Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hiddink aipa ubingwa Leicester City

01_23131636_5c3c07_2615269aLONDON, ENGLAND

KOCHA mpya wa klabu ya Chelsea, Guus Hiddink, amedai kwamba hashangazwi na uwezo wa Leicester City msimu huu na kuna uwezekano mkubwa wa kuendelea kufanya vizuri na kuchukua ubingwa.

Klabu hiyo imekuwa ikiongoza katika msimamo wa Ligi Kuu nchini England kabla ya mchezo wa jana, hivyo kocha huyo ambaye amechukua nafasi ya Jose Mourinho katika klabu ya Chelsea, Hiddink, amesema Leicester City wana nafasi kubwa ya kuendelea kufanya vizuri msimu huu.

“Sishangazwi na mafanikio ya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Ferguson aipa ubingwa Leicester City

Kocha wa zamani wa Manchester United, Sir Alex Ferguson ameeleza imani yake kwa klabu ya Leicester City kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England msimu huu.

 

9 years ago

Mtanzania

Mata aipa ubingwa Manchester United

during the Barclays Premier League match between Manchester UnitMANCHESTER, ENGLAND

MSHAMBULIAJI wa timu ya Manchester United, Juan Mata, anaamini kuwa klabu hiyo itafanikiwa kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu.

Mchezaji huyo amesema timu hiyo ilikuwa na wakati mgumu katika baadhi ya michezo yake, lakini kwa sasa ipo katika nafasi nzuri ya kuweza kuchukua ubingwa wa michuano hiyo.

Klabu hiyo inajivunia kucheza michezo minne mpaka sasa bila kufungwa mara baada ya kupoteza mchezo dhidi ya Arsenal, ambapo walipokea kichapo cha mabao 3-0.

“Ngoja tuone...

 

9 years ago

MillardAyo

Leicester City wameidhibiti Man City ndani ya dimba la King Power, haya ndio matokeo (+Pichaz)

Ligi Kuu soka Uingereza imeendelea tena usiku wa December 29 kwa mchezo mmoja kupigwa katika dimba la King Power, mchezo wa December 29 ulikuwa unazihusisha klabu za Leicester City dhidi ya klabu ya Manchester City. Uzuri wa mchezo huu ni kuwa vilabu vyote viwili vipo katika mbio za kuwania Ubingwa wa Ligi Kuu kutokana na […]

The post Leicester City wameidhibiti Man City ndani ya dimba la King Power, haya ndio matokeo (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Man City, Leicester City hakuna mbabe

Ligi kuu ya England iliendelea tena usiku wa kuamkia leo kwa mchezo kuchezwa.

 

10 years ago

Vijimambo

HAKUNA WA KUIZUIA CHELSEA KUTWAA UBINGWA, LEICESTER YACHEZEA KICHAPO CHA BAO 3-1

Mpira uliopigwa na mshambuliaji wa Leicester ( katikati ) Marc Albrighton ukimpita mlinda mlango wa Chelsea Petr Cech ( kushoto ) na beki wake Gary Cahill na kujaa wavuni kuiandikia Leicester bao la kuongoza. Mshambuliaji nguli wa Chelsea, Didier Drogba akipiga mpira uliokwenda moja kwa moja nyavuni na ukisawazishia timu yake katika dakika ya 48 muda mfupi tu baada ya kipindi cha pili kuanza.Wachezaji wa Chelsea wakiwasalimia mashabiki wao baada kumalizika kwa mchezo wao dhidi ya Leicester...

 

9 years ago

BBC

Norwich City 1-2 Leicester City

Ghana's Jeffrey Schlupp scores as Leicester move up to fourth in the Premier League with a narrow victory over Norwich at Carrow Road.

 

10 years ago

BBC

Leicester City 2-0 Southampton

Algeria's Riyad Mahrez hits a brace as Leicester beat Southampton to make it six wins from seven and further boost their survival hopes.

 

9 years ago

BBC

Everton 2-3 Leicester City

Leicester City will be top of the Premier League at Christmas after two Riyad Mahrez penalties help them beat Everton.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea kumenyana na Leicester City

Vinara wa ligi ya England Chelsea leo watashuka dimbani kucheza mchezo wao wa kiporo dhidi Leicester City.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani