Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JUAN MATA KUTUA MANCHESTER UNITED ATASIADIA KULETA MATOKEO BORA BAADA YA TIMU KUSUASUA?

Juan Mata anataraji kutua Manchester United akitokea klabu ya Chelsea ya jijini London kwa kitita cha pauni milioni 37 sawa na shilingi bilioni 99.3 za Kitanzania. Swali: Ataweza kuisadia timu hiyo yenye matokeo mabovu katika Ligi Kuu ya England na michuano mbalimbali inayoendelea ikiwa ni siku moja tu imeondolewa katika michuano ya Capital One Cup na Sunderland? INGIA HAPA KUTOA MAONI YAKO: JUAN… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mata ajasiliwa na Manchester United

Manchester United hatimaye imemsajili Juan Mata kutoka Chelsea kwa kitita cha pauni milioni thelathini na saba

 

9 years ago

Mtanzania

Mata aipa ubingwa Manchester United

during the Barclays Premier League match between Manchester UnitMANCHESTER, ENGLAND

MSHAMBULIAJI wa timu ya Manchester United, Juan Mata, anaamini kuwa klabu hiyo itafanikiwa kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu.

Mchezaji huyo amesema timu hiyo ilikuwa na wakati mgumu katika baadhi ya michezo yake, lakini kwa sasa ipo katika nafasi nzuri ya kuweza kuchukua ubingwa wa michuano hiyo.

Klabu hiyo inajivunia kucheza michezo minne mpaka sasa bila kufungwa mara baada ya kupoteza mchezo dhidi ya Arsenal, ambapo walipokea kichapo cha mabao 3-0.

“Ngoja tuone...

 

11 years ago

Mwananchi

Juan Mata aanza kwa Solskjaer

Macho na masikio ya mashabiki wa Manchester United leo yatakuwa kwa nyota wao mpya, Juan Mata wakati watakapoivaa Cardiff City kwenye Uwanja wa Old Trafford.

 

5 years ago

Mirror Online

Juan Mata's positive response when asked about Man Utd transfer target Jadon Sancho

Juan Mata's positive response when asked about Man Utd transfer target Jadon Sancho  Mirror Online‘Sancho, Grealish or Maddison? Why not get all three!’ – Man Utd offered transfer advice by Brown  Goal.comMan Utd chief Ed Woodward forced back to drawing board after Jadon Sancho decision  ExpressMarcus Rashford, Jadon Sancho and Trent Alexander-Arnold to battle in FIFA20 tournament  Mirror Online'What do you want me to say?' - Mata praises Sancho amid Man Utd links  Goal.comView Full coverage...

 

11 years ago

Mwananchi

Andy Cole wa Manchester United kutua Dar kesho

Mchezaji wa zamani wa klabu ya Manchester United, Andy Cole anatarajia kutua jijini Dar es Salaam kesho, imethibishwa.

 

10 years ago

Africanjam.Com

MAAMUZI YA REAL MADRID KUHUSU SERGIO RAMOS KUTUA MANCHESTER UNITED

Saa zisizopungua 48 baada ya klabu ya Manchester United kuripotiwa kutuma ofa ya kumsajili beki wa kimataifa wa Spain, Sergio Ramos, klabu yake ya Real Madrid imepokea ofa hiyo na imetoa uamuzi.



Africanjam, We provide news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Breaking news. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in Africa and the whole world.Follow us on...

 

11 years ago

GPL

SHABIKI WA MANCHESTER UTD NAIROBI AJIUA BAADA YA TIMU YAKE KUFUNGWA NA NEWCASTLE 1-0

Kijana mmoja aitwaye, John Jimmy Macharia (23) wa Nairobi, Kenya anayedaiwa kuwa shabiki wa timu ya Manchester United ya nchini Uingereza juzi Jumamosi alijiua kwa kujirusha kutoka ghorofa ya saba alipokuwa baada ya timu hiyo kufungwa na Newcastle United bao 1-0. Timu hiyo ilifungwa katika mchezo wa Ligi Kuu ya England uliopigwa Old Trafford, Manchester ambapo bao hilo lilifungwa na Yohan Cabaye dakika ya 61 ya mchezo. (Video na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani