KONGAMANO LA SIKU MBILI LA UKATILI WA JINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WALEMAVU LILILOANDALIWA NA SHIRIKA LA SEED TRUST LAFIKIA TAMATI MKOANI MOROGORO DESEMBA 9-2014
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Seed Trust, Margareth Mkanga (MB) akizungumza katika kongamano hilo. Kulia ni Mwenyekiti wa Shirika hilo, Stephen Mashishanga. Kongamano hilo la Majadiliano kuhusiana na vitendo vya ukatili kwa wanawake na walemavu limeshirikisha wadau mbalimbali kutoka baadhi ya mikoa ya Tanzania na kuandaliwa na Shirika la Seed Trust la mjini Morogoro kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu Duniani (UNFPA).
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLKONGAMANO LA SIKU MBILI VITA DHIDI YA UKATILI KWA WANAWAKE NA WALEMAVU LILILOANDALIWA NA SHIRIKA LA SEED TRUST LAFANYIKA MKOANI MOROGORO
10 years ago
GPLKONGAMANO LA SIKU MBILI LA UKATILI WA JINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WALEMAVU
10 years ago
VijimamboKONGAMANO LA SIKU MBILI VITA DHIDI YA UKATILI KWA WANAWAKE NA WALEMAVU
10 years ago
Vijimambo09 Dec
Waziri Kombani aipongeza Seed Trust kuwapigania haki za walemavu
![Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Selina Kombani (wa pili kushoto) akifungua Kongamano la Kujadili namna ya kukabiliana na vitendo vya ukatili kwa wanawake na watuwenye ulemavu.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_01671.jpg)
![Mwenyekiti wa Tasisi ya Seed Trust, Magreth Mkanga (MB), (wa pili kutoka kushoto) akizungumza katika mkutano wa Kongamano la Kujadili namna ya kukabiliana na vitendo vya ukatili kwa wanawake na watuwenye ulemavu.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0062.jpg)
![Baadhi ya washiriki wa kongamano la Kujadili namna ya kukabiliana na vitendo vya ukatili kwa wanawake na watuwenye ulemavu wakiwa katika mkutano huo leo mjini Morogoro.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0130.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-spXukFc-ecU/VHWP7BBQX5I/AAAAAAAAEPU/u43egox-L44/s72-c/DSC_0109.jpg)
SHIRIKA LA WANAWAKE KATIKA SHERIA NA MAENDELEO AFRIKA (WiLDAF) LAADHIMISHA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-spXukFc-ecU/VHWP7BBQX5I/AAAAAAAAEPU/u43egox-L44/s1600/DSC_0109.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-c2cSKszMHyg/VHWP3pKmQKI/AAAAAAAAEO8/3CAC-J6o65Y/s1600/DSC_0060.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ja1_n6Tm5iE/VHWP9B-0vtI/AAAAAAAAEPk/AjG-ikK4YSU/s1600/DSC_0159.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-spXukFc-ecU/VHWP7BBQX5I/AAAAAAAAEPU/u43egox-L44/s72-c/DSC_0109.jpg)
SHIRIKA LA WANAWAKE KATIKA SHERIA NA MAENDELEO AFRIKA (WiLDAF) LAADHIMISHA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA JIJINI DSM
![](http://4.bp.blogspot.com/-spXukFc-ecU/VHWP7BBQX5I/AAAAAAAAEPU/u43egox-L44/s640/DSC_0109.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-y5Gw2Pie7oU/VHWP5xyarHI/AAAAAAAAEPI/7uM3CLWMNVw/s640/DSC_0092.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pQHnVTcvmwQ/VHWP5FBKEoI/AAAAAAAAEPE/WgWYcK_r31E/s640/DSC_0081.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-c2cSKszMHyg/VHWP3pKmQKI/AAAAAAAAEO8/3CAC-J6o65Y/s640/DSC_0060.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-E7XENtkTIcA/U2zMO1-LY3I/AAAAAAAFggU/ggFfalLfFvw/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA SIKU MBILI LA KUDHIBITI UJANGILI NA KUTOKOMEZA MAUAJI DHIDI YA TEMBO
![](http://3.bp.blogspot.com/-E7XENtkTIcA/U2zMO1-LY3I/AAAAAAAFggU/ggFfalLfFvw/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uL6HBl09Ff0/U2zMNMg91YI/AAAAAAAFggQ/-PmQ35QicAQ/s1600/01.jpg)
Makamu Wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia...
11 years ago
Dewji Blog10 May
Makamu wa Rais Dkt. Bilal afungua kongamano la siku mbili la kudhibiti Ujangili na kutokomeza mauaji dhidi ya Tembo
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai, wakati alipowasili kwenye viwanja vya Hoteli ya Hyat Kilimanjaro, jijini Dar es Salaam jana Mei 9, 2014 kwa ajili ya kufungua Kongamano la siku mbili la Kampeni ya kudhibiti Ujangili na kukomesha mauaji dhidi ya Tembo. Kongamano hilo linatarajia kumalizika leo. (Picha na OMR).
Washiriki wa Kongamano hilo, wakisimama kumkaribisha mgeni rasmi Makamu...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fbuBSk1Qfm4/VmbC_SUCsnI/AAAAAAAIK6s/GdvVvYl7YRI/s72-c/001.GENDAR.jpg)
VODACOM FOUNDATION YANOGESHA UZINDUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-fbuBSk1Qfm4/VmbC_SUCsnI/AAAAAAAIK6s/GdvVvYl7YRI/s640/001.GENDAR.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SFzYBMkmum4/VmbDBosNEiI/AAAAAAAIK60/-bXdynWM798/s640/002.GENDAR.jpg)