Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Manchester City itawakosa Sergio Aguero na Silva wapata majeraha

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Argentina na klabu ya Manchester City, Sergio Aguero anatarajiwa kuwa nje kwa mwezi mmoja baada ya kupata jeraha nyuma ya goti lake wakati alipokuwa akiichezea Argentina. Aguero alicheza kwa dakika 22 pekee wakati timu Argentina iliposhindwa na Ecuador. “Nadhani nitakuwa nje kwa kipindi cha mwezi mmoja,” Aguero aliiambia TYC […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Sergio Aguero na Silva wapata majeraha

Mshambuliaji wa klabu ya Manchester City Sergio Aguerro anatarajiwa kukaa nje kwa mwezi mmoja baada ya kupata jeraha nyuma ya goti lake wakati alipokuwa akiichezea Argentina.

 

9 years ago

MillardAyo

Kauli ya Sergio Aguero kama unafikiria kuwa Lionel Messi atajiunga na Man City …

Staa wa kimataifa wa Argentina anayekipiga katika klabu ya Manchester City, Sergio Kun Aguero amekiri kuwa angependa kumuona mshambuliaji wa FC Barcelona na timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi akijiunga na Manchester City japokuwa anaamini sio rahisi kufanya uamuzi huo. Ni zaidi ya mara mbili Lionel Messi anahusishwa kuhitajika na Man City, hata siku za […]

The post Kauli ya Sergio Aguero kama unafikiria kuwa Lionel Messi atajiunga na Man City … appeared first on...

 

5 years ago

Liverpool Echo

Liverpool fans could get Sergio Aguero moment they thought had passed

Liverpool fans could get Sergio Aguero moment they thought had passed  Liverpool EchoXherdan Shaqiri interview | 2019 highs, street football and idolising Ronaldo  Liverpool FCTakumi Minamino communication plan explained by Liverpool teammate Xherdan Shaqiri  Mirror OnlineAdam Lallana shows off new shaved head during Liverpool Zoom chat training session  Daily StarShaqiri sets Liverpool title challenge as Reds wait on first crown in 30 years  GoalView Full coverage on Google...

 

9 years ago

MillardAyo

Cheki video ya dakika 2 za Yaya Toure na Sergio Aguero walivyobadili matokeo ya mechi dhidi ya Watford

January 2 michezo ya Ligi Kuu Uingereza iliendelea ila mchezo kati ya Watford FC dhidi ya Man City ndio ulihitimisha michezo ya Ligi Kuu Uingereza kwa siku ya Jumamosi ya January 2. Man City walikuwa wageni wa Watford katika dimba la Vicarage Road. Mtu wangu wa nguvu Man City walifanikiwa kuibuka na ushindi wa jumla ya […]

The post Cheki video ya dakika 2 za Yaya Toure na Sergio Aguero walivyobadili matokeo ya mechi dhidi ya Watford appeared first on TZA_MillardAyo.

 

5 years ago

Evening Standard

Premier League top scorers 2019/2020: Pierre-Emerick Aubameyang closes gap on Jamie Vardy and Sergio Aguero

Premier League top scorers 2019/2020: Pierre-Emerick Aubameyang closes gap on Jamie Vardy and Sergio Aguero  Evening StandardView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Africanjam.Com

MAAMUZI YA REAL MADRID KUHUSU SERGIO RAMOS KUTUA MANCHESTER UNITED

Saa zisizopungua 48 baada ya klabu ya Manchester United kuripotiwa kutuma ofa ya kumsajili beki wa kimataifa wa Spain, Sergio Ramos, klabu yake ya Real Madrid imepokea ofa hiyo na imetoa uamuzi.



Africanjam, We provide news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Breaking news. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in Africa and the whole world.Follow us on...

 

10 years ago

Mwananchi

Aguero aizima Manchester Utd

Bao lililofungwa kipindi cha pili na Sergio Aguero jana liliipa Manchester City ushindi wa nne mfululizo wa Ligi Kuu England dhidi ya mahasimu wao, Manchester United kwenye Uwanja wa Etihad.

 

5 years ago

The Busby Babe

Manchester United 2-0 Manchester City: Martial and McTominay make Manchester Red

Manchester United 2-0 Manchester City: Martial and McTominay make Manchester Red  The Busby BabeMan City display against Man Utd was 'unacceptable' - Bernardo Silva  Goal.comMan United vs Man City: Anthony Martial makes it 1-0 following Bruno Fernandes' brilliant free-kick  GIVEMESPORTManchester United vs. Manchester City analysis: Fernandes & Martial brilliant again | Premier League  ESPN UKEderson errors sum up Man City's sloppiness in dismal derby defeat  Goal.comView Full coverage on...

 

11 years ago

BBCSwahili

Aguero apiga Hart trick,City ikishinda.

Magoli matatu ya Sergio Aguero na moja la Kolarov, yameisaidia Man City kuvuka raundi ya nne ya michuano ya kombe la FA.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani