SHABIKI WA MANCHESTER UTD NAIROBI AJIUA BAADA YA TIMU YAKE KUFUNGWA NA NEWCASTLE 1-0
Kijana mmoja aitwaye, John Jimmy Macharia (23) wa Nairobi, Kenya anayedaiwa kuwa shabiki wa timu ya Manchester United ya nchini Uingereza juzi Jumamosi alijiua kwa kujirusha kutoka ghorofa ya saba alipokuwa baada ya timu hiyo kufungwa na Newcastle United bao 1-0. Timu hiyo ilifungwa katika mchezo wa Ligi Kuu ya England uliopigwa Old Trafford, Manchester ambapo bao hilo lilifungwa na Yohan Cabaye dakika ya 61 ya mchezo. (Video na...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili22 Aug
Manchester Utd 0 - 0 Newcastle
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Ajiua baada ya rafiki yake kuuawa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AlF29i7dC3JwaH2xufXqQe4gTGuy3MT-OnAssGeflMQCar2T24EnxJyx3V98kV*cqWRD5oWxtAnjIzrLHECCYVErQ28JbvOe/d.jpg)
SHABIKI WA NEWCASTLE AUAWA NA PUNDAMILIA
10 years ago
Vijimambo07 Mar
SHABIKI WA NEWCASTLE AUAWA NA PUNDAMILIA BONGO
![](http://api.ning.com/files/QFZtM12iNiD5R53GmH1HHVmHWK5vT43CN38z9VJxOg1Br56WHUG0HJVWsR6In0UO1Su8kJ4opoeP4hNlNXOBHWf6WbOIrWzL/shabikinewcast.jpg)
Mwandishi wetu
INASHANGAZA! Shabiki mmoja aliyekuwa amevalia jezi ya timu ya Newcastle, John Kearsley (38) ameuawa baada ya kukanyagwa na pundamilia alipokuwa matembezini katika mbuga za wanyama nchini Tanzania.
John, alikuwa na ziara ya siku 12 nchini Tanzania ambayo aliiandaa kwa muda mrefu kwa lengo la kusherehekea kutimiza miaka 10 ya ndoa yake na mkewe, Doreen akiongozana na ndugu zake wawili katika ziara hiyo iliyoishia kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jzsUW*22gf3kMokG3xAVruraTWG59wJLuBdA-Ms1BZX57*Z7vgm5Ba5BpFX55EZP0zEyuqQLT9wVKlkvufA0aIPVEAqTO1-Q/JuanMataChelsea.jpg?width=650)
JUAN MATA KUTUA MANCHESTER UNITED ATASIADIA KULETA MATOKEO BORA BAADA YA TIMU KUSUASUA?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
WAZIRI AJIUA BAADA YA KUSHINDWA UCHAGUZI
11 years ago
Mwananchi19 May
Meneja Ewura ajiua hotelini baada ya kuhojiwa na Bunge
10 years ago
Mwananchi03 Nov
Aguero aizima Manchester Utd
10 years ago
BBCSwahili17 Sep
Guardiola: Manchester Utd hawana pesa !