KONGAMANO LA SIKU MBILI LA UKATILI WA JINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WALEMAVU
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Seed Trust, Margareth Mkanga (MB) akizungumza katika kongamano hilo. Kulia ni Mwenyekiti wa Shirika hilo, Stephen Mashishanga. Kongamano hilo la Majadiliano kuhusiana na vitendo vya ukatili kwa wanawake na walemavu limeshirikisha wadau mbalimbali kutoka baadhi ya mikoa ya Tanzania na kuandaliwa na Shirika la Seed Trust la mjini Morogoro kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKONGAMANO LA SIKU MBILI LA UKATILI WA JINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WALEMAVU LILILOANDALIWA NA SHIRIKA LA SEED TRUST LAFIKIA TAMATI MKOANI MOROGORO DESEMBA 9-2014
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
VijimamboKONGAMANO LA SIKU MBILI VITA DHIDI YA UKATILI KWA WANAWAKE NA WALEMAVU
10 years ago
GPLKONGAMANO LA SIKU MBILI VITA DHIDI YA UKATILI KWA WANAWAKE NA WALEMAVU LILILOANDALIWA NA SHIRIKA LA SEED TRUST LAFANYIKA MKOANI MOROGORO
11 years ago
Dewji Blog10 May
Makamu wa Rais Dkt. Bilal afungua kongamano la siku mbili la kudhibiti Ujangili na kutokomeza mauaji dhidi ya Tembo
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai, wakati alipowasili kwenye viwanja vya Hoteli ya Hyat Kilimanjaro, jijini Dar es Salaam jana Mei 9, 2014 kwa ajili ya kufungua Kongamano la siku mbili la Kampeni ya kudhibiti Ujangili na kukomesha mauaji dhidi ya Tembo. Kongamano hilo linatarajia kumalizika leo. (Picha na OMR).
Washiriki wa Kongamano hilo, wakisimama kumkaribisha mgeni rasmi Makamu...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-E7XENtkTIcA/U2zMO1-LY3I/AAAAAAAFggU/ggFfalLfFvw/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA SIKU MBILI LA KUDHIBITI UJANGILI NA KUTOKOMEZA MAUAJI DHIDI YA TEMBO
![](http://3.bp.blogspot.com/-E7XENtkTIcA/U2zMO1-LY3I/AAAAAAAFggU/ggFfalLfFvw/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uL6HBl09Ff0/U2zMNMg91YI/AAAAAAAFggQ/-PmQ35QicAQ/s1600/01.jpg)
Makamu Wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia...
9 years ago
Dewji Blog26 Nov
Wengi wajitokeza katika Uzinduzi wa Maadhimisho ya Siku 16 za Kupinga Ukatili dhidi ya Wanawake Jijini Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-LKLEX55uzQw/VlXDAndTniI/AAAAAAAAePA/N4S4RZlDZ0I/s640/IMG_3856.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_SDa7WPUjk8/VlXCwai6VHI/AAAAAAAAeOY/mt42k9QG_mg/s640/IMG_3801.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8gMr40bdEo8/VlXCubgVmlI/AAAAAAAAeOQ/b0MjUl7xlv8/s640/IMG_3808.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/--8-Mp7f7qxg/VlXCyJQ8X5I/AAAAAAAAeOg/lSZil91DbUE/s640/IMG_3813.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-C8jyQeRaYHc/VlXDJknotxI/AAAAAAAAePU/YGbku6k4_T0/s640/IMG_3889.png)
Maelfu wajitokeza katika maandamano ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, hapa wakiendelea na matembezi ya kupinga ukatili wa Kijinsia.
![](http://3.bp.blogspot.com/-QtFPlgeZfMo/VlXDTBiTPdI/AAAAAAAAeP4/VRxNW2WDcNE/s640/IMG_3933.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bL1Gfh9UbsI/VlXDXTuE1qI/AAAAAAAAeQI/7kmRJkIDNhc/s640/IMG_3940.png)
Maandamano yakipokelewa na Mkurugenzi wa shirika la misaada la Marekani USAID Daniel Moore, Mwakilishi wa Balozi wa Ireland nchini Maire Matthews, Mwakilishi kutoka shirika la Umoja wa Mataifa Wanawake Lucy Melele, Mkurugenzi wa shirika la Wanawake katika Sheria na Maendeleo barani Afrika – WiLDAF, Dr. Judith Odunga, pamoja na wawakilishi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rmdX2POokqg/VP5_vtCIFkI/AAAAAAAC1Vs/6ixCa6FoHZ0/s72-c/wwd%2Bpix1.jpg)
Benki ya Exim yaadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kwa kupinga ukatili dhidi ya wafanyakazi wa ndani.
![](http://2.bp.blogspot.com/-rmdX2POokqg/VP5_vtCIFkI/AAAAAAAC1Vs/6ixCa6FoHZ0/s1600/wwd%2Bpix1.jpg)
Wakati wa shughuli hiyo wafanyakazi wa kike wa benki hiyo walitoa wito kwa wanawake nchini kutumia maadhimisho ya mwaka huu kutokomeza ukatili dhidi ya wafanyakazi wa ndani. ...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fbuBSk1Qfm4/VmbC_SUCsnI/AAAAAAAIK6s/GdvVvYl7YRI/s72-c/001.GENDAR.jpg)
VODACOM FOUNDATION YANOGESHA UZINDUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-fbuBSk1Qfm4/VmbC_SUCsnI/AAAAAAAIK6s/GdvVvYl7YRI/s640/001.GENDAR.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SFzYBMkmum4/VmbDBosNEiI/AAAAAAAIK60/-bXdynWM798/s640/002.GENDAR.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zGzSvJ4trwI/VHxzyCMRsFI/AAAAAAACvoI/PqlYRqTZiAU/s72-c/3e.jpg)
UZINDUZI WA MATEMBEZI YA MAADHIMISHO YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO WAFANYIKA LEO JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-zGzSvJ4trwI/VHxzyCMRsFI/AAAAAAACvoI/PqlYRqTZiAU/s1600/3e.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1mtLEbLOITY/VHxzx_7tVAI/AAAAAAACvoE/xaAQmmR50wE/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bSRvfyHJIE8/VHxzx1n-8QI/AAAAAAACvoA/JSsoOzjH2Hk/s1600/2.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10