Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHABIKI WA MANCHESTER UTD NAIROBI AJIUA BAADA YA TIMU YAKE KUFUNGWA NA NEWCASTLE 1-0

Kijana mmoja aitwaye, John Jimmy Macharia (23) wa Nairobi, Kenya anayedaiwa kuwa shabiki wa timu ya Manchester United ya nchini Uingereza juzi Jumamosi alijiua kwa kujirusha kutoka ghorofa ya saba alipokuwa baada ya timu hiyo kufungwa na Newcastle United bao 1-0. Timu hiyo ilifungwa katika mchezo wa Ligi Kuu ya England uliopigwa Old Trafford, Manchester ambapo bao hilo lilifungwa na Yohan Cabaye dakika ya 61 ya mchezo. (Video na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Manchester Utd 0 - 0 Newcastle

Manchester United wanawakaribisha Newcastle katika uwanja wa nyumbani wa old Trafford katika mechi hii ya mapema

 

11 years ago

Mwananchi

Ajiua baada ya rafiki yake kuuawa

Mtu mmoja amejinyonga mpaka kufa baada ya rafiki yake kipenzi kufariki dunia kwa kile kilichoelezwa kupigwa na walinzi wa Mgodi wa North Mara.

 

10 years ago

GPL

SHABIKI WA NEWCASTLE AUAWA NA PUNDAMILIA

Mwandishi wetu
INASHANGAZA! Shabiki mmoja aliyekuwa amevalia jezi ya timu ya Newcastle, John Kearsley (38) ameuawa baada ya kukanyagwa na pundamilia alipokuwa matembezini katika mbuga za wanyama nchini Tanzania. Shabiki wa Newcastle John Kearsley aliyeuawa na Pundamilia. John, alikuwa na ziara ya siku 12 nchini Tanzania ambayo aliiandaa kwa muda mrefu kwa lengo la kusherehekea kutimiza miaka 10 ya ndoa yake na mkewe, Doreen...

 

10 years ago

Vijimambo

SHABIKI WA NEWCASTLE AUAWA NA PUNDAMILIA BONGO

Shabiki wa Newcastle John Kearsley aliyeuawa na Pundamilia.
Mwandishi wetu
INASHANGAZA! Shabiki mmoja aliyekuwa amevalia jezi ya timu ya Newcastle, John Kearsley (38) ameuawa baada ya kukanyagwa na pundamilia alipokuwa matembezini katika mbuga za wanyama nchini Tanzania.

John, alikuwa na ziara ya siku 12 nchini Tanzania ambayo aliiandaa kwa muda mrefu kwa lengo la kusherehekea kutimiza miaka 10 ya ndoa yake na mkewe, Doreen akiongozana na ndugu zake wawili katika ziara hiyo iliyoishia kwa...

 

11 years ago

GPL

JUAN MATA KUTUA MANCHESTER UNITED ATASIADIA KULETA MATOKEO BORA BAADA YA TIMU KUSUASUA?

Juan Mata anataraji kutua Manchester United akitokea klabu ya Chelsea ya jijini London kwa kitita cha pauni milioni 37 sawa na shilingi bilioni 99.3 za Kitanzania. Swali: Ataweza kuisadia timu hiyo yenye matokeo mabovu katika Ligi Kuu ya England na michuano mbalimbali inayoendelea ikiwa ni siku moja tu imeondolewa katika michuano ya Capital One Cup na Sunderland? INGIA HAPA KUTOA MAONI YAKO: JUAN… ...

 

11 years ago

GPL

WAZIRI AJIUA BAADA YA KUSHINDWA UCHAGUZI

Waziri wa serikali za mitaa nchini Malawi, Godfrey Kamanya, amejiua baada ya kushindwa katika uchaguzi mkuu siku ya Jumanne. Waziri huyo alijipiga risasi nyumbani kwake baada ya kupata taarifa za kushindwa. Matokeo ya kura bado hayajatangazwa rasmi katika kile kinachosemekana kuwa uchaguzi wenye ushindani mkali sana. Afisa mkuu wa uchaguzi, amesema kuwa mfumo wa elektroniki umeharibika na maafisa wanatumia matokeo kwa njia ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Meneja Ewura ajiua hotelini baada ya kuhojiwa na Bunge

>Meneja Biashara wa Petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura) amekutwa amekufa hotelini katika mazingira ya kutatanisha muda mfupi baada ya kuwasili jijini Dar es Salaam akitoka Dodoma ambako alihojiwa na Kamati ya Bunge ya Bajeti.

 

10 years ago

Mwananchi

Aguero aizima Manchester Utd

Bao lililofungwa kipindi cha pili na Sergio Aguero jana liliipa Manchester City ushindi wa nne mfululizo wa Ligi Kuu England dhidi ya mahasimu wao, Manchester United kwenye Uwanja wa Etihad.

 

10 years ago

BBCSwahili

Guardiola: Manchester Utd hawana pesa !

Kocha wa Bayern ,Pep Guardiola amedai Manchester United hawana pesa zakutosha kuwanunua wachezaji kutoka Bayern Munich .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani