Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DI MARIA ATUPIA MBILI ARGENTINA IKISHINDA 6 -1 DHIDI YA PARAGUAY


Timu ya Taifa ya Argentina imetinga kwa kishindo hatua ya fainali ya Copa America baada ya kuitandika Paraguay kipigo cha mbwa mwizi cha magoi 6-1 katika mechi ya nusu fainali iliyopigwa usiku wa kuamkia leo.Mabao ya Argentina yamefungwa na Marcos Rojo (15), Javier Pastore (27), Angel Di Maria (47, 53), Sergio Aguero (80) na Gonzalo Higuain (83), huku goli la kufutia machozi kwa Paraguay likifungwa na Lucas Barrios (43).Kama kocha wa Manchester United, Louis van Gaal anataka kupata kiwango...

africanjam.com

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Africanjam.Com

DI MARIA ATUPIA MBILI ARGENTINTA IKISHINDA TANO DHIDI YA BOLIVIA..

 Sergio Aguero na Angel di Maria wameonyesha wana hawana uchovu wa Ligi Kuu England, baada ya kila mmoja kupiga zaidi ya bao moja wakati Argentina ikiitwanga Bolivia 5-0.Di Maria hakua na msimu mzuri sana katika club yake ya Manchester United kitu kilichowapa watu wengi wasiwasi kuhusu kiwango chake. Hata hivyo Di Maria amesema ataendelea kuichezea club yake hiyo na aahidi kurudi katika kiwango bora zaidi.
Kiwango alichokionyesha katika timu yake ya taifa ya Argentina ikiwemo kuziona nyavu...

 

10 years ago

Africanjam.Com

DI MARIA SCORE TWICE IN ARGENTINA 6 - 1 WIN AGAINST PARAGUAY "COPA AMERICA 2015"


Argentina produced their best performance of the Copa America so far to crush Paraguay 6-1 on Tuesday and set up a classic final against hosts Chile.Copa América 2015: Argentina beat Paraguay 6-1 – as it happenedMinute-by-minute report: Angel di Maria scores twice as Argentina produce a dazzling display to reach the Copa America final Read moreAngel di Maria scored twice and Marcos Rojo, Javier Pastore, Sergio Aguero and Gonzalo Higuain also found the net in a brilliant display orchestrated...

 

10 years ago

Africanjam.Com

Draw with a Paraguay a wake-up call for Argentina

Argentina were left stunned by Paraguay's furious second-half comeback in Saturday's 2-2 draw.Argentina were left stunned by Paraguay's furious second-half comeback in Saturday's 2-2 drawLA SERENA, Chile -- The media's analysis of games is usually a far cry from the interpretation of those who participated in them, whether due to an extremely results-based approach or a mistaken perspective from the outside, or sometimes due to a lack of self-criticism from players and coaches.Of course there are exceptions. What happened after the agonizing 2-2 draw between Argentina and Paraguay on...

 

11 years ago

Mwananchi

Messi atupia mbili Barca, Negredo apiga tatu City

>Lionel Messi amefunga mabao mawili akiwa amerejea baada ya kukaa nje kwa miezi miwili akisumbuliwa na tatizo la misuli na kuisaidia Barcelona kuichapa Getafe 4-0 katika mchezo wa kwanza wa raundi ya tano ya Kombe la Mfalme.

 

11 years ago

TheCitizen

BRAZIL 2014: Dashing Di Maria steps up a level for Argentina

Even when Argentina’s Round-of-16 tie with Switzerland went into extra-time, Angel Di Maria kept on running and running, right till the end.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ni Argentina dhidi ya Ujerumani Fainali

Argentina imefuzu kwa fainali ya kombe la dunia baada ya kuilaza Uholanzi 4-2 kwa penalti.

 

11 years ago

Bongo5

Argentina yailaza Uholanzi 4-2, fainali Argentina na Ujerumani july 13

Timu ya soka ya Argentina imejikatia tiketi ya kufuzu kwa fainali yake ya kwanza tangu mwaka 1990 baada ya kuilaza timu ya Uholanzi kwa goli 4-2, ambapo fainali itachuana na Ujerumani july 13 siku ya jumapili. Katika mchezo huo wa nusu fainali wa jana, Argentina na Uholanzi zilitoka sare tasa baada ya muda wa kawaida […]

 

10 years ago

GPL

KONGAMANO LA SIKU MBILI LA UKATILI WA JINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WALEMAVU

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Seed Trust, Margareth Mkanga (MB) akizungumza katika kongamano hilo. Kulia ni Mwenyekiti wa Shirika hilo, Stephen Mashishanga. Kongamano hilo la Majadiliano kuhusiana na vitendo vya ukatili kwa wanawake na walemavu limeshirikisha wadau mbalimbali kutoka baadhi ya mikoa ya Tanzania na kuandaliwa na Shirika la Seed Trust la mjini Morogoro kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa...

 

10 years ago

Vijimambo

KONGAMANO LA SIKU MBILI VITA DHIDI YA UKATILI KWA WANAWAKE NA WALEMAVU

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Manejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani akihutubia wakati akifungua Kongamano la Majadiliano kuhusiana na vitendo vya ukatili kwa wanawake na walemavu Mkoani Morogoro leo. Kongamano hilo ambalo limeshirikisha wadau mbalimbali kutoka baadhi ya mikoa ya Tanzania limeandaliwa na Shirika la Seed Trust la mjini Morogoro kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu Duniani (UNFPA). Kulia ni Katibu Mtendaji Tume ya Haki za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani