Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kauli ya Sergio Aguero kama unafikiria kuwa Lionel Messi atajiunga na Man City …

Staa wa kimataifa wa Argentina anayekipiga katika klabu ya Manchester City, Sergio Kun Aguero amekiri kuwa angependa kumuona mshambuliaji wa FC Barcelona na timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi akijiunga na Manchester City japokuwa anaamini sio rahisi kufanya uamuzi huo. Ni zaidi ya mara mbili Lionel Messi anahusishwa kuhitajika na Man City, hata siku za […]

The post Kauli ya Sergio Aguero kama unafikiria kuwa Lionel Messi atajiunga na Man City … appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Manchester City itawakosa Sergio Aguero na Silva wapata majeraha

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Argentina na klabu ya Manchester City, Sergio Aguero anatarajiwa kuwa nje kwa mwezi mmoja baada ya kupata jeraha nyuma ya goti lake wakati alipokuwa akiichezea Argentina. Aguero alicheza kwa dakika 22 pekee wakati timu Argentina iliposhindwa na Ecuador. “Nadhani nitakuwa nje kwa kipindi cha mwezi mmoja,” Aguero aliiambia TYC […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Sergio Aguero na Silva wapata majeraha

Mshambuliaji wa klabu ya Manchester City Sergio Aguerro anatarajiwa kukaa nje kwa mwezi mmoja baada ya kupata jeraha nyuma ya goti lake wakati alipokuwa akiichezea Argentina.

 

9 years ago

MillardAyo

FC Barcelona ushindi kama kawaida yao, Lionel Messi nae kwenye headlines za rekodi hii (+Pichaz&Video)

December 30 Ligi Kuu ya Hispania iliendelea kwa michezo 9 kupigwa katika viwanja mbalimbali, huu ni muendelezo wa mechi za Laliga ambapo ilikuwa imesimama kwa ajili ya mapumziko ya sikukuu ya Christmas, hivyo December 30 iliendelea kama kawaida. Miongoni mwa michezo iliyochezwa December 30 ni mechi kati ya FC Barcelona dhidi ya Real Betis. Huu ni […]

The post FC Barcelona ushindi kama kawaida yao, Lionel Messi nae kwenye headlines za rekodi hii (+Pichaz&Video) appeared first on...

 

5 years ago

Liverpool Echo

Liverpool fans could get Sergio Aguero moment they thought had passed

Liverpool fans could get Sergio Aguero moment they thought had passed  Liverpool EchoXherdan Shaqiri interview | 2019 highs, street football and idolising Ronaldo  Liverpool FCTakumi Minamino communication plan explained by Liverpool teammate Xherdan Shaqiri  Mirror OnlineAdam Lallana shows off new shaved head during Liverpool Zoom chat training session  Daily StarShaqiri sets Liverpool title challenge as Reds wait on first crown in 30 years  GoalView Full coverage on Google...

 

9 years ago

MillardAyo

Cheki video ya dakika 2 za Yaya Toure na Sergio Aguero walivyobadili matokeo ya mechi dhidi ya Watford

January 2 michezo ya Ligi Kuu Uingereza iliendelea ila mchezo kati ya Watford FC dhidi ya Man City ndio ulihitimisha michezo ya Ligi Kuu Uingereza kwa siku ya Jumamosi ya January 2. Man City walikuwa wageni wa Watford katika dimba la Vicarage Road. Mtu wangu wa nguvu Man City walifanikiwa kuibuka na ushindi wa jumla ya […]

The post Cheki video ya dakika 2 za Yaya Toure na Sergio Aguero walivyobadili matokeo ya mechi dhidi ya Watford appeared first on TZA_MillardAyo.

 

5 years ago

Evening Standard

Premier League top scorers 2019/2020: Pierre-Emerick Aubameyang closes gap on Jamie Vardy and Sergio Aguero

Premier League top scorers 2019/2020: Pierre-Emerick Aubameyang closes gap on Jamie Vardy and Sergio Aguero  Evening StandardView Full coverage on Google News

 

11 years ago

Tanzania Daima

Aguero: Messi atatupa ubingwa wa Dunia

MSHAMBULIAJI wa Manchester City ya England, Sergio Aguero amesema kwamba yuko fiti na tayari kwa ushitikiano hatari na nyota wa FC Barcelona ya Hispania Lionel Messi, kuongoza jaribio la timu...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Mwananchi

Messi, Aguero waikamata Ulaya kwa mabao

 Ulikuwa usiku wa kipekee kwa nyota wa Argentina baada ya Lionel Messi na Sergio Aguero walipoitikisa Ulaya kwa mabao yao matatu ‘hat-trick’.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani