND PLATINUMZ MBILI
10 years ago
MichuziMSAMA AKABIDHI MILIONI MBILI KWA AJILI YA KUSIDIA MAPAMBANO DHIDI YA MAUAJI YA ALBINO
11 years ago
Dewji Blog10 May
Makamu wa Rais Dkt. Bilal afungua kongamano la siku mbili la kudhibiti Ujangili na kutokomeza mauaji dhidi ya Tembo
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai, wakati alipowasili kwenye viwanja vya Hoteli ya Hyat Kilimanjaro, jijini Dar es Salaam jana Mei 9, 2014 kwa ajili ya kufungua Kongamano la siku mbili la Kampeni ya kudhibiti Ujangili na kukomesha mauaji dhidi ya Tembo. Kongamano hilo linatarajia kumalizika leo. (Picha na OMR).
Washiriki wa Kongamano hilo, wakisimama kumkaribisha mgeni rasmi Makamu...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-E7XENtkTIcA/U2zMO1-LY3I/AAAAAAAFggU/ggFfalLfFvw/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA SIKU MBILI LA KUDHIBITI UJANGILI NA KUTOKOMEZA MAUAJI DHIDI YA TEMBO
![](http://3.bp.blogspot.com/-E7XENtkTIcA/U2zMO1-LY3I/AAAAAAAFggU/ggFfalLfFvw/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uL6HBl09Ff0/U2zMNMg91YI/AAAAAAAFggQ/-PmQ35QicAQ/s1600/01.jpg)
Makamu Wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia...