Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mata aipa ubingwa Manchester United

during the Barclays Premier League match between Manchester UnitMANCHESTER, ENGLAND

MSHAMBULIAJI wa timu ya Manchester United, Juan Mata, anaamini kuwa klabu hiyo itafanikiwa kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu.

Mchezaji huyo amesema timu hiyo ilikuwa na wakati mgumu katika baadhi ya michezo yake, lakini kwa sasa ipo katika nafasi nzuri ya kuweza kuchukua ubingwa wa michuano hiyo.

Klabu hiyo inajivunia kucheza michezo minne mpaka sasa bila kufungwa mara baada ya kupoteza mchezo dhidi ya Arsenal, ambapo walipokea kichapo cha mabao 3-0.

“Ngoja tuone...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mata ajasiliwa na Manchester United

Manchester United hatimaye imemsajili Juan Mata kutoka Chelsea kwa kitita cha pauni milioni thelathini na saba

 

11 years ago

GPL

JUAN MATA KUTUA MANCHESTER UNITED ATASIADIA KULETA MATOKEO BORA BAADA YA TIMU KUSUASUA?

Juan Mata anataraji kutua Manchester United akitokea klabu ya Chelsea ya jijini London kwa kitita cha pauni milioni 37 sawa na shilingi bilioni 99.3 za Kitanzania. Swali: Ataweza kuisadia timu hiyo yenye matokeo mabovu katika Ligi Kuu ya England na michuano mbalimbali inayoendelea ikiwa ni siku moja tu imeondolewa katika michuano ya Capital One Cup na Sunderland? INGIA HAPA KUTOA MAONI YAKO: JUAN… ...

 

5 years ago

The Busby Babe

Manchester United 2-0 Manchester City: Martial and McTominay make Manchester Red

Manchester United 2-0 Manchester City: Martial and McTominay make Manchester Red  The Busby BabeMan City display against Man Utd was 'unacceptable' - Bernardo Silva  Goal.comMan United vs Man City: Anthony Martial makes it 1-0 following Bruno Fernandes' brilliant free-kick  GIVEMESPORTManchester United vs. Manchester City analysis: Fernandes & Martial brilliant again | Premier League  ESPN UKEderson errors sum up Man City's sloppiness in dismal derby defeat  Goal.comView Full coverage on...

 

9 years ago

Mwananchi

Ferguson aipa ubingwa Leicester City

Kocha wa zamani wa Manchester United, Sir Alex Ferguson ameeleza imani yake kwa klabu ya Leicester City kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England msimu huu.

 

9 years ago

Mtanzania

Hiddink aipa ubingwa Leicester City

01_23131636_5c3c07_2615269aLONDON, ENGLAND

KOCHA mpya wa klabu ya Chelsea, Guus Hiddink, amedai kwamba hashangazwi na uwezo wa Leicester City msimu huu na kuna uwezekano mkubwa wa kuendelea kufanya vizuri na kuchukua ubingwa.

Klabu hiyo imekuwa ikiongoza katika msimamo wa Ligi Kuu nchini England kabla ya mchezo wa jana, hivyo kocha huyo ambaye amechukua nafasi ya Jose Mourinho katika klabu ya Chelsea, Hiddink, amesema Leicester City wana nafasi kubwa ya kuendelea kufanya vizuri msimu huu.

“Sishangazwi na mafanikio ya...

 

11 years ago

GPL

MATA ATUA MAN UNITED KWA ADA YA £37M

Juan Mata. MANCHESTER United imekubali kulipa ada ya pauni milioni 37 ambayo ni rekodi kwa klabu ili kumnasa Juan Mata kutoka Chelsea na hii inasaidia kidogo kupoza machungu ya kutolewa Capital One Cup. Bosi wa Chelsea Jose Mourinho ameidhinisha dili hilo baada ya mazungumzo na maofisa wa klabu na sasa Mata anategemewa kufanya vipimo vya afya jijini Manchester kesho Alhamisi. Mtendaji mkuu wa Manchester United amekubali kuvunja...

 

5 years ago

The Peoples Person

Manchester United fans delighted with Bruno Fernandes' performance vs Manchester City

Manchester United fans delighted with Bruno Fernandes' performance vs Manchester City  The Peoples PersonMan United vs Man City: Anthony Martial makes it 1-0 following Bruno Fernandes' brilliant free-kick  GIVEMESPORTMan City display against Man Utd was 'unacceptable' - Bernardo Silva  Goal.comNemanja Matic to sign new deal at Manchester United  The Peoples PersonMan United vs Man City: VAR fails to give penalty after Fred is kicked by Nicolas Otamendi  GIVEMESPORTView Full coverage on...

 

9 years ago

Africanjam.Com

PEP GUARDIOLA'S NEXT CLUB: IS IT MANCHESTER UNITED OR MANCHESTER CITY !?

Pep Guardiola will join Manchester City in the summer after deciding against extending his stay with Bayern Munich, according to reports in Spain.The former Barcelona coach, long linked with a move to the Etihad, has already decided he will move away from Germany after three seasons in charge of the Bundesliga giants, with his one remaining desire to manage in England, according to Spanish radio station Cope. 
The report states that Bayern Munich chief Karl-Heinz Rummenigge will announce...

 

5 years ago

Manchester Evening News

How Man City should line up vs Manchester United in Manchester derby

How Man City should line up vs Manchester United in Manchester derby  Manchester Evening NewsNemanja Matic to sign new deal at Manchester United  The Peoples PersonSolskjaer on how Bruno Fernandes can help McTominay improve at Man Utd  Goal.comPredicted Manchester United starting line-up vs Manchester City  Sportslens.comManchester United left dangling as Mauricio Pochettino heads for Spain  The Peoples PersonView Full coverage on Google News

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani