WAZIRI AJIUA BAADA YA KUSHINDWA UCHAGUZI
![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
Waziri wa serikali za mitaa nchini Malawi, Godfrey Kamanya, amejiua baada ya kushindwa katika uchaguzi mkuu siku ya Jumanne. Waziri huyo alijipiga risasi nyumbani kwake baada ya kupata taarifa za kushindwa. Matokeo ya kura bado hayajatangazwa rasmi katika kile kinachosemekana kuwa uchaguzi wenye ushindani mkali sana. Afisa mkuu wa uchaguzi, amesema kuwa mfumo wa elektroniki umeharibika na maafisa wanatumia matokeo kwa njia ya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 May
Waziri ajiua kwa kushindwa uchaguzi
11 years ago
BBCSwahili22 May
Waziri ajinyonga baada ya kushindwa Malawi
10 years ago
VijimamboWAZIRI MKUU PINDA ASHANGAA WANAOHAMA CHAMA BAADA YA KUSHINDWA
10 years ago
Vijimambo03 Jul
NHC YANYANGANYA MASHINE ZA KUFYATULIA MATOFARI BAADA YA HALMASHAURI ZA MIKOA BAADA YA KUSHINDWA KUTUMIA FURSA HIYO
![New Picture (1)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/New-Picture-1.png)
![New Picture (2)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/New-Picture-2.png)
9 years ago
VijimamboSIKILIZA WALICHOKISEMA STANSLAUS MABULA (CCM) BAADA YA USHINDI PAMOJA NA EZEKIEL WENJE (CHADEMA) BAADA YA KUSHINDWA.
BONYEA PLAY HAPA CHINI KUSIKILIZA
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Ajiua baada ya rafiki yake kuuawa
11 years ago
Mwananchi19 May
Meneja Ewura ajiua hotelini baada ya kuhojiwa na Bunge
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Uchunguzi Kenya baada ya kushindwa
11 years ago
GPL09 Dec
SHABIKI WA MANCHESTER UTD NAIROBI AJIUA BAADA YA TIMU YAKE KUFUNGWA NA NEWCASTLE 1-0