MAAMUZI YA REAL MADRID KUHUSU SERGIO RAMOS KUTUA MANCHESTER UNITED
![](http://2.bp.blogspot.com/-5kYxjYHJACw/VY1UYBbm8zI/AAAAAAAACQs/S3uwAzomlvE/s72-c/Sergio_Ramos_2921569b.jpg)
Saa zisizopungua 48 baada ya klabu ya Manchester United kuripotiwa kutuma ofa ya kumsajili beki wa kimataifa wa Spain, Sergio Ramos, klabu yake ya Real Madrid imepokea ofa hiyo na imetoa uamuzi.
Africanjam, We provide news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Breaking news. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in Africa and the whole world.Follow us on...
africanjam.com
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 Jul
Real Madrid:Sergio Ramos haondoki
5 years ago
Managing Madrid16 Mar
Manchester United set to offer €55 million for Real Madrid target Van de Beek
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Video ya Ronaldo, Bale, Ramos na wengine wa Real Madrid wakimpokea Zidane dressing room …
Real Madrid ilitangaza kumfuta kazi kocha Rafael Benitez na nafasi yake kuchukuliwa na mkongwe Zinedine Zidane, kwenye hii post hapa nimekuwekea video ya jinsi Zidane alivyowasili katika vyumba vya kubadilishia nguo vya Wachezaji wa Real Madrid na kukutana na wachezaji wake kwa siku ya kwanza kama kocha. Hii video hapa chini ni ya Zidane akiwa uwanjani kwenye siku ya kwanza […]
The post Video ya Ronaldo, Bale, Ramos na wengine wa Real Madrid wakimpokea Zidane dressing room … appeared first...
9 years ago
Dewji Blog24 Nov
Hii ndiyo hatma ya Benitez Real Madrid, Ancelotti anena kuhusu kurudi Madrid na Menzes kuhusu uhamisho wa Ronaldo
Kocha wa Real Madrid, Rafa Benitez.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Hatimaye hatma ya kocha wa Real Madrid, Rafa Benitez imefahamika baada ya kuwepo sintofahamu kama anabaki katika klabu hiyo au anaondoka kufuatia kipigo cha mbwa mwizi cha goli 4 bila kutoka kwa wapinzani wao wakubwa Barcelona.
Usiku wa jumatatu, Rais wa Real Madrid, Florentino Perez amesema kuwa kubarua cha kocha Benitez kipo salama na ataendelea na kazi yake kama kawaida licha ya uvumi kuwa anafukuzwa kazi kutokana na kipigo...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Real Madrid kutua Dar Agosti 22
WARATIBU wa ziara ya mabingwa wa kihistoria wa michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, Real Madrid ya Hispania, wametangaza rasmi siku ya ujio wa msafara wa nyota 25 na mashabiki...
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Andy Cole wa Manchester United kutua Dar kesho
5 years ago
Managing Madrid26 Feb
Predicted lineups: Real Madrid vs Manchester City, 2020 Champions League
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jzsUW*22gf3kMokG3xAVruraTWG59wJLuBdA-Ms1BZX57*Z7vgm5Ba5BpFX55EZP0zEyuqQLT9wVKlkvufA0aIPVEAqTO1-Q/JuanMataChelsea.jpg?width=650)
JUAN MATA KUTUA MANCHESTER UNITED ATASIADIA KULETA MATOKEO BORA BAADA YA TIMU KUSUASUA?
5 years ago
Managing Madrid26 Feb
Real Madrid vs Manchester City, 2020 live stream: Time, TV channels and how to watch Champions League online