Mata aipa ubingwa Manchester United
MANCHESTER, ENGLAND
MSHAMBULIAJI wa timu ya Manchester United, Juan Mata, anaamini kuwa klabu hiyo itafanikiwa kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu.
Mchezaji huyo amesema timu hiyo ilikuwa na wakati mgumu katika baadhi ya michezo yake, lakini kwa sasa ipo katika nafasi nzuri ya kuweza kuchukua ubingwa wa michuano hiyo.
Klabu hiyo inajivunia kucheza michezo minne mpaka sasa bila kufungwa mara baada ya kupoteza mchezo dhidi ya Arsenal, ambapo walipokea kichapo cha mabao 3-0.
“Ngoja tuone...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili23 Jan
Mata ajasiliwa na Manchester United
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jzsUW*22gf3kMokG3xAVruraTWG59wJLuBdA-Ms1BZX57*Z7vgm5Ba5BpFX55EZP0zEyuqQLT9wVKlkvufA0aIPVEAqTO1-Q/JuanMataChelsea.jpg?width=650)
JUAN MATA KUTUA MANCHESTER UNITED ATASIADIA KULETA MATOKEO BORA BAADA YA TIMU KUSUASUA?
5 years ago
The Busby Babe09 Mar
Manchester United 2-0 Manchester City: Martial and McTominay make Manchester Red
9 years ago
Mwananchi09 Dec
Ferguson aipa ubingwa Leicester City
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Hiddink aipa ubingwa Leicester City
LONDON, ENGLAND
KOCHA mpya wa klabu ya Chelsea, Guus Hiddink, amedai kwamba hashangazwi na uwezo wa Leicester City msimu huu na kuna uwezekano mkubwa wa kuendelea kufanya vizuri na kuchukua ubingwa.
Klabu hiyo imekuwa ikiongoza katika msimamo wa Ligi Kuu nchini England kabla ya mchezo wa jana, hivyo kocha huyo ambaye amechukua nafasi ya Jose Mourinho katika klabu ya Chelsea, Hiddink, amesema Leicester City wana nafasi kubwa ya kuendelea kufanya vizuri msimu huu.
“Sishangazwi na mafanikio ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jzsUW*22gf2TrGV-AvZaTZ7UrdxqdctesvdTaNWH8VR7fa7UV6HhsE9WsKRRPbyILOoDGTpY7qFgO3t-qSJOt2PHFM2QZIqI/juanmatashorthairstyles3.jpg?width=650)
MATA ATUA MAN UNITED KWA ADA YA £37M
5 years ago
The Peoples Person09 Mar
Manchester United fans delighted with Bruno Fernandes' performance vs Manchester City
9 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-P9Tz2YxANEk/VlmqR7G_IJI/AAAAAAAAEBE/Y80_RJTHpEQ/s72-c/pep-guardiola-1423056577335.jpg)
PEP GUARDIOLA'S NEXT CLUB: IS IT MANCHESTER UNITED OR MANCHESTER CITY !?
![](http://3.bp.blogspot.com/-P9Tz2YxANEk/VlmqR7G_IJI/AAAAAAAAEBE/Y80_RJTHpEQ/s1600/pep-guardiola-1423056577335.jpg)
The report states that Bayern Munich chief Karl-Heinz Rummenigge will announce...
5 years ago
Manchester Evening News08 Mar
How Man City should line up vs Manchester United in Manchester derby